Video za utupu wa mwanandoa zakutwa kwa mwanaume mwingine

Video za utupu wa mwanandoa zakutwa kwa mwanaume mwingine

Ungetumia uwezo huu shule kukariri ungekuwa

Kucheza huo mchezo tayari inatilia shaka kuwa ni profesa na hata kushuka simu ya mwenzako kwa muda inaonyesha mlikuwa grocery ya mzee Kipele pale Ngwasuma.Cha msingi acha hasira, vuta subira utapata ushahidi zaidi kama mkeo ni mwaminifu au la LAKINI jiulize wewe ni mwaminifu kama sio wewe potezea ila ukiona imezidi kafungue shauri la talaka.
Mimi sio mtoa hoja, acha kukurupuka kijana
 
Hii imemkuta jamaa yangu wa karibu.

Iko hivi:

Jamaa yangu anaishi na mkewe na wamebahatika kupata watoto watatu. Ndoa yao ni tulivu sana.
Mahusiano ya sasa hivi ni janga LA taifa aisee , hapo kilichopo kuna huyo jamaa anamkula mke wa mshikaji wake na kwa kua mke wake hajitambui kaamua kutuma na picha zake kabisa jinga kabisa huyo mwanamke ,

Pia nimejifunza kua kwa hali ya sasa sitakiwi kua na wivu na hawa viumbe wanaoitwa wanawake , maana ukiendekeza wivu unaweza umiza mtoto wa MTU na kujiingiza kwenye matatizo bure , chamsingi ukiona hali kama hiyo unatafuta mwanamke mwingine na ww unajipoza machungu tu hakuna namna
 
Na watoto wako wanalelewa na nani?
Kwaiyo ufanye ushenzi nivumilie eti kisa watoto watoto utalea ww mwanamke mm nachukua nguo zangu vitu vyangu nasepa zangu kusu watoto utalea ww nitaanda tuu utaratibu mzuri wa kutuma pesa ya natumizi ya kila mwezi ya watoto bac lakini kusu maswala ya mapenzi ndo nitolee iyo imetoka iyo tunatalakiana tena mahakamani kabisa nitalea watoto tuu.

Kiukweli mm nina mke tena mke wangu nilimkuta akiwa na mtoto wa miaka 2 mwaka 2000 iyo mwaka 2003 tukafunga ndoa kanisani kabisa now tuna watoto 7 ukijumlisha na uyo wakwake.Mimi sio mtu wa kushinda nyumba mm nafanya kazi namishwa amishwa sana ila familia yangu ipo Njombe makambako ndo ninamji wangu uko kwa sasa nipo kyela kikazi kiukweli naweza nikapitishia miezi hata mi3 sijafika home ila nimemwambia mke wangu nikija jua ananisaliti aisee nachana nae mchana kweupe ila ninacho mpenda mke wangu huyu ni ana hofu sana ya Mungu tumevumiliana mengi tumetoka mbali mno kiukweli nimemzalisha mfululizo mfululizo sana imagine ana miaka 35 ila anawatoto 7 saizi

Mimi namiaka 38,kwaiyo sikumpumzisha mana nilikuwa nikirudi hm namtia mimba nasepa zangu job kiukweki hii kitu naona imesaidia kumtukiza nao ana watoto kibao anangaika nao tu nyumbani nature na mazingira ya kazi yangu mm sio wa kukaa hm.

Ushauri wangu kama unataka kumuacha uyo mwanamke usimfukuze ww muache tuu hapo hm ww tafuta geto panga fanya maisha yako wanawake ni wasumbufu muda mwingine ukiendaa kukaa nae mbali ataona umuhimu wako ataacha ujinga....
 
Kukosa hayo sio sababu ya kufanya huo uchafu. Kma hamu yke kubwa ni hyo awe huru tu kwa mwenzie, amfahamishe anachokipenda issiwe tu kinyume na asili na sio kugawa mechi nje
basi itakuwa kaoa mwanamke aliekuwa anafukuliwa nyuma, kamwambia mumewe kakataa. Sasa amepata mtaalamu wa kumfukua tope.

