Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwani uongo?Ati kibaha dharau zako zimepitiliza kijana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani uongo?Ati kibaha dharau zako zimepitiliza kijana.
Mtu ametoa roho za watu alijua hatakufa.Kabisa
Sasa kipi cha kukutoa macho hapo?Hii video ni baada ya Dk Mwinyi kushinda mchakato ndani ya CCM na kuteuliwa kuwa mgomea urais wa Zanzibar kupitia chama chake.
Hayati Magufuli alisema mengi kuhusu Mwinyi lakini mwishoni akatoa onyo kwa wazanzibar ikiwa watamchagua Dk Mwinyi kuwa Rais wao hiii wataiona Zanzibar itakavyopaa kwa maendeleo makubwa ndani ya muda mfupi na ndicho kinachotokea sasa hivi Zanzibar.
Ama kweli Magufuli alikuwa ni Rais mwenye maono na kuweza kuona mbali sana ndiyo maana hata igizo la corona aliliona kabla ya wengi hawajaona.
Umeacha kulia kuhusu Ujinga wa Watu wachache Kama ninyi mpaka ccm wanasema wanatumia dola kubakia madarakani na kubambikia watu kesi za kubumba wewe juha unalia kwa vitu vya kijinga tuu.Hii video ni baada ya Dk Mwinyi kushinda mchakato ndani ya CCM na kuteuliwa kuwa mgomea urais wa Zanzibar kupitia chama chake.
Hayati Magufuli alisema mengi kuhusu Mwinyi lakini mwishoni akatoa onyo kwa wazanzibar ikiwa watamchagua Dk Mwinyi kuwa Rais wao hiii wataiona Zanzibar itakavyopaa kwa maendeleo makubwa ndani ya muda mfupi na ndicho kinachotokea sasa hivi Zanzibar.
Ama kweli Magufuli alikuwa ni Rais mwenye maono na kuweza kuona mbali sana ndiyo maana hata igizo la corona aliliona kabla ya wengi hawajaona.
Hii video ni baada ya Dk Mwinyi kushinda mchakato ndani ya CCM na kuteuliwa kuwa mgomea urais wa Zanzibar kupitia chama chake.
Hayati Magufuli alisema mengi kuhusu Mwinyi lakini mwishoni akatoa onyo kwa wazanzibar ikiwa watamchagua Dk Mwinyi kuwa Rais wao hiii wataiona Zanzibar itakavyopaa kwa maendeleo makubwa ndani ya muda mfupi na ndicho kinachotokea sasa hivi Zanzibar.
Ama kweli Magufuli alikuwa ni Rais mwenye maono na kuweza kuona mbali sana ndiyo maana hata igizo la corona aliliona kabla ya wengi hawajaona.
Hata mimi nimelishangaa kweli hili loferKutoka machozi kwa kuangalia clip hiyo ni kielelezo cha Undezi na Uzembe ulionao.
Sijui kama kwenye familia yako wanakuheshimu kwa kutoka machozi kwa vitu vya kama hivi
Acha Upuuzi weweKutoka machozi kwa kuangalia clip hiyo ni kielelezo cha Undezi na Uzembe ulionao.
Sijui kama kwenye familia yako wanakuheshimu kwa kutoka machozi kwa vitu vya kama hivi
Hii video ni baada ya Dk Mwinyi kushinda mchakato ndani ya CCM na kuteuliwa kuwa mgomea urais wa Zanzibar kupitia chama chake.
Hayati Magufuli alisema mengi kuhusu Mwinyi lakini mwishoni akatoa onyo kwa wazanzibar ikiwa watamchagua Dk Mwinyi kuwa Rais wao hiii wataiona Zanzibar itakavyopaa kwa maendeleo makubwa ndani ya muda mfupi na ndicho kinachotokea sasa hivi Zanzibar.
Ama kweli Magufuli alikuwa ni Rais mwenye maono na kuweza kuona mbali sana ndiyo maana hata igizo la corona aliliona kabla ya wengi hawajaona.
Hii video ni baada ya Dk Mwinyi kushinda mchakato ndani ya CCM na kuteuliwa kuwa mgomea urais wa Zanzibar kupitia chama chake.
Hayati Magufuli alisema mengi kuhusu Mwinyi lakini mwishoni akatoa onyo kwa wazanzibar ikiwa watamchagua Dk Mwinyi kuwa Rais wao hiii wataiona Zanzibar itakavyopaa kwa maendeleo makubwa ndani ya muda mfupi na ndicho kinachotokea sasa hivi Zanzibar.
Ama kweli Magufuli alikuwa ni Rais mwenye maono na kuweza kuona mbali sana ndiyo maana hata igizo la corona aliliona kabla ya wengi hawajaona.
Hata wewe ni ndezi tu kama unaunga mkono kutokwa machozi bila sababuAcha Upuuzi wewe
Ficha Upuuzi wakoHata wewe ni ndezi tu kama unaunga mkono kutokwa machozi bila sababu
mfateHii video ni baada ya Dk Mwinyi kushinda mchakato ndani ya CCM na kuteuliwa kuwa mgomea urais wa Zanzibar kupitia chama chake.
Hayati Magufuli alisema mengi kuhusu Mwinyi lakini mwishoni akatoa onyo kwa wazanzibar ikiwa watamchagua Dk Mwinyi kuwa Rais wao hiii wataiona Zanzibar itakavyopaa kwa maendeleo makubwa ndani ya muda mfupi na ndicho kinachotokea sasa hivi Zanzibar.
Ama kweli Magufuli alikuwa ni Rais mwenye maono na kuweza kuona mbali sana ndiyo maana hata igizo la corona aliliona kabla ya wengi hawajaona.
Hatuwezi kupata Dubwasha jingine la HOVYO kama Magufuli.itachukua muda san akumpata Dk.Magufuli mwingine,kifo chake ilikuwa ni simamzi nzito kwa watanzania wengi nina imani hata wale waliofurahi walikuwa ni wachache sana.
Si amelia kwa mapenzi yake ama ulitaka kulia ww.Sasa ndiyo ulie! 😭
Tangu lini mwanaume akalia kwa mambo ya kipuuzi.Si amelia kwa mapenzi yake ama ulitaka kulia ww.