Video ya mchawi/mwanga aliyekamatwa akiwanga ina ukweli?


Story karibu zote za mambo ya ushirikina zipo hivyo- hearsay. Kila mtu anayekwambia naye kasimuliwa. Zingine kama hii ya CCTV ukifanya tafakuri kidogo tu unagundua hamna kitu hapa.

Hawa watu walishindwa kutoa jina kabisa including mleta uzi mwenyewe ila karibu watu wote kwenye ule uzi, kama ilivyo kawaida ya mitanganyika, iliamini.
 
Mkuu kama nakumbuka wewe ndo ukiwahi hadi kulala makaburini lakini wapi 🤣🤣 ukawa unaenda yale maeneo watu wanayoyaogopa kwa stori za kutisha lakini bado hukupata unachokitaka au si wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…