Video ya Hayati Magufuli akimnadi Dkt. Mwinyi imenitoa machozi

Video ya Hayati Magufuli akimnadi Dkt. Mwinyi imenitoa machozi

Hatuwezi kupata Dubwasha jingine la HOVYO kama Magufuli.
wewe ndio dumbwasha unadhani usipompenda wewe na wengine hawampendi au hayo maneno yako yatabadilisha kitu???????

Magufuli anabaki kuwa best President ever hata wastaafu wanajua hilo
 
Unalia nini sasa..ukiwa kiunoni si ndo huwa unatoa machozi kama mtoto mdogo!
 
Hii video ni baada ya Dk Mwinyi kushinda mchakato ndani ya CCM na kuteuliwa kuwa mgomea urais wa Zanzibar kupitia chama chake.

Hayati Magufuli alisema mengi kuhusu Mwinyi lakini mwishoni akatoa onyo kwa wazanzibar ikiwa watamchagua Dk Mwinyi kuwa Rais wao hiii wataiona Zanzibar itakavyopaa kwa maendeleo makubwa ndani ya muda mfupi na ndicho kinachotokea sasa hivi Zanzibar.

Ama kweli Magufuli alikuwa ni Rais mwenye maono na kuweza kuona mbali sana ndiyo maana hata igizo la corona aliliona kabla ya wengi hawajaona.


Ukampa kabisa akili zako hayati JPM akushikie, aibu yako hii.

Watu wamepoteza wazazi wao kwa covid 19 wewe unaliona ni igizo, panua ubongo wako uone mbali zaidi ya mawazo yanayotokana na kushikiwa akili.

Huko Roma ndani ya miezi miwili walikufa mapadre zaidi ya 200 wewe unaliona ni igizo.
 
Ukampa kabisa akili zako hayati JPM akushikie, aibu yako hii.

Watu wamepoteza wazazi wao kwa covid 19 wewe unaliona ni igizo, panua ubongo wako uone mbali zaidi ya mawazo yanayotokana na kushikiwa akili.

Huko Roma ndani ya miezi miwili walikufa mapadre zaidi ya 200 wewe unaliona ni igizo.
Wewe ulipoteza wazazi wangapi?
 
Yote pembeni, hivi mnaoita Corona ni igizo mnajua kuna watu wamepoteza watu wa karibu (Wazazi, watoto, wanandoa wenza) kwa Corona. Wengine zaidi ya mmoja na wengine wameponea kwenye chupa za Oxygen?! Inauma sana mnavyofanya huu upumbavu kisa tu mnataka kuendeleza ibada zenu za kuabudiana binadamu kwa binadamu.
Amka usingizini wewe .
 
Hii video ni baada ya Dk Mwinyi kushinda mchakato ndani ya CCM na kuteuliwa kuwa mgomea urais wa Zanzibar kupitia chama chake.

Hayati Magufuli alisema mengi kuhusu Mwinyi lakini mwishoni akatoa onyo kwa wazanzibar ikiwa watamchagua Dk Mwinyi kuwa Rais wao hiii wataiona Zanzibar itakavyopaa kwa maendeleo makubwa ndani ya muda mfupi na ndicho kinachotokea sasa hivi Zanzibar.

Ama kweli Magufuli alikuwa ni Rais mwenye maono na kuweza kuona mbali sana ndiyo maana hata igizo la corona aliliona kabla ya wengi hawajaona.


Uchawa
 
unalialia km demu basi olewa!!! me mwenzio anatamka ufala weye unalia mweee! mangese ni mengi!!
 
Back
Top Bottom