Video: Watu wenye maoni ya kuikera serikali kama huyu dada ndio wasiotakiwa na serikali ya CCM. Sitashangaa polisi wakimkamata kwa uchochezi!!

Video: Watu wenye maoni ya kuikera serikali kama huyu dada ndio wasiotakiwa na serikali ya CCM. Sitashangaa polisi wakimkamata kwa uchochezi!!

Ana hoja kubwa. Pia uthubutu mkubwa sana.



Lakini….

Kusema hotuba ya Rais ilikua ni Mipasho tu hakuna content inaondoa ustaarabu katika hoja yake, tukosoane kwa staha.


Kuhusu Bandari kasema Ukweli ila kauweka general sana kiasi ikiwa anasikilizwa yeye kwanza ili kufanya maamuzi basi atawapoteza wengi. Uwekezaji bandarini sio Tatizo, tatizo ni masharti na makubaliano ya huo uwekezaji.


Elimu ya Katiba ya sasa ni muhimu pia sio mbaya japo timing kwa upande wa serikali ni mbovu.

Watanzania waliokua na umri wa miaka 10 Mwaka 2014 wakati wa mchakato wa Katiba Mpya na ukusanyaji maoni hawakuwa na uwezo wa kufanya maamuzi wala kupiga kura. Leo hii watu hao wanamiaka 19 umri sahihi wa kuifahamu kiundani Katiba ya sasa na pia ndio umri sahihi wa kufanya maamuzi na kupiga kura.

Na hapo kwenye Katiba, tuwe wakweli, hii iliyopo sasa inavunjwa na kukanyagwa kila kukicha ni kipi cha maana kimewahi kufanyika?

Somo la Katiba ya nchi halipo mashuleni wala kwenye jamii zetu, asilimia karibu 50 ya watanzania hawaelewi haki na hawatambui wajibu wao.

Tatizo ni kwamba elimu waliyosema wataitoa kwa wananchi kwa miaka 3 inawezekana isitolewe na watu wakapiga pesa za project na uchaguzi ukapita na tukaendelea pale pale tulipokua.

Kwanini vyama vya upinzani navyo visiungane na hii kampeni ya kuelimisha jamii kuhusu Katiba ya sasa, Haki na Wajibu wao kwao binafsi na Taifa ili kuwapigania kwa vitendo watanzania?

Kwenye hizo kamati zao za maridhiano kwanini wasiridhiane kushirikiana kuelimisha ummah kuhusu Katiba na hilo fungu la project waligawane pamoja?

Maana Kama wote nia ni moja hata Muda wa kusambaza hiyo elimu utapungua to a half maana nguvu kazi itakua kubwa na watamaliza mapema zaidi.

Baada ya hapo wamuachie mtanzania kuamua baada ya kuelimishwa na pande zote, Serikali na Vyama vya Upinzani.

Ama lazima tuwe tofauti kwa kila jambo?
 
Umepanick? Inauma? Huyu anaemtusi rais humuoni? Acheni ushamba nyie, nyie ni n'gombe tu, mmezaliwa mkakua kama miti porini hamjui ustaarabu wala uungwana kwendeni zenu urundi urwanda huko hapa tanzania ni inchi ya wastaarabu, nguruwe kama nyie kwenu ni porini, nyangau mkubwa

Mama yupo mpaka 2030, wagalatia endeleeni kuumia kwa sana tu
Narudia majizi hayatapewa nchi tena. Hatuwezi kuruhusu kutawaliwa na IQ ndogo ya Kuku. Jibwa lenye kichaa kama wewe linatibiwa ikishindikana ni Shaba Tu usijeambukiza watu wasio na hatia. Eti mkubwa mkubwa mwizi asiye jiheshimi ni mbwa Tu.
 
Hakuna uhuru usio na mipaka sheria pia hairuhusu mtoto kupigwa ila akikosea mbona tunawapa kipigo
Asa kila mtu akiachwa aropoke anavyojiskia serikali c itakua ya kiboya

..Raisi naye asiropoke.

..Au Raisi akiropoka na kuambiwa ameropa asitumie Polisi na mahakama kuwasumbua wanaomkosoa.
 
Narudia majizi hayatapewa nchi tena. Hatuwezi kuruhusu kutawaliwa na IQ ndogo ya Kuku. Jibwa lenye kichaa kama wewe linatibiwa ikishindikana ni Shaba Tu usijeambukiza watu wasio na hatia. Eti mkubwa mkubwa mwizi asiye jiheshimi ni mbwa Tu.
We utatawaliwa tu, utake ustake, hamna lolote la kufanya, mtaendelea kuropokaaaaaa
Sie tunachanja mbuga, tukutane 2030
Sawa nyani? Umeelewa au nirudie tena?
20300000000000 hukooooooo
 
Yeyote anaye unga mkono uwezo wa huyu mama kwanzia kupambanua mambo , kufanya mamuzi , kutolea majibu sahihi changamoto za kiuongozi , huyo yupo kutetea tumbo lake ilihali nafsini anamini kwamba huyu mama hatoshei kabisa inabidi tubadili sheria z3tu kwa mtu atakaye shika wadhifa wa urais aweje tofauti na hapo tusishangae tukaja ongozwa na mtu kama shilole
 
View attachment 2753882

Kwa ufupi na kwa uchache;

"Inashangaza kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anahubiri amani, uzalendo na utulivu huku akisahau neno HAKI Kwa makusudi. Pengine hajui kuwa hayo yote ni tunda la HAKI. Bila haki, hakuna yote hayo!"

