mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Sasa hapo kipya nini? ukiwa hujawahi kufika Zenji unaweza kudhani pamaana kumbe hata Kibaha ni pakubwa na pazuri
Kweli tupuKabisa?
Una mzaha mwingi sana
Kweli tupu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa ndiyo ulie! [emoji24]
Sasa hapo kipya nini? ukiwa hujawahi kufika Zenji unaweza kudhani pamaana kumbe hata Kibaha ni pakubwa na pazuri
Evalasting president
Kwa hiyo kikwazo cha maendeleo ya Zanzibar alikuwa ni Shein na wengine waliomtangulia?Hii video ni baada ya Dk Mwinyi kushinda mchakato ndani ya ccm na kuteuliwa kuwa mgomea urais wa Zanzibar kupitia chama chake.
Hayati Magufuli alisema mengi kuhusu Mwinyi lakini mwishoni akatoa onyo kwa wazanzibar ikiwa watamchagua Dk Mwinyi kuwa Rais wao hiii wataiona Zanzibar itakavyopaa kwa maendeleo makubwa ndani ya muda mfupi na ndicho kinachotokea sasa hivi Zanzibar.
Ama kweli Magufuli alikuwa ni Rais mwenye maono na kuweza kuona mbali sana ndiyo maana hata igizo la corona aliliona kabla ya wengi hawajaona
Evalasting president
Hakuna jipya pale mkuu zaidi ya hao wataliiAtakuwa hajawahi kufika Pemba au Unguja,
Igizo limeondoka na kichwa cha mtu, tuliacha science tukafata ushirikinaHii video ni baada ya Dk Mwinyi kushinda mchakato ndani ya ccm na kuteuliwa kuwa mgomea urais wa Zanzibar kupitia chama chake.
Hayati Magufuli alisema mengi kuhusu Mwinyi lakini mwishoni akatoa onyo kwa wazanzibar ikiwa watamchagua Dk Mwinyi kuwa Rais wao hiii wataiona Zanzibar itakavyopaa kwa maendeleo makubwa ndani ya muda mfupi na ndicho kinachotokea sasa hivi Zanzibar.
Ama kweli Magufuli alikuwa ni Rais mwenye maono na kuweza kuona mbali sana ndiyo maana hata igizo la corona aliliona kabla ya wengi hawajaona
Alisoma habari(kuiangalia)huku anakata vitunguu alitegemea nini?ππππSasa ndiyo ulie! π
Usimtanie sana atazira!ππππHaya futa machozi ukarare mbere.
Eda huwa ni siku 40 tu, akachape kazi sasa.Usimtanie sana atazira!ππππ
Yote pembeni, hivi mnaoita Corona ni igizo mnajua kuna watu wamepoteza watu wa karibu (Wazazi, watoto, wanandoa wenza) kwa Corona. Wengine zaidi ya mmoja na wengine wameponea kwenye chupa za Oxygen?! Inauma sana mnavyofanya huu upumbavu kisa tu mnataka kuendeleza ibada zenu za kuabudiana binadamu kwa binadamu.Hii video ni baada ya Dk Mwinyi kushinda mchakato ndani ya CCM na kuteuliwa kuwa mgomea urais wa Zanzibar kupitia chama chake.
Hayati Magufuli alisema mengi kuhusu Mwinyi lakini mwishoni akatoa onyo kwa wazanzibar ikiwa watamchagua Dk Mwinyi kuwa Rais wao hiii wataiona Zanzibar itakavyopaa kwa maendeleo makubwa ndani ya muda mfupi na ndicho kinachotokea sasa hivi Zanzibar.
Ama kweli Magufuli alikuwa ni Rais mwenye maono na kuweza kuona mbali sana ndiyo maana hata igizo la corona aliliona kabla ya wengi hawajaona.
Ati kibaha dharau zako zimepitiliza kijana.Sasa hapo kipya nini? ukiwa hujawahi kufika Zenji unaweza kudhani pamaana kumbe hata Kibaha ni pakubwa na pazuri