Video: Watu wenye maoni ya kuikera serikali kama huyu dada ndio wasiotakiwa na serikali ya CCM. Sitashangaa polisi wakimkamata kwa uchochezi!!

Video: Watu wenye maoni ya kuikera serikali kama huyu dada ndio wasiotakiwa na serikali ya CCM. Sitashangaa polisi wakimkamata kwa uchochezi!!

Hataki watu walipe kodi, hataki bodaboda walipe kodi, hataki bandari ibinafsishwe, anadhani kila mtu anweza kuuza kama yeye? Inawezekana labda yeye ana anachouza ndio maana hana adabu kwa rais?
Mshamba kama washamba wengine tu

Mama ni mpaka 2030 Mungu akipenda umri ukiwepo

Hata mkazane vipi, wagalatia subirini tu kwanza
Unafikiri mnamkomoa nani, zaidi ya kuua taifa lako. Wewe ni kiongozi sasa, mlamba asali ila jaribu kufikiria hata watoto wako, miaka 30, 50,100 ijao.
 
We utatawaliwa tu, utake ustake, hamna lolote la kufanya, mtaendelea kuropokaaaaaa
Sie tunachanja mbuga, tukutane 2030
Sawa nyani? Umeelewa au nirudie tena?
20300000000000 hukooooooo
Ona hata aibu basi !Tangu ukurasa wa kwanza mpaka wa mwisho wewe tu ndo unaoneka ni MALAYA WA KISIASA!!!Acha umalaya wa kiasa uende mbinguni
 
Ona hata aibu basi !Tangu ukurasa wa kwanza mpaka wa mwisho wewe tu ndo unaoneka ni MALAYA WA KISIASA!!!Acha umalaya wa kiasa uende mbinguni
Hii ndio shida ya malaya, yaani anaona wooote ni malaya kama yeye,
Yaani mnataka wote tuwafate nyie wenye chuki?
Kama nyie mnamchukia wengine watampenda, acheni kufosi basi
Kila mtu na afate anapoona panafaa
 
Unafikiri mnamkomoa nani, zaidi ya kuua taifa lako. Wewe ni kiongozi sasa, mlamba asali ila jaribu kufikiria hata watoto wako, miaka 30, 50,100 ijao.
Kwani baya lipi mliloona zaidi ya propaganda zenu za udini?
Mnadhani wote wanaona mnavyoona?
Ni mama mpaka 2030000000000
 
Labda mkubali kuwa mashoga WA waarabu WA Dubai. Na walete jeshi.lao hapa. Na mkishinda mkubali kuolewa nao kabisa. Bila hivyo hamkatizi nyie vibaka Tu.
Kwani nyie ni mashoga wa wazungu?

Nyie wala hamuhitaji jeshi, ni ccm tu itawatawala milele washamba tu nyie
Ni mama mpaka 20300000000000
Utake ustake we ni nyani tu
 
Hataki watu walipe kodi, hataki bodaboda walipe kodi, hataki bandari ibinafsishwe, anadhani kila mtu anweza kuuza kama yeye? Inawezekana labda yeye ana anachouza ndio maana hana adabu kwa rais?
Mshamba kama washamba wengine tu

Mama ni mpaka 2030 Mungu akipenda umri ukiwepo

Hata mkazane vipi, wagalatia subirini tu kwanza
Akili yako imeelewa kile Dada ameelezea lakini

Hivi, nyinyi maccm, network huwa zinashika kweli?
 
Nilitumia kichwa, tena kile kichwa chenye kuleta vichwa (uboho)
Washamba wakubwa nyie, yaani mnataka kila mtu afate mnachotaka? Mie naona kaongea pumba tu
Ndiyo kariba ya waliowengi so siwezi kushangaa kutoa maelezo kama haya
 
Kwani nyie ni mashoga wa wazungu?

