Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajinga wa ufipa wanajipa moyo tu lakini hawana loloteKiukweli kabisa mambo yalivyo huku mtaani hali ni mbaya sana. Tofauti na humu mitandaoni ambapo walamba asali mtu mmoja anaweza kuwa na akaunti hata kumi majina tofauti. Hivi watu wa TIS hawaoni? Au mpaka nchi itumbukie matopeni?
So nchi ilishapona wanategemea haitakuja kuugua tena?.Mafisadi wanadai mama anaponya nchi wamemuandikia na kitabu
Kushindwa Nini Tena wakati Mzoga wenu umeshaoza mifupa?? Huwa siwaelewi mnaodai JPM hajashindwa wakati ameondoka kiulaini tu..mnatia huruma sanaMtashindwa tu.
Kitabu ni kwa ajili ya watu serious sio kil.aza kama wewe. Wanaojitambua huwa wanasoma vitabu usidhani kwa sababu unakesha kule MMU basi unadhani Kila mtu hajitambui kichwani. Ni hivi historia ya dhalimu lazima ielezwe kwa uwazi Ili liwe funzo kuepuka aina ya kiongozi kama yeye kupewa madaraka makubwa vile.Hao waliotunga kitabu ni wajinga tu, wanatunga kitabu nani akisome, wanajua au hawajui sisi siyo wasomaji wa vitabu?.
Sawa mkuu!.…
TUACHENI siasa za kuwatumia maskini na watu wasio na taarifa .
Mnajiliwaza wenyewe na Marehemu wenu aliyekufa kizembeJPM Was a greatest leader.
Misukule mmeki kujiliwaza kwa matumaini labda ipo siku atarudiHayati JPM atabaki kua Kiongozi wa watu ,siku zote za uhai wa Nchi ya Tanzania !!.
Wataandika vitabu, Watamsema wanavyoweza, ila ukweli nikwamba, JPM atabaki kua Baba Bora Nchi hiii !!.
Mjinga wewe ambaye mpk zama hz unaabudia kaburiHii haiondoi ukweli kwamba, wajinga mmeendelea kubaki walewale wa siku zote
Vyovyote iwapo hakuna jambo linatupa furaha iso kifani kama uhakika kwamba shetani yule hatorudi kamwe.2025 inafika mkuu ndo watajua Jiwe kumbe alipendwa.
Jiwe limekupiga gizani, naona umetoka kwenye mwanga tujue👏🏾👏🏾👏🏾!.Kitabu ni kwa ajili ya watu serious sio kil.aza kama wewe. Wanaojitambua huwa wanasoma vitabu usidhani kwa sababu unakesha kule MMU basi unadhani Kila mtu hajitambui kichwani. Ni hivi historia ya dhalimu lazima ielezwe kwa uwazi Ili liwe funzo kuepuka aina ya kiongozi kama yeye kupewa madaraka makubwa vile.
Kushindwa Nini Tena wakati Mzoga wenu umeshaoza mifupa?? Huwa siwaelewi mnaodai JPM hajashindwa wakati ameondoka kiulaini tu..mnatia huruma sana
Hao wananchi niwapumbavu kabisa unamuuomba au kumlilia jambazi mkubwa ametudhulumu wavuvi Kara yakalya wilaya uvinza kijiji kashagulu mungu amlani hukoalipo aongeze moto hadi sasa sinaham Mimi familia yangu pamoja wavuvi wangu hatutopiga kura maisha yetu tena tunaacha mambo yetu tunasimama muda mrefu kwenye mistari alafu MTU anakuja kukomoa hatutaki tena
Shujaa uchwara
Hapa tayari virusi vilikuwa utosiniOctoba 2015, Pombe Magufuli
Kuna jamaa hapa Mbeya anatamba na mihela amejenga maukuta ya kuchepusha mto kwenda kwenye ardhi zake, ngoja niwe Rais haki ya Mungu atakoma kuringa......
![]()
Wanatamani kusema sukuma gang. Ila wanapogundua video ni mkoa wa mara matumbo ya kuhará yanawakamataNyumbu wakiona hivi wanatamani kupasuka
Hali ni mbaya sana
Mpumbavu katika ubora wako!... that man is no more and shall never come back again! Hatujaamrishwa kushukuru kwa kila jambo? Tunashukuru kwa kuondoka kwake!