sitagliptin
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 1,208
- 2,525
Utaanza kuzika wazazi wako familia yako kwanza ndo waje wengineKamfukue uzikwe wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaanza kuzika wazazi wako familia yako kwanza ndo waje wengineKamfukue uzikwe wewe
Kwa kifupi tu upate kuelewa ni kwamba mazuri yake yaainishwe, hali kadhalika mabaya yake pia. Ili yapimwe kwa pamoja ili sura yake halusi ipate kubainika.Umeandika vitu vingi lakini sijaelewa unataka kusema nini
Wezi mmejifunza sio, you don't even know what you want so sio kosa lakoItachukua milele yote Tanzania haitakuja kamwe kuruhusu sadist kama yule kuongoza Taifa, that was a mistake na tumejifunza. Asante sana Mungu
Acha kusingizia wananchi, sema Sukuma gangCDM wako radhi kuungana na walamba asali kuliko kuungana na wananchi wanaolalamika wakimtaja Magu.[emoji2][emoji2][emoji2]
I openly declare kunaupungufu kidogo kwenye usimamizi wa taratibu fulani fulani, mfano tunaona jinsi machinga na vendors wanavyopata tabu kariakoo wamekuwa kama mbwa mwitu kila wakati ni mbio mbio, MAMLAKA HUSIKA ZIPANGE UTARATIBU MFANO, MACHINGA KARIAKOO WAFANYE BIASHARA IWE RUHUSA KUANZA BIASHARA SAA 9 MCHANA MPAKA SAA 1 - 2 USIKU.
Huyo aliyevaa hijabu anamwambia mama najua umefunga kama mm, anamwambia atende HAKI, ni kundi Gani?Acha kusingizia wananchi, sema Sukuma gang
Machozi ya waongozwa in most cases husababisha USINGIZI wa viongozi kupaa.Machozi ya hawa kina mama na vijana hayata dondoka bure walahi!🥹🥹🥹
Magufuli alikuwa ni mfano kwa wa viongozi wa [emoji1241] Tanzania!
Mwenye Enzi Mungu adhihakiwi!
Zile alama za miguu iliyo kwenda kumzika JPM bado zina onekana na ziko tayari!
ungeandika kiswahili tu Mkuu 🤣 🤣 🤣 🤣JPM Was a greatest leader ever.
Katuandikia sisi tusiojua kiswahili [emoji14]ungeandika kiswahili tu Mkuu [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Kiswahili hai-sound vzrungeandika kiswahili tu Mkuu [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Mimi ni makini na nilimpenda jiwe.Alipendwa na nani zaidi ya watu wajinga? Waweza weka mtu mmoja makini anayejitambua ambaye ana au alimpenda Jiwe? Mmoja tu, nitajie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukisoma comments za wanaoendelea kuomboleza kifo cha yule muovu ni wale wale Sukuma gang. Anyway kama inawapa faraja all the best. Mungu ni mwema sana kwa kutuondolea kadhia ile bila damu kumwagika
Hii nchi sio ya baba ako.Itachukua milele yote Tanzania haitakuja kamwe kuruhusu sadist kama yule kuongoza Taifa, that was a mistake na tumejifunza. Asante sana Mungu
Aliwaga damu za Watanzania wengi na yeye Mungu akamtandika pigo moja tu la Corona mpaka leo kawaacha wakiwa mkiomboleza na kujifariji kila leoDamu na sacrifice yake haitoenda Bure,
Lazima Damu yake italeta Ukombozi Kwa Watanzania,
Ni suala la muda tu.
Tusubiri.
Mapumbavu ni mengi sana nchini na yule marehemu aliyafanya mtaji wake. Akayajaza propaganda za uwongo na ndiyo wanziamini mpaka sasa. Kiingereza inaitwa BRAINWASH. Hakuna kitu hapa yamebaki mazezeta tumkuu, uwe na utu basi angalau hata kidogo tu, shida yako ni Magufuli inafahamika, hao raia nao unachuki nao za nini sasa, hivi unadhani wewe ndo mwenye akili peke yako kuliko makutano wote hao? Sitaki kusema vibaya juu yako, lakini mkuu, nakuhakikishia kwamba; iwapo wewe tu ambaye unaona wananchi wote hao hawana Akili, ufahamu kabisa wewe una ila kichwani
Kwa hiyo hiyo ni nchi ya baba yako wewe basi?Hii nchi sio ya baba ako.
Kiama chenu kinakuja
Knowing or knowing not doesn't make any difference kuwa mungu wenu kafa. Ushauri wangu kwako ni huu, fanya kazi kwa bidii uache kulia lia humu kila siku, mara sijui sukari imepanda , mara ohoo unga umepanda siwezi kununua, mara leo nimelala njaa , mara ohoo watu wanalamba asali peke yao. Grow up dude acha kujilizaWezi mmejifunza sio, you don't even know what you want so sio kosa lako
Wamchongo huyo, au umezaliwa leo, watu walimsimamisha yule mpenda sifa na walimpa jogoo wakidai wanampenda sana kumbe ni maigizo tuHuyo aliyevaa hijabu anamwambia mama najua umefunga kama mm, anamwambia atende HAKI, ni kundi Gani?