Marandofficial
Senior Member
- Apr 21, 2023
- 157
- 63
Vip we ulitekwa huliuliwa ulifilisiwa uliibiwa au ndo umeaminishwa na ma Wana zako na we ukaamiini Kwa sababu akili zako zote umewakabidhi wao fungus ubongo Mzee siasa ni mchezo m hafu sana kama hujuiUtekaji, uuaji, ufilishaji, utaifishaji, uonevu, wizi mkubwa nk sasa vimekwisha
We tajiri una taarifa zipi mpya ebu tuelezeeWananchi wasiojua kuchambua mambo lazima wampende magufuli na yeye ndio alikuwa ame invest kwenye ujinga na umaskini wao …..na kutumia hulka yetu watanzania ya kupenda kuona watu wanashughulikiwa hasa MATAJIRI , WASOMI na WENYE MADARAKA ….
Sikatai ukweli kuwa ufisadi umekuwa mkubwa ….ninakataa tu hali ya wafuasi wa magufuli kutaka kujenga propaganda kuwa alikuwa MALAIKA ..na MSAFI …ukweli ni kuwa utawala wa Magufuli ufisadi ulikuwa mkubwa tu na zaidi ukiwahusisha watu wake wa karibu …
TUACHENI siasa za kuwatumia maskini na watu wasio na taarifa .
Exactly!!!!!Na wala hujawasikia wakipigia kelele wizi kwenye ripoti ya CAG. Ila wakisikia kipengele kwenye sehemu ya ripoti inatajwa awamu ya 5, utawasikia wanaitisha press. Washanunuliwa hawa
Kumpamba hiyo kilaza mwambie alete ushahidi wa uhusika wa mauaji hayo usikubali kulishwa matango pori Kama ye alivyolishwaNdugu yangu, yaliyokwisha kufanyika, yashafanyika, tulie ama tugalagale, bado haibadirishi kitu, yatubidi tuyasahau na tuendelee mbele!
Tuyafanye kama rejea kutenda mema zaidi, tumwachieni Mungu ajuaye viumbe vyake
Sasa Kama uligushi vyeti vyako hasira za Nini kwa Mwendazake!? Magu yeye alikua anasimamia Sheria za Nchi hana kosa lolote lile!!
Jibu kwanza swali alafu ndiyo na wwe uulize swali lako!! Swali kwa swali no!!Weka uhalali wa PhD mezani yake ili tuone sheria alizokuwa anasimamia.
Hana jibu mhuni tu yuleJibu kwanza swali alafu ndiyo na wwe uulize swali lako!! Swali kwa swali no!!
Jibu kwanza swali alafu ndiyo na wwe uulize swali lako!! Swali kwa swali no!!