nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Duu! Umeongea kinyonge sana huku ukijua kuwa jiwe hana nafasi mwaka huu.ole sanaSawa Ila rais wa JMT atabaki kuwa jiwe tu kabla na Baada ya uchaguzi.
Hayo Mengine tubaki kujipa moyo na kujifariji tu hapa jukwaani.
IGP lazima anune kwasabb anajua kuanzia October 28 atakuwa raia wa kawaida,wengi wao wanajua maisha Yao yatakuwa ya kubangaiza..Ndiyo maana IGP kanuna.
..basi waambieni wananchi wasimshangilie Tundu Lissu.
Utawaweza uvccm ndg yangu? watakwambia hao siyo watu, mara ni wahuni mara hawajiandikisha mara wameenda kumshangaa Lisu, yani hawaelewi wasimamie wapi.Mnavosema chadema ipo mitandaoni
Vipi kuhusu Hawa? Wametolewa mitandaoni?
Ata akikuomba ukamsandali kama alivomuomba sugu akamsugue hutaki?Bichwa hatumtaki, bichwa hatumtaki, bichwa hatumtaki bichwa hatumtaki
Acha kuishi kwa mazoea CCM haipo tena mioyoni mwa Watanzania.Jiandaeni kisaikolojia kurudi Chato!Sawa Ila rais wa JMT atabaki kuwa jiwe tu kabla na Baada ya uchaguzi.
Hayo Mengine tubaki kujipa moyo na kujifariji tu hapa jukwaani.
Acha kuishi kwa mazoea CCM haipo tena mioyoni mwa Watanzania.Jiandaeni kisaikolojia kurudi Chato!Sawa Ila rais wa JMT atabaki kuwa jiwe tu kabla na Baada ya uchaguzi.
Hayo Mengine tubaki kujipa moyo na kujifariji tu hapa jukwaani.
Ukimaliza unywe kiloriti utibu utiSawa Ila rais wa JMT atabaki kuwa jiwe tu kabla na Baada ya uchaguzi.
Hayo Mengine tubaki kujipa moyo na kujifariji tu hapa jukwaani.
Wamechanganyikiwa, na safari hii hawaibi kura, Lissu sio Lowassa.eti akaripoti Moshi....mguseni Mziki upigwe!!!!
Bichwa hatumtaki ukabila ndio umemjaaBichwa hatumtaki, bichwa hatumtaki, bichwa hatumtaki bichwa hatumtaki
IGP lazima anune kwasabb anajua kuanzia October 28 atakuwa raia wa kawaida,wengi wao wanajua maisha Yao yatakuwa ya kubangaiza
Aminata asiposhinda hili jimbo nitamhurumia sana she has done so much nampa 60% win hili jimbo.Inakuwaje wanaJF!
RAIS anayesubiri kuapishwa kalakiwa kiaina yake Korogwe huku umati wa watu wakirukaruka na kuimba mkombozi amerudi
Mnavosema chadema ipo mitandaoni
Vipi kuhusu Hawa? Wametolewa mitandaoni?
Tundu Lissu is untouchable, and unshakeable
Hizo ni kauli za kujiliwaza MATAGA,kina pole pole wanatumia kumlaghai boss waoMnavosema chadema ipo mitandaoni
Vipi kuhusu Hawa? Wametolewa mitandaoni?
Mkuu umesharudi katika hali yako ya kawaida?Hii ni editing
eti akaripoti Moshi....mguseni Mziki upigwe!!!!
Kwanini mgombea wa CCM, lugha ya kiingereza inamchenga?