Na wake wa watu wengi wanaotoka nje ya ndoa hiyo ndo michezo yao hapa mjini.
 
Sio rahisi hizo ni stori
Siwezi kukulaumu najua Kuna watu wanafikiri mwanamke akiliwa na mtu mwingine solution Ni kumpiga au kumpa talaka.

Ukimpa mwanamke talaka unawatesa watoto ambao hawahusiki na wewe kukosa kwako nguvu za kiume mpaka ikapelekea waif akagawa utamu kwa wengine.

Linapotokea tatizo, don't panic, ondoka kwenye eneo la tukio, taafakari then take action. Ikibidi chukua ushauri wa besti wako kwanza.
 
Siwezi kukulaumu najua Kuna watu wanafikiri mwanamke akiliwa na mtu mwingine solution Ni kumpiga au kumpa talaka.
Ukimpa mwanamke talaka unawatesa watoto ambao hawahusiki na wewe kukosa kwako nguvu za kiume mpaka ikapelekea waif akagawa utamu kwa wengine.
Linapotokea tatizo, don't panic, ondoka kwenye eneo la tukio, taafakari then take action. Ikibidi chukua ushauri wa besti wako kwanza.
Unaona ulivyo kituko.kwamba wanawake wanachepuka kisa waume zao hawana nguvu za kiume!!!!mawazo mgando
 
Hapo ndoa hamna tena,
Amfate mkewe na ushahidi ambane atasema kilakitu.
After then akamate njia yake

Ila dah hawa wanawake watatuua wallahi
Ukiwa ndezi wanakutoa roho. Kweli,hapo wewe,mwoneshe mkeo ujinga aliofanya,then piga chini,tafuta kabinti kengine,wanawake mbona wengi tu.
 
Hii imemkuta jamaa yangu wa karibu.

Iko hivi:

Jamaa yangu anaishi na mkewe na wamebahatika kupata watoto watatu. Ndoa yao ni tulivu sana.
Ukifowdi whatsap picha/video inabaki na list ya mtu uliemtumia hata kama ukifuta, kwa kifupi mwenye simu amejua jamaa kajitumia, ila kulianzisha si aifowdi sasa kwa mkewe wakiwa wote ili sasa aanzie hapo mazungumzo? Kutozungumza kabisa nafsi itamtesa sana
 
Shida kubwa ya ndoa na wanandoa wenyewe mkifikia hatua hii ya kusalitiana basi tena hakuna kitu hapo imeshatia dosari ni ngumu sana kutoka kwenye fikra hizo na kusahau, matatizo ya ugomvi na kuvunjika kwa ndoa huanzia hapa
 
Hapo ndoa hamna tena,
Amfate mkewe na ushahidi ambane atasema kilakitu.
After then akamate njia yake

Ila dah hawa wanawake watatuua wallahi
Yaani hapo ina maana Lihakanga mali zake kuna mtu anaziangalia kama za kwake,duh hii inahuzunisha sana kama ni kweli,thamani ya ndoa inakuwa haipo kabisa hapo,ndio maana tunaambiwa kuwa shetani hajawahi kuwa mwema hata siku moja kwa binadamu,tuendelee kumpinga kila siku tukitaka kuwa salama......
 
Mkiingia kwenye ndoa mjipange sana kiakili, ndoa ni baraka na ni mpango wa Mungu ila ndiyo shetani anapinga sana ndoa ndiyo maana mauaji/migogoro ni mikubwa sana mkiwa kwenye ndoa
 
Amakweli Mungu amsaidie Lihakanga, maana amekosa akili na maarifa.
Hayaambo huwa hayahitaji ushauri wala simulizi. Lihakanga anatakiwa afanye maamuzi magumu (ampigie chini pasipo kusimulia yeyote).
Sioni Kama kuhaja ya kumueleza mkewe haya
 
Mh hapo kama hakuna kamchezo,kama kila kitu ni true ampeleke kwao tu akaolewe vizuri na huyo ampendae
 
Hahaaaa poleni,mambo haya unafanya ukiwa msichana, sasa mama na ndoa watu watatu????? 🤔🤔🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom