VIDEO: YANGA WALIENDA STAREHE LIVE BAND HUKO KIGOMA KABLA YA MECHI VS RUVU

VIDEO: YANGA WALIENDA STAREHE LIVE BAND HUKO KIGOMA KABLA YA MECHI VS RUVU

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Kazi na dawa, mabingwa watarajiwa wa kombe la klabu bingwa afrika mwaka huu ambalo litawapa tiketi ya kwenda kuwakilisha bara hili la giza kwenye FIFA club world cup , Yanga sc walikula bata la kutosha na bendi ya malaika music band huko kigoma kabla ya mechi yao na Ruvu shooting iliyoisha kwa sare ya 0-0

Hivyo ndivyo team za kisasa zinavyoishi siyo kuwafungia wachezaji kambini kama kuku

 
Subiria kijora chako na ushungi alafu kitakachofuata utajaza mwenyewe maana si kwa umbea huu
unaongea kwa uzoefu ikawaje sasa ulivyovalishwa kijora? huu umbeya wangu si una ukweli lakini au ni uzushi?
 
Back
Top Bottom