wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Yaani wewe mkurugenzi Mimi nikulipe mshahara,posho ya dereva,nikulipie nyumba na umtangaze mpinzani kua mbunge hiiiiiiiiiiiiiiiiii patachimbika.Kila mtu anamkumbuka kwa nafasi yake mimi nakumkumba na kauli yake
Hapa mkiniletea wachadema hampati maendeleo namtaka wa sisiemu
2025 hiyoo ndio inafika, mfufueni akagombeeHii video inasambaa Sana. Kwani mhusika aliyepo hai video yake Ipo wapi?
View attachment 2457765
Dah huyu mzee nikimuona roho inaniuma sana. Kuna maumivu napata ambayo hayasemeki.
Huyu mzee picha yake huniletea machozi sijawahi kumpenda kiongozi kama nilivyompendw huyu
Naona Wasukuma mnasikitika tu kwny huu uzi,..ngoja na wale waje pia!
Kwa wapinzani na waislam baadhi hawana hamu nae
Yaani wewe mkurugenzi Mimi nikulipe mshahara,posho ya dereva,nikulipie nyumba na umtangaze mpinzani kua mbunge hiiiiiiiiiiiiiiiiii patachimbika.
Wapaka m.avi hamkosekaniMimi naona kinyaa kumuona huyo aliekuwa mshamba wa madaraka na kupora haki za Watumishi wa Umma kwa miaka sita.
Mshamba alitaka kushindana na sisi watoto wa mjini.
Wewe uzao wako ni hasara Kwa TaifaMimi sio mpinzani wala muislam ila hadi leo nasherekea kifo chake.
Watoto wa mjini tunalamba asali.
chunga tabia chunga mdomo kkMimi naona kinyaa kumuona huyo aliekuwa mshamba wa madaraka na kupora haki za Watumishi wa Umma kwa miaka sita.
Mshamba alitaka kushindana na sisi watoto wa mjini.
Wewe uzao wako ni hasara Kwa Taifa
Ben saanane alifanya nini kwenye nchi hii kwa mfano?Familia ya Ben Saa8 nayo ikimuona inajisikia hivyo hivyo Kama wewe.
Inaumiza sana, saaaana, hasa katika kipindi hiki cha walamba asali...Dah huyu mzee nikimuona roho inaniuma sana. Kuna maumivu napata ambayo hayasemeki.
Yanafikia maumivu ya ndugu za leopold Rwajabe? Ben Saanane , Kanguye ,Azory? Yanafikia maumivu aliyopata Lissu?Dah huyu mzee nikimuona roho inaniuma sana. Kuna maumivu napata ambayo hayasemeki.
Mamako mwenyewe alivyoliwa na umasikini akiona hii coment atakulaani sanaMimi sio mpinzani wala muislam ila hadi leo nasherekea kifo chake.
Watoto wa mjini tunalamba asali.