wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Usisingizid tabia zako za kuhonga wanawake na kunywa pombe useme uchawi
Kwani huyu ni msagaji?Maana ni mwanamke.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisingizid tabia zako za kuhonga wanawake na kunywa pombe useme uchawi
Bora UmemjibuKwani huyu ni msagaji?Maana ni mwanamke.
Punguza nyege kwenye mambo ya watu amekwambia alikua anahonga?Usisingizid tabia zako za kuhonga wanawake na kunywa pombe useme uchawi
Pamoja na marehemu TB joshua naye alikuwa muislamPapa alivyotua Dar alikuwa pia muislamu kwani alibusu ardhi
Hakuna kitu kama hicho mkuu, kigoma kwenyewe kila mtu anasema "nasikia kuna mtu alikuwa hivi au vile"
Kuna mambo yako hivi au vile, cha ajabu huyo anayeongea, unakuta nayeye alisikia tu.
Kuna eneo fulani pale kijijini kwetu, ilikuwa inasemekana huwa inapita treni nyakati za usiku wa saa saba mpaka saa tisa.
Na wakawa wanasema hiyo treni huwa inatoa misukule burundi na kongo.
kijijini kwetu hakuna reli ya kupitisha treni, nikajisemea, "mimi nitaenda hilo eneo kuiangalia hiyo treni yenye misukule"
Kwakweli nilifululiza kama wiki hivi eneo lile nyakati za usiku wa manane na sikuiona hiyo treni.
We ni bonge la kachero
Watu wote husema hivyo!
Watu wote husema, "nenda sehemu fulani kuna wataalamu wa hayo mambo"
Cha ajabu unaweza kwenda sehemu husika, na aliyekwambia uende hiyo sehemu,
asikuonyeshe hao wachawi.
Sana sana ataishia kukuletea janja janja ambazo hazina msingi.