Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Vipi kama ilikuwa live coverage??!
Ki protocal hata hii footage haikutakiwa itoke lkn kwakua ma beberu yanapenda kutudhalilisha ndio mana imetoka na kuzagaa ndio mana kwetu ilkua footage zote znahaririwa na mawasiliano ikulu ndio media zngne znapata content