Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Sasa hivi muziki ni record label na connection.Wanaacha nyimbo kali kama madam prezident, Wabongo sijui shida nini.
Huyo Anjella ni msanii mpya ila anaweza kupiga collabo hata na Tiwa Savage sasa hivi.
Ila msanii mkubwa tu akashindwa.