100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Mzee hadi kiatu kimeruka.kuna vitu vinafurahisha wallah
si kiatu tuh ukitizama hiyo video kwa umakinifu ni kama na alijiharishia mana ni kama suruali imelowaMzee hadi kiatu kimeruka.
Halafu hawa ndio unakuta wanazungumza vyepesi sana kuhusu michezo na kulaumu wachezaji kwanini wanafungwa.si kiatu tuh ukitizama hiyo video kwa umakinifu ni kama na alijiharishia mana ni kama suruali imelowa
Noma Sana......hapo ataumwa wiki nzimaNdio inapaswa iwe hivi, waziri wa kilimo ajue kupiga jembe haswa tena la mkono.
Waziri wa TEHAMA ajue masuala ya IT na wizara zingine zote wawe wanafanyiwa majaribio na kupewa mitihani kabla hawajaingia kwenye wizara husika.
View attachment 3012108
Minister Of Sports Uganda.
MC anamuambia wonderful penalty kick..😂Noma Sana......hapo ataumwa wiki nzima
Mwili umekosa uwiano, ilikuwa lazima aanguke.Ndio inapaswa iwe hivi, waziri wa kilimo ajue kupiga jembe haswa tena la mkono.
Waziri wa TEHAMA ajue masuala ya IT na wizara zingine zote wawe wanafanyiwa majaribio na kupewa mitihani kabla hawajaingia kwenye wizara husika.
View attachment 3012108
Minister Of Sports Uganda.
🤣Wale askari pasipo kumpa support asimame sidhani mzee wa watu kama angesimama.Mwili umekosa uwiano, ilikuwa lazima aanguke.
Wenzetu walio serious na mambo yao hawanaga huu muda wa kijinga. Ishan Kama US kuna wizara ya michezo 😂kuna vitu vinafurahisha wallah
Kusumbua watu tu. Yule aliyemuokotea kiatu ameenda kuchekea pembeni.🤣Wale askari pasipo kumpa support asimame sidhani mzee wa watu kama angesimama.
Hata MC mwenyewe kashindwa kujizuia imebidi acheke tu, kapotezea kwa kumfariji na kusema "wonderful penalty"😁Kusumbua watu tu. Yule aliyemuokotea kiatu ameenda kuchekea pembeni.
Wonderful mbona hatujaona kama alifunga? Nimecheka sanaHata MC mwenyewe kashindwa kujizuia imebidi acheke tu, kapotezea kwa kumfariji na kusema "wonderful penalty"😁