Video ya Rais Magufuli akiwatakiwa wananchi heri ya Christmass

Video ya Rais Magufuli akiwatakiwa wananchi heri ya Christmass

Yaani wewe mkurugenzi Mimi nikulipe mshahara,posho ya dereva,nikulipie nyumba na umtangaze mpinzani kua mbunge hiiiiiiiiiiiiiiiiii patachimbika.

Na ndio wabunge wengi wamepata kupitia kauli hiyo na hao matokeo yake mbunge anaenda bungeni kuongelea nguvu za kiume wakati jimbo lake maji shida wakulima hawapati masoko
 
Aiseeh nilijikuta machozi yananitoka tu!...R.I.P MWAMBA!!
 
Mimi sio mpinzani wala muislam ila hadi leo nasherekea kifo chake.
Watoto wa mjini tunalamba asali.
Mamako mwenyewe alivyoliwa na umasikini akiona hii coment atakulaani sana
 
Back
Top Bottom