UKAYA KWETU
New Member
- Nov 13, 2021
- 1
- 0
duuuh atari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa nini mkuu? ndyo mana wengi wao maskini sana hawana maendeleo dadadek zaosheria ya kuwanga hauruhusiwi kuiba pesa ukiwa unawanga
wanakua na miili yao na akifika sehem mambo yakabuma anakwama asubuhi mnamkutaSwali wanakuwa ktk mwili au roho ktk shughul izao
halafu hajui kukata maunoanaonekana ni mwanamke
kaondoka eneo la tukioSio mbaya ila hapo mwisho alipopotea hapo.....
Kuna explanation nyingine
itakua ni mchaga huyuhalafu hajui kukata mauno
Pole sana. Umeweka angalizo kwamba wewe ni mtu wa Kigoma. Wengine tunajiuliza iweje ukaukosa huko kwenu wakati tunasikiaga kwamba huko ni mwisho wa reli?Kwakweli mimi nawahitaji sana wachawi na uchawi wao!
Niliwahi kwenda mpaka Pemba kule ndani ndani ili nipate walau hata uchawi wa kiislamu, lakini hakuna nilichopata.
Nikamtafuta mshana jr, badala anipe mwongozo wa kuupata huo uchawi, akawa ananiletea stori za kusema "mara ooh uchawi ni utumwa, mara hivi, mara vile"
Kwa ufupi akawa analeta uswahili.
Mpaka sasa nimeamua kutulia tu kama namba moja.
Nimepoteza matumaini ya kupata uchawi.
Nb, mimi ni mtu wa kigoma.
takatakaHiyo video imerekodiwa na simu wakati jamaa ana kagua matukio (video preview) ya picha kwenye camera alizofunga hapo ndipo atakutana na hilo tukio.
Kwa kifupi hizo ni video mbili kwa nyakati tofauti mfano "mtu anaangalia mpira kwenye TV halafu anachukua simu na kurekodi kipande cha tukio la mpira kama sehemu ya kumbukumbu ama kubishana na wenzake, hapo lazima kutakuwepo na sauti zingine nje ya sauti halisi ya TV, hata kama mtu akitukana itasikika tu na haitamaanisha hilo tukio sio la kweli eti kisa kuna sauti zisizohusika na tukio ama kucheza kwa picha hakutomaanisha hilo tukio sio la kweli maana atakuwa ameshika simu kwa mikono.
Hilo tukio ni la kweli na nijuavyo mimi Tekinolojia huwa haisemi uongo.
Ogopa sana tekinolojia popote pale ilipo na wewe ukawepo.
Hapa Kuna pointWangapi wenu washaona cctv camera inayotoa sauti yani inarecord audio na video????
Halafu huyu mchawi mbona kavaa nguo nyeupe wakati tunajua fika anatakiwa awe uchi au ajifunike na matambala meusi na mekundu!!!
Unakwenda Pemba kupata uchawi wakati uchawi wa Kigoma ndio mkali zaidi. Ongea na wazee, ila unaelekea njia ya kifo na maangamizi! Ukitaka "uchawi" wa uhakika lakini uchawi wa kutenda mema ongea na Bwana Yesu.Kwakweli mimi nawahitaji sana wachawi na uchawi wao!
Niliwahi kwenda mpaka Pemba kule ndani ndani ili nipate walau hata uchawi wa kiislamu, lakini hakuna nilichopata.
Nikamtafuta mshana jr, badala anipe mwongozo wa kuupata huo uchawi, akawa ananiletea stori za kusema "mara ooh uchawi ni utumwa, mara hivi, mara vile"
Kwa ufupi akawa analeta uswahili.
Mpaka sasa nimeamua kutulia tu kama namba moja.
Nimepoteza matumaini ya kupata uchawi.
Nb, mimi ni mtu wa kigoma.
Watu kama wewe inabidi uokoteshwe makopo kwa miezi 6 ili ukipona akili ikukae sawaHakuna kitu kama hicho. Ni uongo wa wazi na ujinga.
Hapo wauza CCTV Camera wametengeneza tukio wapige hela.
Kwanza Hakuna uchawi wala ulogi, ni ujinga tu wa watu.
Wale huwez kuwawangia sababu wako vizuri, huwezi ku secure pesa nyingi namna ile kama huna ulinzi flani aidha wa kimungu au wa giza!Afu jamaa anavyopotea km ghost vile..
Mi ningepata huo uwezo ningekuw tajiri.
Siku naham y kuwanga naenda kumuwangia bakresa au dangote
Ukiwa positive uchawi hauna nguvu kwakoNaona huyu ndio yule anaechoma magodoro na kugeuka chui
Kweli uchawi upo ila mimi siuamini