njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
acha ku comment mambo yasiyokuhusuAcha kufuatilia mambo yasiyo kuhusu. Utaonekana una nongwa.
yule kibendera ana kadi ya yanga ni mkereketwa haswa asingeweza kukubali unbeaten record ivunjwe kirahisirahisi vilewakasiginwa goli moja refa akakataa.
inaonekana una uzoefu san kwenye kuvaa dera na G strings mkuuNongwa hiyo tayari anayo, kinachofuata muda si mrefu Ni kuvalishwa Dera
Subiria kijora chako na ushungi alafu kitakachofuata utajaza mwenyewe maana si kwa umbea huuinaonekana una uzoefu san kwenye kuvaa dera na G strings mkuu
unaongea kwa uzoefu ikawaje sasa ulivyovalishwa kijora? huu umbeya wangu si una ukweli lakini au ni uzushi?Subiria kijora chako na ushungi alafu kitakachofuata utajaza mwenyewe maana si kwa umbea huu
nakubaliana na wewe mkuu kuna mtu kaniambia hii video imetengenezwa ni fekiMakolo Laiti Kama Mngelicheza Mechi Zenu Vizuri Kwenye Ligi Haya Yote Yasingewakuta
siyo comedy hiyo ni thriller mkuuuHaichekeshi
wamechukia kuona wachezaji walienda kula bata,wanaona wivuHili jukwaa bila matusi haliendi? nawauliza Uto
Huyu huyu yanga kashanyimwa magoli ya halali mechi ya mbeya city na mechi ya prison lakini wala halalamikiwakasiginwa goli moja refa akakataa.
mabingwa watarajiwa wa Afrika mwaka huu ni team kubwa sana haiwezi lalamikaHuyu huyu yanga kashanyimwa magoli ya halali mechi ya mbeya city na mechi ya prison lakini wala halalamiki