Video za uokozi maafa ya kariakoo

Ujenzi unaofanyika kko ni uchafu tu.....na mamlaka wao wanatizama tu
Tunajuwa rushwa inatumikaa sana
Na kwa style hii tutazidi kufukiwa na vifusi na tutazikana sana

Ova
Tumalize kwanza kuokoa wahanga waliokwama kwenye kifusi.

Ni kweli,
zipo dosari na kasoro mbalimbali kwenye sekta ya ujenzi nchi, hasa kwenye majengo marefu, makubwa na mazito.
Janga hili la kariakoo litatupatia fundisho na uelekeo mpya katika ujenzi.

Tamaa za watu wachache, kuchimbua nini sijui chini ya majengo mazito, zisituletee maafa na majonzi katika familia na taifa letu.

uzembe katika hili ,iwe ndiyo mwanzo na mwisho kututoa machozi kama Taifa πŸ’
 
Tz mashujaa ni wakina dotto magari mwijaku stv nyerere babl3vo na wakata maunooo na hao ni washauri wa vionogozi wanakuwa nao πŸ˜„

Ova
Yaan, jamaa kaamua kuifuata danger. yaan askari mwenye mafunzo yupo anashangaa shangaa, jamaa anasema tenda wema usingojee malipo.
Huyo jamaa ni RAFIKI WA KWELI R.I.P LANGA KILEO
 
Ww unakuja kuleta siasa humu. Tumeziona picha asilimia kubwa watu wa kariakoo wamesaidiana wenyewe kwa wenyewe kuokoana
Kama taifa,
hakuna sababu ya kusubiri mamlaka katika suala la uokoaji..

Na pale kwenye hatari zaidi,
ndipo mamlaka husika zinaweza kutoa tahadhari kwa wananchi kukaa pembeni kidogo ili kuepusha maafa zaidi.

Shukran za kipekee sana zimuende Rais Dr.Samia Suluhu Hassan kwa maagizo na maelekezo yake muhimu na muafaka sana ,ambayo mpaka sasa ndiyo yanaendelea kutekelezwa na kamati ya maafa kitaifa chini ya waziri mkuu Kasimu Majaliwa.

Aidha,
Shukran ziwaendee wadau, wafanyabiashara, wateja na wale wote ambao kwa namna moja ama nyingine wamesaidia kunusuru wahanga miongoni mwa walioathirika na kuporomoka kwa jengo la ghorofa kariakoo.πŸ’

Mwenyezi Mungu afanye wepesi zaidi na kuonyesha njia waliokwama waopolewe salama, Aimen 🌹
 
Siyo kila kitu ni kusifia tu,kuna mambo mengine unaweza kunyamaza tu kama huwezi kutoa maoni tofauti ili usionekane mbaya na waajiri wako wanaokulipa kwa kila post na comments unazochangia,hutopoteza kitu kuliko kuandika ujinga wa kusifia kila kitu, unakera sana πŸ• wewe.
 
Wana jf tungepewa fursa ya kuonana kila mara ningekuwa nakuchapa hadi utando wa uchawa na ukada ukutoke
 
Ingekuwa mbele kwa nchi ambazo mahakama ziko huru na weledi wa kazi unazingatiwa, familia za wahanga wangewaburuza wahusika wakutane na mkono wa Sheria. Bongoland unafarijiwa kwa kudanganywa kuwa eti Bwana ametoa, Bwana ametwaa
 
sasa si ungenyamaza kimya tu gentleman?

kiherahere cha nini sasa kujulisha na kuwaonyesha wadau mihemko na ghadhab zako ambazo ni useless na completely nonsense?πŸ’

kwahiyo hapo ndio umejiona mwerevu na huna pwainti yoyote 🀣

wewe ni bure kabisa aise
 
Wana jf tungepewa fursa ya kuonana kila mara ningekuwa nakuchapa hadi utando wa uchawa na ukada ukutoke
sasa wewe na kiherahere na mihemko yako, si ungekua unatulizwa kwa makofi na wananchi tu mapema kabisa hata kabla hujaamka ulipoketi?🀣
 
Bure kabisa ni wewe unayedharauliwa kwa kutumikishwa kwa vihela vichache,wenzako wamekaa pembeni wanacheeka jinsi unavyojitoa thamani ya utu wako kwa tamaa ya hela huku mwenyewe ukijiona mjanja kumbe ni bwege wa kutupwa!
 
Bure kabisa ni wewe unayedharauliwa kwa kutumikishwa kwa vihela vichache,wenzako wamekaa pembeni wanacheeka jinsi unavyojitoa utu wako kwa tamaa ya hela huku mwenyewe ukijiona mjanja kumbe ni bwege wa kutupwa!
Mwenyezi Mungu anipenda,
hata ukinidharau yafaa nini gentleman, maskini wa Mungu weee.

muerevu mwenye mihemko na ghadhab bila kua na pwainti ndiyo mara ya kwanza nakuona gentleman 🀣

Mungu akusaidie sana gentleman πŸ’
 
Mwenyezi Mungu anipenda,
hata ukinidharau yafaa nini gentleman, maskini wa Mungu weee.

muerevu mwenye mihemko na ghadhab bila kua na pwainti ndiyo mara ya kwanza nakuona gentleman 🀣

Mungu akusaidie sana gentleman πŸ’
Mtwana wa Samia na ccm unasikitisha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…