Video: Waziri wa Michezo akionyesha Vijana Namna ya kusakata kabumbu

Video: Waziri wa Michezo akionyesha Vijana Namna ya kusakata kabumbu

100 others

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2017
Posts
4,766
Reaction score
16,191
Ndio inapaswa iwe hivi, waziri wa kilimo ajue kupiga jembe haswa tena la mkono.

Waziri wa TEHAMA ajue masuala ya IT na wizara zingine zote wawe wanafanyiwa majaribio na kupewa mitihani kabla hawajaingia kwenye wizara husika.


Minister Of Sports Uganda.
 
Isijekuwa amevuruga nguvu za kurudisha heshima nyumbani
 
Ndio inapaswa iwe hivi, waziri wa kilimo ajue kupiga jembe haswa tena la mkono.
Waziri wa TEHAMA ajue masuala ya IT na wizara zingine zote wawe wanafanyiwa majaribio na kupewa mitihani kabla hawajaingia kwenye wizara husika.

View attachment 3012108
Minister Of Sports Uganda.
Noma Sana......hapo ataumwa wiki nzima
 
Ndio inapaswa iwe hivi, waziri wa kilimo ajue kupiga jembe haswa tena la mkono.
Waziri wa TEHAMA ajue masuala ya IT na wizara zingine zote wawe wanafanyiwa majaribio na kupewa mitihani kabla hawajaingia kwenye wizara husika.

View attachment 3012108
Minister Of Sports Uganda.
Mwili umekosa uwiano, ilikuwa lazima aanguke.
 
Kusumbua watu tu. Yule aliyemuokotea kiatu ameenda kuchekea pembeni.
Hata MC mwenyewe kashindwa kujizuia imebidi acheke tu, kapotezea kwa kumfariji na kusema "wonderful penalty"😁
 
Back
Top Bottom