Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Magufuli alikuwa dar es salaam, akisema neno, linafanyika 😍
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli alikuwa dar es salaam, akisema neno, linafanyika 😍
Wasio na uwezo wa kununua haki yaoMaskin au sukuma gang
unaweza kudhani kusoma kutamfanya mtu kuwa na uelewa wa kila mambo na kumbe sivo hakika akili ni mazingatio na elimu ipo kwajili ya kumtanulia mwanadamu wigo wa kufikir lakin kwako nadhani haiko ivo hiv viongoz wanao kula pesa za uma na kusababisha mirad mbali mbali ya nchi kutofanyika ushawahi jiuliza athari za hayo na ni vifo vingapi vinasababishwa juu ya kutokuwa mwadilifu? ukishajua ilo ndo utaelewa kiongoz katili muaji ni yup na mwerevu mwenye kusimamia majukumu yake vema ni yupTunamshukuru Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
unaweza kudhani kusoma kutamfanya mtu kuwa na uelewa wa kila mambo na kumbe sivo hakika akili ni mazingatio na elimu ipo kwajili ya kumtanulia mwanadamu wigo wa kufikir lakin kwako nadhani haiko ivo hiv viongoz wanao kula pesa za uma na kusababisha mirad mbali mbali ya nchi kutofanyika ushawahi jiuliza athari za hayo na ni vifo vingapi vinasababishwa juu ya kutokuwa mwadilifu? ukishajua ilo ndo utaelewa kiongoz katili muaji ni yup na mwerevu mwenye kusimamia majukumu yake vema ni yupi
Nonsense umeongea upumbavu Sana."Jpm alijificha kwenye chaka la kutetea wanyonge, ambao kimsingi ndio Tupo wengi, na alifanikiwa kuwa kamata wajinga na wapumbavu wengi kweli, he was very bright!
Kuyasema yaliyokweli ya moyoni kumhusu JPM, kwamba alikuwa ni kiongozi mwenye dhamira ya kweli kutaka kuipeleka nchi kwenye mafanikio makubwa, ni kujiondoa kwenye kundi la wajinga, wanafiki na wapumbavu, watukanaji na hawajawahi kuelewa wanahitaji kiongozi wa aina gani!"Jpm alijificha kwenye chaka la kutetea wanyonge, ambao kimsingi ndio Tupo wengi, na alifanikiwa kuwa kamata wajinga na wapumbavu wengi kweli, he was very bright!
Sio Mimi tu hata mooHii unajua wewe bwashe
Hatukatai wanufaika wapesa chafu zaukwapuaji mpo wengi sana lazima msikitike lijambazi likuu limewatoka jambazi pia anandugu zake ambao ninyie sikitika harudi mtu hapa au kazikwe naeHii unajua wewe bwashe
Sasa Kama uligushi vyeti vyako hasira za Nini kwa Mwendazake!? Magu yeye alikua anasimamia Sheria za Nchi hana kosa lolote lile!!Kitabu ni kwa ajili ya watu serious sio kil.aza kama wewe. Wanaojitambua huwa wanasoma vitabu usidhani kwa sababu unakesha kule MMU basi unadhani Kila mtu hajitambui kichwani. Ni hivi historia ya dhalimu lazima ielezwe kwa uwazi Ili liwe funzo kuepuka aina ya kiongozi kama yeye kupewa madaraka makubwa vile.
Wwe usijali utakufa kishuja Guest house na mchepuko wako!!Mnajiliwaza wenyewe na Marehemu wenu aliyekufa kizembe
Usisahau kua Jinai haifi,wwe ulie gushi vyeti kuna siku isiyokua na jina wwe na wenzio wa Kugushi lazima tuwapandishe kwa Pilato!!Vyovyote iwapo hakuna jambo linatupa furaha iso kifani kama uhakika kwamba shetani yule hatorudi kamwe.
Hayo mengine bakini nayo wafuasi wake.
Hakika March 17 is a big day Mungu alijua kutukomboa waja wake
JPM the heroic and African Icon!. You will be remember forever daddy for the legacy you left. RIP Daddy.JPM Was a greatest leader ever.
Na wala hujawasikia wakipigia kelele wizi kwenye ripoti ya CAG. Ila wakisikia kipengele kwenye sehemu ya ripoti inatajwa awamu ya 5, utawasikia wanaitisha press. Washanunuliwa hawaBavicha watakwambia huyo mama Ni suukumagang
Kama ambavyo kuondoka kwako, kwangu na kwa mwengine kutakavyodumu... uwepo wake umekoma! Kuondoka kwake kutadumu milele.
Hao wa mitandaoni, it does not come naturally. WAMETUMWAMmmmh, siyo kwamba mmewatengeneza hao watu?.
Ila niliwahi sema Magufuri anachukiwa mtandaoni tu but majority kubwa huko mtaani wapo wazi, hilo ni eneo dogo tu la nyamuswa pale Ikizu, sasa amsha popo maeneo mengine alafu upate feedback.
Ahahahaaaa, mwamba JPM.
Hawa ni SUKUMA GANG Tawi la Nyamuswa
Kwa hiyo?Hawa ni SUKUMA GANG Tawi la Nyamuswa
wafe tuKwa hiyo?