Video za ngono na wasanii ni ndugu?

Video za ngono na wasanii ni ndugu?

Status
Not open for further replies.
Hivi kwani kufanya ngono ni jambo jipya duniani au ni ajabu kwa hiki kizaz kwamba limepitwa na wakati?

Shida ipo kwa wanaovujisha na kuzisambazo mtandaoni hasa wewe ulieenda kuzitazama bila shaka ulikua ukiisubir kwa hamu ahadi ya Mange kutimia.

Mpaka nafika hapa sijawah tazama connection ya mtu yeyote nchi hii ni kwa sababu nimeamua kupuuza na kutofuatilia Mambo ya kawaida ambayo hata mimi nafanya karbu kila siku.
 
Mambo yanaweza kuwa mengi Ila makuu kwa mtazamo wangu ni matatu.

1. Ulimbukeni na kutokujitambua.
2. Kutafuta kiki kwa ajili ya kazi zao na kupata wafuasi wengi katika akaunt zao maana wabongo tunapenda ujinga.
3. Sehemu ya kafara za kiibada.
Swali kwanini umber ruty alikamatwa na hawa wengine hawakamatwi?
 
Uwoya hakujirikodi, bali alirekodiwa akiwa hana fahamu, ndo iyo bongo tu ila Ulaya yule Jamaa pamoja na na yule mpuuzi Menge wangefia Jela.
 
Wanaojiita wasanii wengi wao vilaza sana ila wanaonekana wana akili kwasababu script zinawataka wacheze kama watu wenye ufahamu ila ni ma bogus
Hahahahahahha naona umeamua kuwa tolea uvivu kbsa


Wengi wao kweli hawakusoma kbsa wengi ,zeroo walipata SAS anatak kuigiza md au CEO wa kampuni huwa nacheka sna nikionaga
 
Hivi kwani kufanya ngono ni jambo jipya duniani au ni ajabu kwa hiki kizaz kwamba limepitwa na wakati?

Shida ipo kwa wanaovujisha na kuzisambazo mtandaoni hasa wewe ulieenda kuzitazama bila shaka ulikua ukiisubir kwa hamu ahadi ya Mange kutimia.

Mpaka nafika hapa sijawah tazama connection ya mtu yeyote nchi hii ni kwa sababu nimeamua kupuuza na kutofuatilia Mambo ya kawaida ambayo hata mimi nafanya karbu kila siku.
Ngumu kuyazuia macho kuona
 
Ile ya Lukamba anaonekana director wa movie ni yeye mwenyewe ila imemfikiaje dada wa taifa hatujui.
Siamini mtu mwenye akili timamu anaweza uza faragha yake
Sasa dear kwan kwenye mix tape, wanao record si ni wahusika wenyewee? Lukamba kauza makusudi apate pesaa.
 
Ninyi mnaotaka serikali iingilie kila kitu ndio mnakuja kulalamika baadae mkiongezewa kodi.. Somo uraia ujue mipaka ya serikali inatakiwa kuwa wapi
 
Amber aliwekwa ndani na nani?
Serikali. lilikuwa kosa, serikali inaingiliaje uhuru wa mtu?? kwani kwa kulawitiwa yy, kumeikosesha serikali nini?...

unakamata Amber Lulu unawaacha mafisadi waliyokusabibishia hasara za matrilioni nyinyi mnaona sawa?
 
Sa serikal ikiwazuia au kuwashika watapata wap wapiga kampeni kipnd cha uchaguzi
Au unataka kusahau hao ndo mtaji wa sisiem kipnd cha uchaguzi
 
Kwamba huvujisha hizo clip makusudi? Au zina leak bahati mbaya
Kwanini wana record?? Hawajifunzi wahanga wengine
Kwanini hamna adhabu yoyote ?

Ukiangalia vizuri wahusika wana set kabsa camera kwenye angle nzuri

Note:kabla hata ya mange app video zilikua zina leak
 
Kwamba huvujisha hizo clip makusudi? Au zina leak bahati mbaya
Kwanini wana record?? Hawajifunzi wahanga wengine
Kwanini hamna adhabu yoyote ?

Ukiangalia vizuri wahusika wana set kabsa camera kwenye angle nzuri

Note:kabla hata ya mange app video zilikua zina leak
Vijana wa ccm ni wa hovyo sana.

Wanatafuta Kiki wameona Mwijaku kawazidi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom