dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
hahahahahahahaLeo nimeamini
Toka nimalize chuo uwezo wa kufikiri umepungua sana, tatizo ni nini?
Nakumbuka nikiwa chuo miaka ya nyuma huko nilikuwa sikamatiki, I was very active. Nilikuwa active kwenye siasa, mashati ya kijani yalijaa geto kwangu. Nilikuwa napata simu za makada wa chama wakubwa tu. Nilikuwa deep sana kwa mambo mengi kuhusu nchi yangu na dunia yote. Chuoni walinipa uwaziri...www.jamiiforums.com
Noma sana!Tingiza miti mazakayo waanguke.
Katutakia kheri ya christmaas na mwaka mpya!)View attachment 2457759
Hii video inasambaa Sana. Kwani mhusika aliyepo hai video yake Ipo wapi?
Bila Shaka alikuwa shemeji yako......maana saa 8 kama ajaku............basi atakuwa ameku..........Familia ya Ben Saa8 nayo ikimuona inajisikia hivyo hivyo Kama wewe.
Yanafikia maumivu ya ndugu za leopold Rwajabe? Ben Saanane , Kanguye ,Azory? Yanafikia maumivu aliyopata Lissu?
Yule alikuwa muuaji asiyethamini uhai wa mtu!Enzi hizo tulikuwa na kiongozi anayehitajika tanzania.Kwa sasa wtz wamebaki kulia na kusaga meno maana wamekosa mtetezi kama ilivyokuwa enzi hizo
haina uhusiano.View attachment 2457759
Hii video inasambaa Sana. Kwani mhusika aliyepo hai video yake Ipo wapi?
Thibitisha juu ya hili....Atapumzikaje wakati kadedisha wengine?.
Yaani kampoteza Ben Saanane hivihivi mazima!
Walamba Asali wanataka tuishi Kama Wanyama huko Porini hakuna kufuata Sheria,kila Mtu amtafune mnyonge wake! Rules of the jungle!!Inaumiza sana, saaaana, hasa katika kipindi hiki cha walamba asali...
Umemsahau na Dr Ulimboka pia! hapo ndiyo utajua CCM ni ile ile tangu enzi za Mwalimu!!Yanafikia maumivu ya ndugu za leopold Rwajabe? Ben Saanane , Kanguye ,Azory? Yanafikia maumivu aliyopata Lissu?