Video ya Rais wa Sudan Kusini akitokwa na haja ndogo yazua maswali kuhusu afya za viongozi

Vipi kama ilikuwa live coverage??!
Ki protocal hata hii footage haikutakiwa itoke lkn kwakua ma beberu yanapenda kutudhalilisha ndio mana imetoka na kuzagaa ndio mana kwetu ilkua footage zote znahaririwa na mawasiliano ikulu ndio media zngne znapata content
 
hata hivyo yeye si wa kwanza kutokewa namabo haya
 
Hata Biden huwa anapotea sana Jengo Jeupe
Na kuna wakati alimkanyaga paka akasema aah paka mwenyewe mweusi

Hawa wazee wafukuzwe tu
Hawa wazee tunawaonea tu; kuna magenge huwa yanawasimika> Jiulize huyu anayepigiwa debe na lile kundi ambalo kwalo halitaonja mauti kwakuwa ni watu wema; jiulize 7years to come atakuwaje: hata hapa kwetu yanatokea mara kadhaa
 
Hawa wazee tunawaonea tu; kuna magenge huwa yanawasimika> Jiulize huyu anayepigiwa debe na lile kundi ambalo kwalo halitaonja mauti kwakuwa ni watu wema; jiulize 7years to come atakuwaje: hata hapa kwetu yanatokea mara kadhaa
Ni kweli tena kwetu ndio usiseme kabisa maana kuna wastaafu hawataki kuacha kazi ingawa hawana kazi bali wanalazimisha
Yaani mikutano yote duniani wao, likija suala la usuluhisho mahali wapo

Unajiuliza hivi huwa wanaangalia ratiba zote za Dunia?
Au huwa wanapiga simu kwa Rais na kusema mama utaenda huo mkutano au niende au Twende wote? [emoji1]

Na yupo mwingine wa Nigeria nae alimaliza mda wake miaka kibao ila kila mkutano yumo
Ugomvi mdogo unamkuta eti anasuluhisha

Yaani waafrika tuna matatizo kichwani
Na huyu akisikia atakuwepo sana ndio kabisa anaona hakuna anaemfikia kwa sifa
 
Uongo mtupu, Biden hadi Baiskeli anaendesha.
Anaweza akawa anaendesha baiskeli mbona hata nyani wanaendesha?

Ila ana signs zote za dementia
Mbona wameandika sehemu nyingi na mpaka anapotea?

Mkuu tunaona kwenye mitandao na hata live YouTube
 

Kikwete yupo hata Magufulil hajulikani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…