Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Yan hao ukiwabip kidogo tu wanajaa mazima mazima
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yan hao ukiwabip kidogo tu wanajaa mazima mazima
Kitu kizuri siku zote lazima watu wakiponde tena kwa kutumia nguvu kubwa tu wala sibabaiki mm na chuki zenu m najua ninachokifanya ila kiukweli Tutakutana mbele ya Muumba huko tutajua nani ni mkweliYan hao ukiwabip kidogo tu wanajaa mazima mazima
Mkuu staki ligi za dini,Kitu kizuri siku zote lazima watu wakiponde tena kwa kutumia nguvu kubwa tu wala sibabaiki mm na chuki zenu m najua ninachokifanya ila kiukweli Tutakutana mbele ya Muumba huko tutajua nani ni mkweli
Endeleeni tu na chuki zenu
Sasa kwanini una comment kma hutki mbona wenzako wametulia tuuMkuu staki ligi za dini,
Usiku mwema
Wanacheza na saikolojia tu kukuingizia hofu.Duu pole sana
Kila mmoja wetu amejaribiwa kwa namna moja au nyingine
Nakumbuka nyumbani siku moja ndugu yangu alijikwaa mlangoni kuja kuangalia wamezika chupa yenye matakataka na manyoa na vitu kibao
Ila father aliifukua na kwenda kuitupa jalalani akasema wapumbavu hao wanajisumbua tu msiamini haya mambo
Ila kama wanakujaribu kila wakati ni mtihani
Kwanini hukwenda sumba wangaKwakweli mimi nawahitaji sana wachawi na uchawi wao!
Niliwahi kwenda mpaka Pemba kule ndani ndani ili nipate walau hata uchawi wa kiislamu, lakini hakuna nilichopata.
Nikamtafuta mshana jr, badala anipe mwongozo wa kuupata huo uchawi, akawa ananiletea stori za kusema "mara ooh uchawi ni utumwa, mara hivi, mara vile"
Kwa ufupi akawa analeta uswahili.
Mpaka sasa nimeamua kutulia tu kama namba moja.
Nimepoteza matumaini ya kupata uchawi.
Nb, mimi ni mtu wa kigoma.
inaonekana wewe sio analyst kabisa. hiyo video imerokodiwa juu ya scree ndio maana inatikisikaNimeiona hii video ya tukio lililotplea tarehe 4 ikimuonesha mchawi akiwanga, pia anaonekana live anapotea
Teknolojia ya ku edit nayo imekuwa sana siwezi kuamini moja kwa moja...
mchawi akikamatwa anawanga, azamishiwe nondo ya moto ma.ta.ko.ni, wamwache aende.Nimeiona hii video ya tukio lililotplea tarehe 4 ikimuonesha mchawi akiwanga, pia anaonekana live anapotea
Teknolojia ya ku edit nayo imekuwa sana siwezi kuamini moja kwa moja
Najua uchawi upo maana nimewahi kukaa mitaa ambayo ikifika usiku kuna fujo zao zinafanya wengi walale kw wasiwasi ikiwemo kukimbia juu ya dari, mchanga kumwagwa kwenye bati, n,k. nilikosa ujasiri niliacha kodi.
uchawi upo lakin hii video ni kweli au?
Mshana Jr
hadi sasa nimewaza vitu kadhaa ila bado havina uzito
- Kamera kucheza cheza - cctv huwa haitikisiki lakini katika hii video inatikisika ni kwasababu imerekodiwa kwenye kioo cha computer kwa kutumia simu.
- muda ni saa 11 jioni lakini kuna giza - muda huo wa kwenye cctv unaweza ukawa haujasetiwa kuendana na muda halisi, huenda hakupatikana mtaalam anaejua kuseti muda, licha ya hivyo bado haizuii cctv kurekodi video, huenda muda halisi ni usiku wa manane na hata taa tumezoa kuwasha usiku na sio jioni.
View attachment 2009151
Papa alivyotua Dar alikuwa pia muislamu kwani alibusu ardhi
Kigoma nako nasikia si haba kwa uchawi, haujakutosha mpaka utafyte wa sehemu nyingine?Kwakweli mimi nawahitaji sana wachawi na uchawi wao!
Niliwahi kwenda mpaka Pemba kule ndani ndani ili nipate walau hata uchawi wa kiislamu, lakini hakuna nilichopata...