Video: Wananchi wakimlilia Hayati Magufuli baada ya kuchoshwa na uonevu

Video: Wananchi wakimlilia Hayati Magufuli baada ya kuchoshwa na uonevu

hata wewe pia udongo utakufukia na hukumu yako utaipata mbele ya Allah.
 
... that man is no more and shall never come back again! Hatujaamrishwa kushukuru kwa kila jambo? Tunashukuru kwa kuondoka kwake!

Watu wa hivi ndio mnafanya ushoga uonekane ni janga.
 
Jiwe limekupiga gizani, naona umetoka kwenye mwanga tujue👏🏾👏🏾👏🏾!.

Punguani siyo lazima umkute anaokota uchafu hama nguo zake zimetatuka NO!.
Punguani kwa kusoma vitabu? Unachekesha we kil.aza. vitabu wanaandikiwa wanazuoni ndio maana kipo lugha ya kiingereza. Najua hicho kitabu huwezi soma maana lugha haipandi na huna elimu ya kung'amua concepts za humo so endelea kubwabwaja Mitandaoni ila ukae ukijua sio Kila kitu ni kwa ajili ya vil.aza kama nyie.
 
Wanatamani kusema sukuma gang. Ila wanapogundua video ni mkoa wa mara matumbo ya kuhará yanawakamata
Mkoa wa Mara ndio ulitoa wabunge wengi zaidi wa Chadema kuliko Kanda nzima ya Victoria. Huko ni sebule ya wapinzani so ni wajinga tu mnaodhani Mara ni ngome ya CCM. Kuanzia Bunda Hadi Tarime, Serengeti mpaka Musoma hiyo 2025 zinarudi Tena upinzani
 
Hao wananchi niwapumbavu kabisa unamuuomba au kumlilia jambazi mkubwa ametudhulumu wavuvi Kara yakalya wilaya uvinza kijiji kashagulu mungu amlani hukoalipo aongeze moto hadi sasa sinaham Mimi familia yangu pamoja wavuvi wangu hatutopiga kura maisha yetu tena tunaacha mambo yetu tunasimama muda mrefu kwenye mistari alafu MTU anakuja kukomoa hatutaki tena
Unataka wakulilie wewe unanini bwashe
 
Kwahiyo unaonaraha wanavyomlilia jambazi kambale?mzulumati na aduwi wa wavuvi mtekaji na mkandamizaji wa democrasia mungu amchome kabisa
Hii unajua wewe bwashe
 
Sidhani kama itakuja tokea Kiongozi mwenye maono na mtekelezaji kama JPM katika nchi hii..
 
Hayo mambo kawaida tu, mbona wapo wanaomlilia Nyerere hadi leo?!!!!
Ni namna fulani tu ya waliopatwa na jambo kuexpress hisia zao....

Simchukii jpm wala samia kwani wote, kwa namna moja au nyingine, nimefaidika nao kipindi Chao ila kwa hili haters wa samia mkajipange tena.......bado saaaaaaana. Hivi kipindi billion kadhaa za wakulima wa korosho wa mtwara zimechukuliwa kwa nguvu na mikwara juu, haters hamkuviona vile vilio vya wale wakulima waliojichokea?!!!!
Vp vilio vya wale pale kimara waliobomolewa nyumba zao hamkuviona?!!!!

Vp vilio vya walioporwa Mali?!!!
Waliodharirishwa na kina musiba?!!!
Umeongea ukweli mtupu
 
Pumbafu kbs sasa si akazikwe naye analialia nini jinga hili bila shaka huyu maskin ni sukuma gang
Kuna siku mtaanza kujitenga na watoto wenu ndani mwenu kwa kuwavika dhana hewa ya Sukuma Gang.

Maana upofu si ugonjwa wa kurithishana.
 
Back
Top Bottom