Video ya shambulizi makini: Israel ina target magaidi kwa kujali hata maisha ya wanyama, maafa ya raia wengi ni kutumiwa kama ngao za magaidi.

Hamas wana kambi za kijeshi? Jibu hapana....na kama jibu ni hapana...swali ni Je harakati zao za kijeshi wanafanyia wapi ambapo hakuna raia? Je tangu hivi vita vianze hakuna hamas aliyeuwawa akiwa kajificha miongoni mwa raia hao wanaoitwa wanawake na watoto?
 
Labda mwenzangu sijui elimu yako maana hata hujui kama collective punishment is against international law, unajua wale majudge wa icc walimhold netanyahu accountable ni wakriato kama wewe ila sio mazombi kama wewe, unajua kama aliyetakiwa kuwa mkuu wa majeshi wa israel ni kamanda ambaye alipigana vita na lebanon na hamas ila alitoa kauli ambayo ikamnyima nafasi hiyo ,aliasema haoni tofauti ya israel ya sasa na germay ya kipindi cha hitler, huyu kamand almezaliwa israel, siyo bumunda wa bonyoka kama wewe, na katoa jasho na damu kuilinda israel ila alimwambia netanyahu ukweli
 
IDF well trained and discipline army
 
IDF well trained and discipline army
Leteni source acheni porojo well trained mwaka mzima wanatafuta mateka kwenye kijiji si bora tungepeleka kamanda awadh akailetee heshima nchi
Idf ambayo waziri wake wa vita kajiuzuku huku waziri wa ukinzi akimpinga waIziri mkuu kwamba total victory against hamas haiwezekani
 
Narudia tena kuuliza hamas ina kambi za kijeshi? Na kama jibu ni hapana! Je harakati zao za kijeshi wanafanyia wapi? Maswali ya nyongeza... Joshua alikuwa mwanajeshi wa Idf? Vipi kuhusu wale Marehemu 1200+ waliky wanajeshi?
 

Attachments

  • 5520872-194fc953bea427ccfef7832aef21a538.mp4
    7.4 MB
Kama role model wako ni Kamanda Awadh basi sishangai kwa haya mataputapu unayojaza humu ndani
 
Narudia tena kuuliza hamas ina kambi za kijeshi? Na kama jibu ni hapana! Je harakati zao za kijeshi wanafanyia wapi? Maswali ya nyongeza... Joshua alikuwa mwanajeshi wa Idf? Vipi kuhusu wale Marehemu 1200+ waliky wanajeshi?
HIlo litakuwa tatizo la elimu maana hata kama hujui maana ya collective punishment its against inernational law and which means its a war crime, fanya urudi shule acha kuaumbua watu kisa una bando
 
Kama role model wako ni Kamanda Awadh basi sishangai kwa haya mataputapu unayojaza humu ndani
INa maana hujui kama netanyahu anatafutwa na icc? Eh kweli kuwa zombi ni shida , na hujui kama collective punishment is a crime in international law
 
HIlo litakuwa tatizo la elimu maana hata kama hujui maana ya collective punishment its against inernational law and which means its a war crime, fanya urudi shule acha kuaumbua watu kisa una bando
Nina masters ya Sheria. LLB udsm,LLM cape town university ( nimebobea kwenye constitutional laws) Uliza swali. Using people kwenye battle field as human shield is also a war crime kwa mujibu wa Geneva convention.
 
Nina masters ya Sheria. LLB udsm,LLM cape town university ( nimebobea kwenye constitutional laws) Uliza swali.
Hiyo masters itabidi tuichunguze kama mwanasheria hujui kwamba collective punishment, kuzuia chakula kisiingie jwa wahanga ni crime against humanity, na ungepata muda kufuatilia icc case ungejifunza mengi ukiacha chuki zako na ushabiki pembeni, maana wale judges 98% ni christians kama wewe ila wameelimika hiyo ndio tofauti yako na wao
 
Wew sio shabiki kwenye huu mzozo? Hakuna collective punishment hapo.... Hamas ndo anasabanisha human casualties... ! Na ni war crimes kujificha hospital na matakoni mwa wake zao
 
Wew sio shabiki kwenye huu mzozo? Hakuna collective punishment hapo.... Hamas ndo anasabanisha human casualties... ! Na ni war crimes kujificha hospital na matakoni mwa wake zao
Ndio maana nasema hamas wana makosa yao ila israel ana makosa sana huwezi kuua watu kila siku kwa kisingizio cha hamas wanajificha nyuma ya raia, ingekuwa hivyi marekani ai angeitifua afghanistan yote kumpata osama it doesnt work like that, roho za watu ni muhimu kama unavyojijali weww
 
Adui wa Israel ni hamas na hamas bado wapo Gaza kwenye refugee camps,schools, hospitals. Wanachofanya ni kuhama from point a to b kukwepa intelligence ya Israel tu...unashauli nn kifanyike.? Advice accordingly
 
Kichapo kilipoanza watu wale wale wakaanza kulia
 

Attachments

  • 5525590-ab47e7ed6a3edf76e2c7f0902480fd95.mp4
    4.5 MB
Vita vimeanza baada ya October 7 2023, malalmiko yote ya wapuuzi pro Hamas kuwa njaa,Kiu,Umeme hakuna, Makazi yamebomolewa n.k Miezi imeshatimia 10 baada ya kujamiiana mimba huchukua miezi 9 mtoto anazaliwa. so jamaa wanagongana ngozi nyakati za vita ili kufidia magaidi waliouwawa au? wanapata wapi huo muda? Miarabu Gaza haitaki kufanya kazi wao ni kutaka misaada na kazi yao kubwa n kudinyana tu... Ndio maana Dini yao inasema Peponi kuna wanawake wengi kuliko wanaume 70 kwa moja kudadeki wastani huo
 
Israel ya sasa huruma imezidi ingekuwa ni ile Israel ya zamani hao wapalestina hadi leo wangeishauliwa zaidi ya milioni moja, wana bahati sana na washukuru Mungu.
 
Mi ninachokijua baada ya kupita Ile miaka ya machafuko ya kisiasa kwa Sasa waarab na dini yao ndio chanzo kikuu Cha machafuko duniani
 
Hamna genocide katika vita dhidi ya ugaidi.
Sema miarabu inajua kujiliza inaposhughulikiwa, halafu sasa ndio inaongoza kwa uchokozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…