Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni CCTV footage iliyorekodiwa kwenye simu wakati wa mchana ndiyo maana unasikia hayo makelele ya kuku, mbwa, ambulance lakini CCTV footage yenyewe ni ya usiku.
Yaani saa kumi na moja jioni (17 00Hrs) halafu giza? Bongo movie bhana.., halafu kila akipotea, akirudi anaenda pale pale kwenye focus ya camera 🤣hii video imenifanya nitafakari sayansi wanayoitumia hawa wachawi!
mwl kashasha hii inaitwaje? Mshana Jr
Mpo makini sanaKama angekuwa uchi video ingekuwa ya kweli
Nyie ndo wachawi wenyewe nyie... Kujifanya kupinga kwingi kumbe usiku mnatembea matako wazi kuloga watu.Hapo pana uongo angalia kwa umakini mchawi anavyotokea hafu uangalie na sekunde zinazoesabu hapo chini utaona zimecheza kwamba imekwata hii.
Afu jamaa anavyopotea km ghost vile..Wasioamini hii ni yenu sasa🤩hapo aliposotea gari ndio kanichosha yani!
Mwenye gari ajiandae na trafiki kumuandama week nzima na pancha za hapa na pale!
sheria ya kuwanga hauruhusiwi kuiba pesa ukiwa unawangaAfu jamaa anavyopotea km ghost vile..
Mi ningepata huo uwezo ningekuw tajiri.
Siku naham y kuwanga naenda kumuwangia bakresa au dangote
hapo gari lazima lile mzinga siku za usoni hawa mbwa wanatuchezea sanaWasioamini hii ni yenu sasa🤩hapo aliposotea gari ndio kanichosha yani!
Mwenye gari ajiandae na trafiki kumuandama week nzima na pancha za hapa na pale!