Nyie wala hamuhitaji jeshi, ni ccm tu itawatawala milele washamba tu nyie
Ni mama mpaka 20300000000000
Utake ustake we ni nyani tu
Tunakufahamu we ni shoga mkuu! Tuone mpira dak 90! Makazi yenu na yule mkwe wenu ni the Hague! Andaa makalio vizuri na lainisha vizuri tu!
 
View attachment 2753882

Kwa ufupi na kwa uchache;

"Inashangaza kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anahubiri amani, uzalendo na utulivu huku akisahau neno HAKI Kwa makusudi. Pengine hajui kuwa hayo yote ni tunda la HAKI. Bila haki, hakuna yote hayo!"

"Kuhusu Rais kuita katiba ya JMT kama kitabu tu kama vitabu vingine alikosea. Kauli hiyo ingetolewa na Mwenyekiti wa Kijiji au serikali ya mtaa au balozi wa nyumba kumi isingeshangaza. Lakini kutolewa na Rais, basi ni dharau na bila shaka kuna shida mahali.."

"..Sioni substance wala contents zozote kwenye hotuba zote za Rais Samia Suluhu Hassan"

"Na Rais kwenye ziara zake hajasema lolote kuhusu mkataba mbovu wa bandari. Ni Kwa sababu hata yeye mwenyewe hana majibu ya jambo hili"


Credit & Courtesy to Jambo TV
Tunasubiri kumsikia RPC wa Njombe atasema nini au inawezekana kakausha anajifanya hajui
 
View attachment 2753882
View attachment 2753882

Kwa ufupi na kwa uchache;

"Inashangaza kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anahubiri amani, uzalendo na utulivu huku akisahau neno HAKI Kwa makusudi. Pengine hajui kuwa hayo yote ni tunda la HAKI. Bila haki, hakuna yote hayo!"

"Kuhusu Rais kuita katiba ya JMT kama kitabu tu kama vitabu vingine alikosea. Kauli hiyo ingetolewa na Mwenyekiti wa Kijiji au serikali ya mtaa au balozi wa nyumba kumi isingeshangaza. Lakini kutolewa na Rais, basi ni dharau na bila shaka kuna shida mahali.."

"..Sioni substance wala contents zozote kwenye hotuba zote za Rais Samia Suluhu Hassan"

"Na Rais kwenye ziara zake hajasema lolote kuhusu mkataba mbovu wa bandari. Ni Kwa sababu hata yeye mwenyewe hana majibu ya jambo hili"


Credit & Courtesy to Jambo TV

Kwa ufupi na kwa uchache;

"Inashangaza kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anahubiri amani, uzalendo na utulivu huku akisahau neno HAKI Kwa makusudi. Pengine hajui kuwa hayo yote ni tunda la HAKI. Bila haki, hakuna yote hayo!"

"Kuhusu Rais kuita katiba ya JMT kama kitabu tu kama vitabu vingine alikosea. Kauli hiyo ingetolewa na Mwenyekiti wa Kijiji au serikali ya mtaa au balozi wa nyumba kumi isingeshangaza. Lakini kutolewa na Rais, basi ni dharau na bila shaka kuna shida mahali.."

"..Sioni substance wala contents zozote kwenye hotuba zote za Rais Samia Suluhu Hassan"

"Na Rais kwenye ziara zake hajasema lolote kuhusu mkataba mbovu wa bandari. Ni Kwa sababu hata yeye mwenyewe hana majibu ya jambo hili"


Credit & Courtesy to Jambo TV
Duu ,dada kiboko.kumbe we mkali.kipindi na kutibu ningejua uko mkali hivi ningeingia mitini.

lakini uongozi bora ni kutatua matatizo ya wananchi wote bila kubagua kwa misingi ya rangi,kabila,udini au uanachama kwa jibu hoja za wanannchi wako wanaokulipa mishahara.tukumbuke kuwa kila kiongozi wa serikali mabosi wake ni wananchi .hivyo yatupasa kuwanyenyekea sana mabosi wetu
 
WE NYANI TU 🦍

WE NYANI TU 🦍
1695297847505.png
 
Back
Top Bottom