Swali kwanini umber ruty alikamatwa na hawa wengine hawakamatwi?Mambo yanaweza kuwa mengi Ila makuu kwa mtazamo wangu ni matatu.
1. Ulimbukeni na kutokujitambua.
2. Kutafuta kiki kwa ajili ya kazi zao na kupata wafuasi wengi katika akaunt zao maana wabongo tunapenda ujinga.
3. Sehemu ya kafara za kiibada.
Hivi wasanii kama lukamba Ndio umaskini au ujinga?Lukamba kafanya makusudi, kauza video apate pesa.
Sorry to Aslay
Hahahahahahha naona umeamua kuwa tolea uvivu kbsaWanaojiita wasanii wengi wao vilaza sana ila wanaonekana wana akili kwasababu script zinawataka wacheze kama watu wenye ufahamu ila ni ma bogus
Ngumu kuyazuia macho kuonaHivi kwani kufanya ngono ni jambo jipya duniani au ni ajabu kwa hiki kizaz kwamba limepitwa na wakati?
Shida ipo kwa wanaovujisha na kuzisambazo mtandaoni hasa wewe ulieenda kuzitazama bila shaka ulikua ukiisubir kwa hamu ahadi ya Mange kutimia.
Mpaka nafika hapa sijawah tazama connection ya mtu yeyote nchi hii ni kwa sababu nimeamua kupuuza na kutofuatilia Mambo ya kawaida ambayo hata mimi nafanya karbu kila siku.
Shangaa na wewe yani hii ni double standardSwali kwanini umber ruty alikamatwa na hawa wengine hawakamatwi?
Sasa dear kwan kwenye mix tape, wanao record si ni wahusika wenyewee? Lukamba kauza makusudi apate pesaa.Ile ya Lukamba anaonekana director wa movie ni yeye mwenyewe ila imemfikiaje dada wa taifa hatujui.
Siamini mtu mwenye akili timamu anaweza uza faragha yake
Yule alirecordiwa hakufanya kwa idhini yake. Kama tutahukumu watu kwa makosa ya wengine itakua hatari basi
Serikali. lilikuwa kosa, serikali inaingiliaje uhuru wa mtu?? kwani kwa kulawitiwa yy, kumeikosesha serikali nini?...Amber aliwekwa ndani na nani?
Kwa mujibu nabii mtume mnyakyusa gani?Wao kufanya hayo ni ibada ya kishetani, wanatoa kafara na wengine mnaunganishwa kwenye ibada hiyo ya kishetani kwa kutazama picha na video zao chafu
Vijana wa ccm ni wa hovyo sana.Kwamba huvujisha hizo clip makusudi? Au zina leak bahati mbaya
Kwanini wana record?? Hawajifunzi wahanga wengine
Kwanini hamna adhabu yoyote ?
Ukiangalia vizuri wahusika wana set kabsa camera kwenye angle nzuri
Note:kabla hata ya mange app video zilikua zina leak