- Thread starter
- #141
Nadhani kama ni ujumbe wameufikishaHawana lolote wakipewakofiana sinia moja la wali nyama washasahau Kila kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani kama ni ujumbe wameufikishaHawana lolote wakipewakofiana sinia moja la wali nyama washasahau Kila kitu
Wapuuzi sana ngoja wachapikeHawana lolote wakipewakofiana sinia moja la wali nyama washasahau Kila kitu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa wewe na baadhi ya wachache, wala sikulaumu mkuu
Acha kuwasingizia wananchi, sema Sukuma gang. Kwani huyo hawezi kuwa mtu kama wewe au ni wewe umejirekodiMacho tu huna, kusikia nako huwezi! Akili nazo ndo empty, Utaambiwaje ili kuelewa kwamba wananchi wanamlilia upya usiyempenda?
Itachukua milele yote Tanzania haitakuja kamwe kuruhusu sadist kama yule kuongoza Taifa, that was a mistake na tumejifunza. Asante sana MunguItachukua miaka mingine 50+ kupata mtu kama JPM. I appreciated him so much!!
Kama ambavyo Sukuma gang ni wale waleHii haiondoi ukweli kwamba, wajinga mmeendelea kubaki walewale wa siku zote
Alipendwa na nani zaidi ya watu wajinga? Waweza weka mtu mmoja makini anayejitambua ambaye ana au alimpenda Jiwe? Mmoja tu, nitajie2025 inafika mkuu ndo watajua Jiwe kumbe alipendwa.
Mwingira aliwahi kusema jumba kubwa amekaa nani vile?
Na huyo mwenye hijabu amefungua naye ni kundi lile?Bavicha watakwambia huyo mama Ni suukumagang
CDM wako radhi kuungana na walamba asali kuliko kuungana na wananchi wanaolalamika wakimtaja Magu.😃😃😃Hauna akili japo unataka uonekane una akili.
Unazungumzia Korosho?? ya Akina Makamba Bilion 60 , na maujinga yanayoendelea chini ya Samia , huyaoni??
Nani aliporwa Mali? JPM alikua mtu wa SHERIA, Samia ni mtu wa Hisia .
Sheria inataka uwe mnyoofu, Hisia zinaweza kukuambia, Mwizi msamehe maana naye anafamilia.
Utachagua unataka wapi!!.
Nawe umeona kinachoenda Kutokea pwani na ukanda Ule?Hizi ni Rasha Rasha mvua kubwa itanyesha na itasomba kila kitu ndipo mtakumbuka lile neno mtanikumbuka.😭🤐🤐🤐
Nchi ya kitu kidogooooo ni Nchi ya watu wadogoooooo!!!!Mafisadi wanadai mama anaponya nchi wamemuandikia na kitabu
Magufuli a PROPHET,
Damu na sacrifice yake haitoenda Bure,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukisoma comments za wanaoendelea kuomboleza kifo cha yule muovu ni wale wale Sukuma gang. Anyway kama inawapa faraja all the best. Mungu ni mwema sana kwa kutuondolea kadhia ile bila damu kumwagika
Uko sahihiDamu na sacrifice yake haitoenda Bure,
Lazima Damu yake italeta Ukombozi Kwa Watanzania,
Ni suala la muda tu.
Tusubiri.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukisoma comments za wanaoendelea kuomboleza kifo cha yule muovu ni wale wale Sukuma gang. Anyway kama inawapa faraja all the best. Mungu ni mwema sana kwa kutuondolea kadhia ile bila damu kumwagika