Video: Watu wenye maoni ya kuikera serikali kama huyu dada ndio wasiotakiwa na serikali ya CCM. Sitashangaa polisi wakimkamata kwa uchochezi!!

Video: Watu wenye maoni ya kuikera serikali kama huyu dada ndio wasiotakiwa na serikali ya CCM. Sitashangaa polisi wakimkamata kwa uchochezi!!

View attachment 2753882

Kwa ufupi na kwa uchache;

"Inashangaza kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anahubiri amani, uzalendo na utulivu huku akisahau neno HAKI Kwa makusudi. Pengine hajui kuwa hayo yote ni tunda la HAKI. Bila haki, hakuna yote hayo!"

"Kuhusu Rais kuita katiba ya JMT kama kitabu tu kama vitabu vingine alikosea. Kauli hiyo ingetolewa na Mwenyekiti wa Kijiji au serikali ya mtaa au balozi wa nyumba kumi isingeshangaza. Lakini kutolewa na Rais, basi ni dharau na bila shaka kuna shida mahali.."

"..Sioni substance wala contents zozote kwenye hotuba zote za Rais Samia Suluhu Hassan"

"Na Rais kwenye ziara zake hajasema lolote kuhusu mkataba mbovu wa bandari. Ni Kwa sababu hata yeye mwenyewe hana majibu ya jambo hili"


Credit & Courtesy to Jambo TV
Akamatwe kabisa huyu mdada. Ningekuwa polisi basi namkamata namchapa bakora tano kabla ya kuanza kuchukua ushahidi
 
Hataki watu walipe kodi, hataki bodaboda walipe kodi, hataki bandari ibinafsishwe, anadhani kila mtu anweza kuuza kama yeye? Inawezekana labda yeye ana anachouza ndio maana hana adabu kwa rais?
Mshamba kama washamba wengine tu

Mama ni mpaka 2030 Mungu akipenda umri ukiwepo

Hata mkazane vipi, wagalatia subirini tu kwanza
Unaweza kumtukana na mauchafu yote! kwa sababu wewe ni mdudu mchafu chawa ni mchafu tu!
Mbuzi mee wewe bandari yetu inahongwa uarabuni unataka tushangilie! Madudu mengine yamejulikana ile IGA ni ya kugushi! halafu utasema kuna kiongozi pale!
Kumbuka maneno haya leo! Majizi hayatatawala tena Tanganyika! mark my words! Mwisho wa huyu unayemtetea ni 2025 tukimhurumia!
 
Akamatwe kabisa huyu mdada. Ningekuwa polisi basi namkamata namchapa bakora tano kabla ya kuanza kuchukua ushahidi
Anaweza kukamatwa kweli kwa sababu watanzania wote hawatapiga kelele kwa vile ni

jamii ya hawa

1695107452810.png
 
Bandari washauri kina mwijaku,shehe mwaipopo,baba levo.
 
Kwenye Kodi hatushirikishi kwa kweli wanatukomoa tu.
.Check ishu ya kikokotoo kwa wafanyakazi
.Check ishu ya kuchukua michango yako nssf
 
Haya chawa njooni na ngonjera zenu kumjibu huyu sister alie na thought nzuri na yupo very open minded.
 
Jamani huyu dada kama hajaolewa naomba ,naomba ,naomba awe mama wa watoto wangu .
 
Ngoja machawa wa mama waje wakiongozwa na Lucas mwashamba choiceVariable Faizafoxy covax and co.
Huyo Lucas ana maisha magumu kama mimi tu ila kutwa kuchwa kuzungusha wow wow wow tu humu jf
 
Kusema ni rahisi ukiwa nje,ukishaanza kupewa Kila kitu bure akili lazima iende likizo.
Thus watawala wa kiafrika Huwa na akili baada ya kustaafu.
 
Ukiimba nyimbo za kuibomoa jamii mfano kupromote ngono, ushoga,pombe,bangi,kukata viuno, huwezi sikia police Wala basata wakijua hata address yako ilipo.
We kosoa watajua hadi kitanda chako.
 
View attachment 2753882

Kwa ufupi na kwa uchache;

"Inashangaza kuwa Rais Samia Suluhu Hassan anahubiri amani, uzalendo na utulivu huku akisahau neno HAKI Kwa makusudi. Pengine hajui kuwa hayo yote ni tunda la HAKI. Bila haki, hakuna yote hayo!"

"Kuhusu Rais kuita katiba ya JMT kama kitabu tu kama vitabu vingine alikosea. Kauli hiyo ingetolewa na Mwenyekiti wa Kijiji au serikali ya mtaa au balozi wa nyumba kumi isingeshangaza. Lakini kutolewa na Rais, basi ni dharau na bila shaka kuna shida mahali.."

"..Sioni substance wala contents zozote kwenye hotuba zote za Rais Samia Suluhu Hassan"

"Na Rais kwenye ziara zake hajasema lolote kuhusu mkataba mbovu wa bandari. Ni Kwa sababu hata yeye mwenyewe hana majibu ya jambo hili"


Credit & Courtesy to Jambo TV
Kweli lakini
 
Back
Top Bottom