Video: Wapalestina wafanyia HAMAS fujo, baada ya HAMAS kupiga risasi kijana aliyekua anang'ang'ania chakula

Video: Wapalestina wafanyia HAMAS fujo, baada ya HAMAS kupiga risasi kijana aliyekua anang'ang'ania chakula

Sasa mmmarekani akisilimu uislam unapungua Marekani? Wewe akili zako ziko wapi
Sasa akili zangu zina uhusiano gani na hayo unayoyasema?
Elewa kwamba waislamu wengi wamehamia ulaya na kupata uraia na siyo kwamba uislamu umeenea ulaya.
 
Hao mawazo yako na akili yako ndio inavyokuelekeza. Lkn watu wenye asili ya Marekani wamesilimu tena wengi mno
Sasa akili zangu zina uhusiano gani na hayo unayoyasema?
Elewa kwamba waislamu wengi wamehamia ulaya na kupata uraia na siyo kwamba uislamu umeenea ulaya.
 
Ok. Kuna siku alitaka vijana wa kumuoa humu. Nimekuelewa
Siko sahihi Baadhi ya sehemu. Ila majina na profile picture si yake ni ya huyo Mama niliemsema.
Yeye huyu hapa mwenyewe.
 

Attachments

  • db6bdc06da9f9f9b9b10ac5faef4095d.jpg
    db6bdc06da9f9f9b9b10ac5faef4095d.jpg
    11.9 KB · Views: 2
Hao mawazo yako na akili yako ndio inavyokuelekeza. Lkn watu wenye asili ya Marekani wamesilimu tena wengi mno
Umetoka ulaya umehamia Marekani tena?
Hata huko ndo hivyo hivyo hakuna uislamu kuenea bali waislamu wanaohamia na kupewa uraia ndo wameongezeka. Najua hutonielewa ila hiyo ndo hali halisi
 
Umetoka ulaya umehamia Marekani tena?
Hata huko ndo hivyo hivyo hakuna uislamu kuenea bali waislamu wanaohamia na kupewa uraia ndo wameongezeka. Najua hutonielewa ila hiyo ndo hali halisi

US Female Soldier Converts To Islam​

 
Akili zako za kitoto. Kwani uislam ukienea Ulaya wewe utapungukiwa nini?
Hapo kusema unaenea unapotosha
Sema waislamu wameenea Ulaya.
Naomba uelewe pamoja na hizo akili zangu za kitoto ambazo hazitaki upotoshaji unaoufanya.
 
Ulaya ni ya Wakrito na Uarabuni ni Ya Waislamu Sasa Jipe Jibu Mwenyewe Kuhsu Maisha Ya Kawaida Binadamu Wengi Wanakimbilia Wapi Kutafuta Maisha Bora na Kukidhi Familia Zao
 
Back
Top Bottom