TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Hiyo sinema siyo ya kweli kwa mantiki hii hapa.
a) kwenye sekunde ya 00.06.38 kuna effect ya fade in imechelewa kuapply, yaani huyo 'sijui' mchawi anaonekana ameshatua badala ya kutua kwa mfumo wa kutoka juu na hiyo bombadier yake.
Na kwenye kuruka pia alitakiwa aonekane anapotea kwa kupaa not kutoweka.
Hiyo ni man made video, ukitaka kuona real video za wachawi kule YouTube zipo nyingi tu.
a) kwenye sekunde ya 00.06.38 kuna effect ya fade in imechelewa kuapply, yaani huyo 'sijui' mchawi anaonekana ameshatua badala ya kutua kwa mfumo wa kutoka juu na hiyo bombadier yake.
Na kwenye kuruka pia alitakiwa aonekane anapotea kwa kupaa not kutoweka.
Hiyo ni man made video, ukitaka kuona real video za wachawi kule YouTube zipo nyingi tu.