Mr Tyang JF-Expert Member Joined Sep 30, 2018 Posts 1,728 Reaction score 6,806 Oct 1, 2020 #61 Jackal said: Acha kuishi kwa mazoea CCM haipo tena mioyoni mwa Watanzania.Jiandaeni kisaikolojia kurudi Chato! Click to expand... . Wewe Jamaa ni juha kabisa. Kuna mahali umeona nimeandika Neno CCM? Jiwe atabaki kuwa jiwe tu na atabaki kuwa Rais tu.
Jackal said: Acha kuishi kwa mazoea CCM haipo tena mioyoni mwa Watanzania.Jiandaeni kisaikolojia kurudi Chato! Click to expand... . Wewe Jamaa ni juha kabisa. Kuna mahali umeona nimeandika Neno CCM? Jiwe atabaki kuwa jiwe tu na atabaki kuwa Rais tu.
Jackal JF-Expert Member Joined Apr 10, 2012 Posts 9,971 Reaction score 13,608 Oct 2, 2020 #62 Idimulwa said: Itawekwamo kwa nguvu mkuu Click to expand... Umma ukiamua huwezi kuuzidi nguvu!
Jackal JF-Expert Member Joined Apr 10, 2012 Posts 9,971 Reaction score 13,608 Oct 2, 2020 #63 Mr Tyang said: . Wewe Jamaa ni juha kabisa. Kuna mahali umeona nimeandika Neno CCM? Jiwe atabaki kuwa jiwe tu na atabaki kuwa Rais tu. Click to expand... Sio lazima acha kukariri
Mr Tyang said: . Wewe Jamaa ni juha kabisa. Kuna mahali umeona nimeandika Neno CCM? Jiwe atabaki kuwa jiwe tu na atabaki kuwa Rais tu. Click to expand... Sio lazima acha kukariri
Mwamuzi wa Tanzania JF-Expert Member Joined Apr 7, 2020 Posts 15,486 Reaction score 45,256 Oct 2, 2020 #64 tweenty4seven said: Bichwa hatumtaki ukabila ndio umemjaa Click to expand... Bichwa cursed out
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 47,706 Reaction score 69,281 Oct 2, 2020 #66 Walahi CCM bila wizi na mabavu ya vyombo vya dola safari hii hata asilimia ishirini hawapati
A Akasankara JF-Expert Member Joined Feb 28, 2015 Posts 4,210 Reaction score 5,752 Oct 2, 2020 #67 mkorinto said: labda ungeuliza ni rais yupi hakujua kuzungumza kiswahili. mimi nazungumzia dunia na nchi nyingine,uone ni jinsi gani kiingereza unakisujudu wewe na na elimu yako ya kizungu. Click to expand... Kwanini hii lugha ya kiingereza ni kikwazo kikuu kwa mgombea wa CCM?
mkorinto said: labda ungeuliza ni rais yupi hakujua kuzungumza kiswahili. mimi nazungumzia dunia na nchi nyingine,uone ni jinsi gani kiingereza unakisujudu wewe na na elimu yako ya kizungu. Click to expand... Kwanini hii lugha ya kiingereza ni kikwazo kikuu kwa mgombea wa CCM?