Video ya mchawi/mwanga aliyekamatwa akiwanga ina ukweli?

Video ya mchawi/mwanga aliyekamatwa akiwanga ina ukweli?

Hapo pana uongo angalia kwa umakini mchawi anavyotokea hafu uangalie na sekunde zinazoesabu hapo chini utaona zimecheza kwamba imekwata hii.
 
Alindaye mji pasina Bwana akesha bure.

Sisi tumelala wao hawalali ila huyu ningekua mimi nisingeendelea kurekod kwenye cm ningetoka nje nikamfanyia kitu kizuri ambacho angesimulia hadi watoto wa watoto wake

 
Wasioamini hii ni yenu sasa🤩hapo aliposotea gari ndio kanichosha yani!

Mwenye gari ajiandae na trafiki kumuandama week nzima na pancha za hapa na pale!
Afu jamaa anavyopotea km ghost vile..
Mi ningepata huo uwezo ningekuw tajiri.
Siku naham y kuwanga naenda kumuwangia bakresa au dangote
 
Wasioamini hii ni yenu sasa🤩hapo aliposotea gari ndio kanichosha yani!

Mwenye gari ajiandae na trafiki kumuandama week nzima na pancha za hapa na pale!
hapo gari lazima lile mzinga siku za usoni hawa mbwa wanatuchezea sana
 
Sio mbaya ila hapo mwisho alipopotea hapo.....

Kuna explanation nyingine
 
Wachawi wa jamiiforums watapinga watasema hii ni edit.

Kwa kweli nina uchu sana na wachawi. Natamani nimkamate mmoja nimfinyange kama ndafu.

Kata shoka la uso mpaka anang'ara na kupendeza.

Shenzi kweli hawa.
 
Back
Top Bottom