dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
hahahahahahahaLeo nimeamini
Toka nimalize chuo uwezo wa kufikiri umepungua sana, tatizo ni nini?
Nakumbuka nikiwa chuo miaka ya nyuma huko nilikuwa sikamatiki, I was very active. Nilikuwa active kwenye siasa, mashati ya kijani yalijaa geto kwangu. Nilikuwa napata simu za makada wa chama wakubwa tu. Nilikuwa deep sana kwa mambo mengi kuhusu nchi yangu na dunia yote. Chuoni walinipa uwaziri...www.jamiiforums.com