Uchaguzi 2020 VIDEO: Wananchi walivyojitokeza kwa wingi Korogwe kumlaki Lissu wakiimba mkombozi amerudi

Uchaguzi 2020 VIDEO: Wananchi walivyojitokeza kwa wingi Korogwe kumlaki Lissu wakiimba mkombozi amerudi

Ccm imebaki kwenye mauno ya zuchu na diamond
 
aliyekwambia kiingereza ni lugha rasmi ya tanzania ni nani???

usidanganywe na hawa watumiaji fake wa ID humu jf,wengi ni viazi tu.
Nenda mahakamani utazame vifungu vya Sheria vimeandikwa kwa lugha ipi. Vile vile jiulize kwanini SEKONDARI lugha ya mawasiliano ni kiingereza?
 
Nenda mahakamani utazame vifungu vya Sheria vimeandikwa kwa lugha ipi. Vile vile jiulize kwanini SEKONDARI lugha ya mawasiliano ni kiingereza?

nakwambia lugha rasmi ya mawasiliano tz ni kiswahili,kiingereza ni lugha mhimu ya mawasiliano.

sekondari lugha ya mawasiliano ni kiingereza!!!!! au lugha ya masomo unamaanisha??
 
nakwambia lugha rasmi ya mawasiliano tz ni kiswahili,kiingereza ni lugha mhimu ya mawasiliano.

sekondari lugha ya mawasiliano ni kiingereza!!!!! au lugha ya masomo unamaanisha??
Sasa kama kiingereza ni lugha mhimu ya mawasiliano, mbona mgombea wa CCM inamsumbua na ni chanzo cha kuogopa kwenda Ulaya?
 
Sasa kama kiingereza ni lugha mhimu ya mawasiliano, mbona mgombea wa CCM inamsumbua na ni chanzo cha kuogopa kwenda Ulaya?

huo ni mtazamo wako jamaa yangu sijui unafikiri kwa kutumia kitu gani???
unadhani rais anakosa mkalimani wa kwenda naye huko ulaya mnakoona ni deal sana kufika!!!

halafu tembeeni mjifunze mtajua kuna marais wengi sana duniani hawajui kiingereza.
 
huo ni mtazamo wako jamaa yangu sijui unafikiri kwa kutumia kitu gani???
unadhani rais anakosa mkalimani wa kwenda naye huko ulaya mnakoona ni deal sana kufika!!!

halafu tembeeni mjifunze mtajua kuna marais wengi sana duniani hawajui kiingereza.
Tangu nchi ipate uhuru 1961 ni rais yupi hakujua kuongea kiingereza?
 
Hapa mahera na siro wanaumia Sana, wapande jukwaani wakaokoe jahazi.
Hizi sio zama za kutishana
 
Tangu nchi ipate uhuru 1961 ni rais yupi hakujua kuongea kiingereza?

labda ungeuliza ni rais yupi hakujua kuzungumza kiswahili.

mimi nazungumzia dunia na nchi nyingine,uone ni jinsi gani kiingereza unakisujudu wewe na na elimu yako ya kizungu.
 
Hapa mahera na siro wanaumia Sana, wapande jukwaani wakaokoe jahazi.
Hizi sio zama za kutishana

mkuu wakutishe mtu mzima na manyoya kwenye makalio!!!

kwanini ufikiri unatishwa???
 
Hiki kinachotokea kinanifanya niamini ule msemo "everything happens for a reason"

Alie zuia round ya pili isifanyike kwa chopa akizani anamkoa Lissu , matokeo yake yamekua ni baraka kubwa sana.

Ukiona Jambo linatokea usilie, songa mbele Kuna siku utakuja kushukuru
 
Back
Top Bottom