Video ya mchawi/mwanga aliyekamatwa akiwanga ina ukweli?

Video ya mchawi/mwanga aliyekamatwa akiwanga ina ukweli?

Kwakweli mimi nawahitaji sana wachawi na uchawi wao!

Niliwahi kwenda mpaka Pemba kule ndani ndani ili nipate walau hata uchawi wa kiislamu, lakini hakuna nilichopata.
Nikamtafuta mshana jr, badala anipe mwongozo wa kuupata huo uchawi, akawa ananiletea stori za kusema "mara ooh uchawi ni utumwa, mara hivi, mara vile"
Kwa ufupi akawa analeta uswahili.
Mpaka sasa nimeamua kutulia tu kama namba moja.
Nimepoteza matumaini ya kupata uchawi.
Nb, mimi ni mtu wa kigoma.
Pole sana. Umeweka angalizo kwamba wewe ni mtu wa Kigoma. Wengine tunajiuliza iweje ukaukosa huko kwenu wakati tunasikiaga kwamba huko ni mwisho wa reli?
 
Hiyo video imerekodiwa na simu wakati jamaa ana kagua matukio (video preview) ya picha kwenye camera alizofunga hapo ndipo atakutana na hilo tukio.
Kwa kifupi hizo ni video mbili kwa nyakati tofauti mfano "mtu anaangalia mpira kwenye TV halafu anachukua simu na kurekodi kipande cha tukio la mpira kama sehemu ya kumbukumbu ama kubishana na wenzake, hapo lazima kutakuwepo na sauti zingine nje ya sauti halisi ya TV, hata kama mtu akitukana itasikika tu na haitamaanisha hilo tukio sio la kweli eti kisa kuna sauti zisizohusika na tukio ama kucheza kwa picha hakutomaanisha hilo tukio sio la kweli maana atakuwa ameshika simu kwa mikono.

Hilo tukio ni la kweli na nijuavyo mimi Tekinolojia huwa haisemi uongo.
Ogopa sana tekinolojia popote pale ilipo na wewe ukawepo.
takataka
 
Wangapi wenu washaona cctv camera inayotoa sauti yani inarecord audio na video????

Halafu huyu mchawi mbona kavaa nguo nyeupe wakati tunajua fika anatakiwa awe uchi au ajifunike na matambala meusi na mekundu!!!
Hapa Kuna point
 
CCTV Camera inauwezo wa kunasa/kupata picha ya Mchawi, hata Majini, Mizimu n.k.......

Nenda YouTube
 
Kwakweli mimi nawahitaji sana wachawi na uchawi wao!

Niliwahi kwenda mpaka Pemba kule ndani ndani ili nipate walau hata uchawi wa kiislamu, lakini hakuna nilichopata.
Nikamtafuta mshana jr, badala anipe mwongozo wa kuupata huo uchawi, akawa ananiletea stori za kusema "mara ooh uchawi ni utumwa, mara hivi, mara vile"
Kwa ufupi akawa analeta uswahili.
Mpaka sasa nimeamua kutulia tu kama namba moja.
Nimepoteza matumaini ya kupata uchawi.
Nb, mimi ni mtu wa kigoma.
Unakwenda Pemba kupata uchawi wakati uchawi wa Kigoma ndio mkali zaidi. Ongea na wazee, ila unaelekea njia ya kifo na maangamizi! Ukitaka "uchawi" wa uhakika lakini uchawi wa kutenda mema ongea na Bwana Yesu.
 
Afu jamaa anavyopotea km ghost vile..
Mi ningepata huo uwezo ningekuw tajiri.
Siku naham y kuwanga naenda kumuwangia bakresa au dangote
Wale huwez kuwawangia sababu wako vizuri, huwezi ku secure pesa nyingi namna ile kama huna ulinzi flani aidha wa kimungu au wa giza!
 
Watanganyika amken hilo n tangazo la kununua CCTV cameras n advertisement Hiyo
 
Bora hao Wachawi wa Asia wanaovaa Kanzu, kuliko hawa wakwetu wanaowanga uchi wa mnyama.
 
Mchawi hana akili thus ufanya mambo ya kipumbavu yasiyo na faida hata kwake
 
Back
Top Bottom