Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wakamatwe wapelekwe kwa P Diddy huko 😂😂😂😂kesho utakuta wanatoa remix nyimbo za chama na serikali kusifuHabari wadau, kwanini wasanii na watu maarufu imekuwa kawaida kufanya ngono na kujirekodi tena kwa ujasiri?
Je, serikali hailioni hili au na yenyewe imeamua kubariki utumbo huu? Leo Aslay naye katoa sexy tape yake akifanya uchafu wake na kahaba mmoja hivi.
Hivi watu kama: Aslay, Gigy, Uwoya, Lukamba, Nyarandu na wengine tuseme wanaogopwa na serikali? Mbona hakuna hata tamko kama enzi za mwendazake?
Je, Amberruty ndiye muhanga tu wa hili jambo kwani pekee ndiye aliwahi kuonja selo na bwana wake ila akina Lulu diva na wengine thubutu.[emoji2357]