Video ya mchawi/mwanga aliyekamatwa akiwanga ina ukweli?

Video ya mchawi/mwanga aliyekamatwa akiwanga ina ukweli?

Nimeiona hii video ya tukio lililotplea tarehe 4 ikimuonesha mchawi akiwanga, pia anaonekana live anapotea

Teknolojia ya ku edit nayo imekuwa sana siwezi kuamini moja kwa moja

Najua uchawi upo maana nimewahi kukaa mitaa ambayo ikifika usiku kuna fujo zao zinafanya wengi walale kw wasiwasi ikiwemo kukimbia juu ya dari, mchanga kumwagwa kwenye bati, n,k. nilikosa ujasiri niliacha kodi.

uchawi upo lakin hii video ni kweli au?

Mshana Jr

hadi sasa nimewaza vitu kadhaa ila bado havina uzito

- Kamera kucheza cheza - cctv huwa haitikisiki lakini katika hii video inatikisika ni kwasababu imerekodiwa kwenye kioo cha computer kwa kutumia simu.

- muda ni saa 11 jioni lakini kuna giza - muda huo wa kwenye cctv unaweza ukawa haujasetiwa kuendana na muda halisi, huenda hakupatikana mtaalam anaejua kuseti muda, licha ya hivyo bado haizuii cctv kurekodi video, huenda muda halisi ni usiku wa manane na hata taa tumezoa kuwasha usiku na sio jioni.


View attachment 2009151
Ile ilikuwa live kabisa na ilinaswa kwenye security camera... Kusema ile ni edition sidhani.. Ninachoweza kusema ni kwamba lile halikutokea hapa kwetu na pengine sio tukio jipya
 
Kwakweli mimi nawahitaji sana wachawi na uchawi wao!

Niliwahi kwenda mpaka Pemba kule ndani ndani ili nipate walau hata uchawi wa kiislamu, lakini hakuna nilichopata.

Nikamtafuta mshana jr, badala anipe mwongozo wa kuupata huo uchawi, akawa ananiletea stori za kusema "mara ooh uchawi ni utumwa, mara hivi, mara vile".

Kwa ufupi akawa analeta uswahili.

Mpaka sasa nimeamua kutulia tu kama namba moja.

Nimepoteza matumaini ya kupata uchawi.

Nb, mimi ni mtu wa kigoma.
Nikamtafuta mshana jr, badala anipe mwongozo wa kuupata huo uchawi, akawa ananiletea stori za kusema "mara ooh uchawi ni utumwa, mara hivi, mara vile".

Kwa ufupi akawa analeta uswahili.
 
Editing, tena imefanywa na layman tu.

Angalia hapo mahala mchawi anapotokea, kuna kama layer hivi inaziba na inacheza cheza then ndio anatokea. Halafu kuna effect kabisa ya kutokea japo wakati anaondoka wametoa tu frame bila kurudia ile effect.

Pili hio monitor bei yake mbaya sidhani kama kuna mtu anatumia kwa ajili ya display ya camera, hiyo ni monitor ya mtu anae edit video.
Baada ya maelezo haya,naomba Jaji wa JF anayesikiliza hii aufunge rasmi.
 
Nimeiona hii video ya tukio lililotplea tarehe 4 ikimuonesha mchawi akiwanga, pia anaonekana live anapotea

Teknolojia ya ku edit nayo imekuwa sana siwezi kuamini moja kwa moja

Najua uchawi upo maana nimewahi kukaa mitaa ambayo ikifika usiku kuna fujo zao zinafanya wengi walale kw wasiwasi ikiwemo kukimbia juu ya dari, mchanga kumwagwa kwenye bati, n,k. nilikosa ujasiri niliacha kodi.

uchawi upo lakin hii video ni kweli au?

Mshana Jr

hadi sasa nimewaza vitu kadhaa ila bado havina uzito

- Kamera kucheza cheza - cctv huwa haitikisiki lakini katika hii video inatikisika ni kwasababu imerekodiwa kwenye kioo cha computer kwa kutumia simu.

- muda ni saa 11 jioni lakini kuna giza - muda huo wa kwenye cctv unaweza ukawa haujasetiwa kuendana na muda halisi, huenda hakupatikana mtaalam anaejua kuseti muda, licha ya hivyo bado haizuii cctv kurekodi video, huenda muda halisi ni usiku wa manane na hata taa tumezoa kuwasha usiku na sio jioni.


View attachment 2009151
Mwingine huyu
 
Kwakweli mimi nawahitaji sana wachawi na uchawi wao!

Niliwahi kwenda mpaka Pemba kule ndani ndani ili nipate walau hata uchawi wa kiislamu, lakini hakuna nilichopata.

Nikamtafuta mshana jr, badala anipe mwongozo wa kuupata huo uchawi, akawa ananiletea stori za kusema "mara ooh uchawi ni utumwa, mara hivi, mara vile".

Kwa ufupi akawa analeta uswahili.

Mpaka sasa nimeamua kutulia tu kama namba moja.

Nimepoteza matumaini ya kupata uchawi.

Nb, mimi ni mtu wa kigoma.
@Scars
Bufa
 
Editing, tena imefanywa na layman tu.

Angalia hapo mahala mchawi anapotokea, kuna kama layer hivi inaziba na inacheza cheza then ndio anatokea. Halafu kuna effect kabisa ya kutokea japo wakati anaondoka wametoa tu frame bila kurudia ile effect.

Pili hio monitor bei yake mbaya sidhani kama kuna mtu anatumia kwa ajili ya display ya camera, hiyo ni monitor ya mtu anae edit video.
@Scars
Bufa
 
Kwakweli mimi nawahitaji sana wachawi na uchawi wao!

Niliwahi kwenda mpaka Pemba kule ndani ndani ili nipate walau hata uchawi wa kiislamu, lakini hakuna nilichopata.

Nikamtafuta mshana jr, badala anipe mwongozo wa kuupata huo uchawi, akawa ananiletea stori za kusema "mara ooh uchawi ni utumwa, mara hivi, mara vile".

Kwa ufupi akawa analeta uswahili.

Mpaka sasa nimeamua kutulia tu kama namba moja.

Nimepoteza matumaini ya kupata uchawi.

Nb, mimi ni mtu wa kigoma.

Mkuu bora wewe, mimi niliomba jina tu sikupewa hadi leo na niliahidi kutoa 500,000 TSH kwa yeyote atayenipa jina tu.

Mtu alianzisha uzi kwamba kuna diwani huko huko Kigoma alifariki kisha akafufuka na mitanganyika sababu mingi ni mizwazwa ikaamini ile story kama ilivyo kama kwenye uzi huu tu. Sababu diwani ni ofisi ya umma na info zao zipo wazi mimi nikaomba jina tu la huyo diwani huwezi amini nilipigwa chenga hadi leo sijapata hilo jina. Sababu wewe ni mkigoma labda umewahi kusikia huu mkasa.

 
Huu ni ujinga!... labda nirudie tena kama hujasikia vizuri HUU NI UJINGA!

Hakuna siku utaona mchawi au jini au malaika katika umbile lake halisi halafu ukaweza kumchukua sauti picha wala video

Niliona clip fulani tena eti farasi mweupe anakimbia angani halafu watu shazi wanashuhudia na kelele nyingiiii kama kweli vile. Ni ujinga mtupu kuamini maigizo kama yalivyo maigizo ya kina Jet Li
 
Nimeiona hii video ya tukio lililotplea tarehe 4 ikimuonesha mchawi akiwanga, pia anaonekana live anapotea

Teknolojia ya ku edit nayo imekuwa sana siwezi kuamini moja kwa moja

Najua uchawi upo maana nimewahi kukaa mitaa ambayo ikifika usiku kuna fujo zao zinafanya wengi walale kw wasiwasi ikiwemo kukimbia juu ya dari, mchanga kumwagwa kwenye bati, n,k. nilikosa ujasiri niliacha kodi.

uchawi upo lakin hii video ni kweli au?

Mshana Jr

hadi sasa nimewaza vitu kadhaa ila bado havina uzito

- Kamera kucheza cheza - cctv huwa haitikisiki lakini katika hii video inatikisika ni kwasababu imerekodiwa kwenye kioo cha computer kwa kutumia simu.

- muda ni saa 11 jioni lakini kuna giza - muda huo wa kwenye cctv unaweza ukawa haujasetiwa kuendana na muda halisi, huenda hakupatikana mtaalam anaejua kuseti muda, licha ya hivyo bado haizuii cctv kurekodi video, huenda muda halisi ni usiku wa manane na hata taa tumezoa kuwasha usiku na sio jioni.


View attachment 2009151
kwa taarifa nilizozipata inasemekana kuwa ni kweli na hilo tukio lilichukuliwa kupitia mfumo wa cctv na limetokea kwa tajiri mmoja huko kigoma...na kuhusu hizo sauti ni kwamba hiyo video imechukuliwa kwa simu ikiwa imeelekezwa kwenye display ya computer.
 
kwa taarifa nilizozipata inasemekana kuwa ni kweli na hilo tukio lilichukuliwa kupitia mfumo wa cctv na limetokea kwa tajiri mmoja huko kigoma...na kuhusu hizo sauti ni kwamba hiyo video imechukuliwa kwa simu ikiwa imeelekezwa kwenye display ya computer.
Hii inaweza kuwa sahihi zaidi wanaosema ni editing labda hawajaiangalia vizuri
 
Mkuu bora wewe, mimi niliomba jina tu sikupewa hadi leo na niliahidi kutoa 500,000 TSH kwa yeyote atayenipa jina tu.

Mtu alianzisha uzi kwamni mizwazwa ikaamini ile story kama ilivyo kama kwenye uzi huu tu. Sababu diwani nia tu hadi leo ads/visa-vya-uchawi-na-ushirikina-mkoani-kigoma-mwisho-wa-reli.1910471/[/URL]
Hakuna kitu kama hicho mkuu, kigoma kwenyewe kila mtu anasema "nasikia kuna mtu alikuwa hivi au vile"
Kuna mambo yako hivi au vile, cha ajabu huyo anayeongea, unakuta nayeye alisikia tu.

Kuna eneo fulani pale kijijini kwetu, ilikuwa inasemekana huwa inapita treni nyakati za usiku wa saa saba mpaka saa tisa.
Na wakawa wanasema hiyo treni huwa inatoa misukule burundi na kongo.
kijijini kwetu hakuna reli ya kupitisha treni, nikajisemea, "mimi nitaenda hilo eneo kuiangalia hiyo treni yenye misukule"
Kwakweli nilifululiza kama wiki hivi eneo lile nyakati za usiku wa manane na sikuiona hiyo treni.
 
Hakuna cctv inayoweza "kukamata" picha za "ulimwengu wa roho" Vitu vya ulimwengu wa roho VIPO KABISA lakini macho ya nyama (macho ya kawaida) hayawezi kuviona.

Kwa maana hiyo, cctv ambayo inachukua picha za vitu vinavyoonekana kwa macho ya nyama haiwezi kukamata picha ya vitu vya ulimwengu wa roho.

Kwani wewe umeshawahi kuona kwa macho yako wachawi wakiwanga? Lakini si wapo?
 
Mimi nimeshawahi kuona kwa macho yangu hayahaya ya nyama.
Hakuna cctv inayoweza "kukamata" picha za "ulimwengu wa roho" Vitu vya ulimwengu wa roho VIPO KABISA lakini macho ya nyama (macho ya kawaida) hayawezi kuviona.

Kwa maana hiyo, cctv ambayo inachukua picha za vitu vinavyoonekana kwa macho ya nyama haiwezi kukamata picha ya vitu vya ulimwengu wa roho.

Kwani wewe umeshawahi kuona kwa macho yako wachawi wakiwanga? Lakini si wapo?

Hakuna cctv inayoweza "kukamata" picha za "ulimwengu wa roho" Vitu vya ulimwengu wa roho VIPO KABISA lakini macho ya nyama (macho ya kawaida) hayawezi kuviona.

Kwa maana hiyo, cctv ambayo inachukua picha za vitu vinavyoonekana kwa macho ya nyama haiwezi kukamata picha ya vitu vya ulimwengu wa roho.

Kwani wewe umeshawahi kuona kwa macho yako wachawi wakiwanga? Lakini si wapo?
 
Mimi nilikuwa kama wewe, nikawa siamini kabisa,nilikuwa vizuri kiasi kiuchumi, nilivohamia kwangu ndani ya miezi miwili tu nikajipambanua zaidi kumbe sijui binadamu anawaza nini, siku moja nimeamka wakati tupo kwenye ziara ya jumuiya asubuhi na viongozi wenzangu ndo wananishtua mbona kichwani huna nywele (pande mbili za kichwa zilikuwa zimenyolewa haswa maana nilikuwa na nywele ndefu) nilidharau tu, nikaenda nikanyoa nywele zote zimeanza tu kuota nikanyolewa tena baada ya hapo maisha yangu yakawa ni historia maana hata nguo za kuvaa zilinishia. Sikuwahi kuwa na hata akiba ya elf tano ndani.,nilipitia mapito ijapo nilikuwa napata miamala kupitia send waves lakini sikufanya cha maana hata kidogo, aiseee usiombe
Usisingizid tabia zako za kuhonga wanawake na kunywa pombe useme uchawi
 
Back
Top Bottom