"Kuhusu Rais kuita katiba ya JMT kama kitabu tu kama vitabu vingine alikosea. Kauli hiyo ingetolewa na Mwenyekiti wa Kijiji au serikali ya mtaa au balozi wa nyumba kumi isingeshangaza. Lakini kutolewa na Rais, basi ni dharau na bila shaka kuna shida mahali.."

"..Sioni substance wala contents zozote kwenye hotuba zote za Rais Samia Suluhu Hassan"

"Na Rais kwenye ziara zake hajasema lolote kuhusu mkataba mbovu wa bandari. Ni Kwa sababu hata yeye mwenyewe hana majibu ya jambo hili"


Credit & Courtesy to Jambo TV
Mwanamke anamuweka sawa mwanamke powerful wa nchi hii.

Ninavyomfahamu Hangaya ni kuwa tayari ashatoa maagizo kwa Wambura ashughulike na huyu mama.

Lucas mwashambwa njoo ujifunze siasa hapa.

Robot life
 
View attachment 2753882

Kwa ufupi na kwa uchache;

"Inashangaza kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anahubiri amani, uzalendo na utulivu huku akisahau neno HAKI Kwa makusudi. Pengine hajui kuwa hayo yote ni tunda la HAKI. Bila haki, hakuna yote hayo!"

"Kuhusu Rais kuita katiba ya JMT kama kitabu tu kama vitabu vingine alikosea. Kauli hiyo ingetolewa na Mwenyekiti wa Kijiji au serikali ya mtaa au balozi wa nyumba kumi isingeshangaza. Lakini kutolewa na Rais, basi ni dharau na bila shaka kuna shida mahali.."

"..Sioni substance wala contents zozote kwenye hotuba zote za Rais Samia Suluhu Hassan"

"Na Rais kwenye ziara zake hajasema lolote kuhusu mkataba mbovu wa bandari. Ni Kwa sababu hata yeye mwenyewe hana majibu ya jambo hili"


Credit & Courtesy to Jambo TV
Vichwa kama hiki huwezi kukikuta CCM,huko yamejaa mapooza tu,imagine binadamu anajiita chawa.
 
Taifa letu sasa linagubikwa na ujinga mwingi .Sasa sisi kama CHADEMA ndiyo nafasi tunatumia ili kueneza ujinga basi
 
H
View attachment 2753882

Kwa ufupi na kwa uchache;

"Inashangaza kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anahubiri amani, uzalendo na utulivu huku akisahau neno HAKI Kwa makusudi. Pengine hajui kuwa hayo yote ni tunda la HAKI. Bila haki, hakuna yote hayo!"

"Kuhusu Rais kuita katiba ya JMT kama kitabu tu kama vitabu vingine alikosea. Kauli hiyo ingetolewa na Mwenyekiti wa Kijiji au serikali ya mtaa au balozi wa nyumba kumi isingeshangaza. Lakini kutolewa na Rais, basi ni dharau na bila shaka kuna shida mahali.."

"..Sioni substance wala contents zozote kwenye hotuba zote za Rais Samia Suluhu Hassan"

"Na Rais kwenye ziara zake hajasema lolote kuhusu mkataba mbovu wa bandari. Ni Kwa sababu hata yeye mwenyewe hana majibu ya jambo hili"


Credit & Courtesy to Jambo TV
Hii nchi ina watu wenye akili sana tatizo hawatumiki!
 
We utatawaliwa tu, utake ustake, hamna lolote la kufanya, mtaendelea kuropokaaaaaa
Sie tunachanja mbuga, tukutane 2030
Sawa nyani? Umeelewa au nirudie tena?
20300000000000 hukooooooo
Labda mkubali kuwa mashoga WA waarabu WA Dubai. Na walete jeshi.lao hapa. Na mkishinda mkubali kuolewa nao kabisa. Bila hivyo hamkatizi nyie vibaka Tu.
 
View attachment 2753882

Kwa ufupi na kwa uchache;

"Inashangaza kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anahubiri amani, uzalendo na utulivu huku akisahau neno HAKI Kwa makusudi. Pengine hajui kuwa hayo yote ni tunda la HAKI. Bila haki, hakuna yote hayo!"

"Kuhusu Rais kuita katiba ya JMT kama kitabu tu kama vitabu vingine alikosea. Kauli hiyo ingetolewa na Mwenyekiti wa Kijiji au serikali ya mtaa au balozi wa nyumba kumi isingeshangaza. Lakini kutolewa na Rais, basi ni dharau na bila shaka kuna shida mahali.."

"..Sioni substance wala contents zozote kwenye hotuba zote za Rais Samia Suluhu Hassan"

"Na Rais kwenye ziara zake hajasema lolote kuhusu mkataba mbovu wa bandari. Ni Kwa sababu hata yeye mwenyewe hana majibu ya jambo hili"


Credit & Courtesy to Jambo TV
Dada una madini, na umesimama.
 
Back
Top Bottom