Video za ngono na wasanii ni ndugu?

Video za ngono na wasanii ni ndugu?

Status
Not open for further replies.
Hawa vijana wana njaa kali, huenda wanarecord kusudi alafu wanamtumia huyo dada wa ulaya ili wapewe Pesa
 
Habari wadau, kwanini wasanii na watu maarufu imekuwa kawaida kufanya ngono na kujirekodi tena kwa ujasiri?

Je, serikali hailioni hili au na yenyewe imeamua kubariki utumbo huu? Leo Aslay naye katoa sexy tape yake akifanya uchafu wake na kahaba mmoja hivi.

Hivi watu kama: Aslay, Gigy, Uwoya, Lukamba, Nyarandu na wengine tuseme wanaogopwa na serikali? Mbona hakuna hata tamko kama enzi za mwendazake?

Je, Amberruty ndiye muhanga tu wa hili jambo kwani pekee ndiye aliwahi kuonja selo na bwana wake ila akina Lulu diva na wengine thubutu.[emoji2357]
Vijana wakamatwe wapelekwe kwa P Diddy huko 😂😂😂😂kesho utakuta wanatoa remix nyimbo za chama na serikali kusifu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom