Video za utupu wa mwanandoa zakutwa kwa mwanaume mwingine

Video za utupu wa mwanandoa zakutwa kwa mwanaume mwingine

huyo itakuwa kapata fundi anayejua kumnyonya papuchi. Mumewe sianajifanya anakinyaa analeta na ulokole kitandani akati ni mkewe.
Kukosa hayo sio sababu ya kufanya huo uchafu. Kma hamu yke kubwa ni hyo awe huru tu kwa mwenzie, amfahamishe anachokipenda issiwe tu kinyume na asili na sio kugawa mechi nje
 
ni kosa sana kupekuwa simu ya mtu hasa sehemu za video na picha, tuweke password kwenye sehemu za picha na video ili kujiepusha na mengi
 
Nyeti zinafanana achunguze kama mke wake ana namba ya simu ya huyo jamaa. Atapata pa kuanzia
 
Huyo jamaa asimtumie kwanza mkewe hiyo video ingawa hiyo ni step ya pili.
Step ya kwanza ainstall spy app kwenye simu ya mkewe, itakayomuonyesha meseji zote za whatsapp, fb na social media, meseji za kawaida na normal calls.

Halafu asubiri hata wiki kama kupata ushahidi zaidi. Baada ya huo muda sasa, akishajiridhisha kwamba mkewe sio mwaminifu anaweza akamkamata na kumpa vithibitisho vyote, then apige kimya ( hapa uwe kidume kweli). Unamtumia ushahidi wote kwa simu yake
 
Huyo jamaa asimtumie kwanza mkewe hiyo video ingawa hiyo ni step ya pili.
Step ya kwanza ainstall spy app kwenye simu ya mkewe, itakayomuonyesha meseji zote za whatsapp, fb na social media, meseji za kawaida na normal calls.

Halafu asubiri hata wiki kama kupata ushahidi zaidi. Baada ya huo muda sasa, akishajiridhisha kwamba mkewe sio mwaminifu anaweza akamkamata na kumpa vithibitisho vyote, then apige kimya ( hapa uwe kidume kweli). Unamtumia ushahidi wote kwa simu yake
Unaweza kunisaidia hiyo spy app tafadhali
 
Umeoa? Mimi hata zitapangwa sehemu za Siri miamoja na za Mke wangu ziwekwe, nitazitambua tu za Mke wangu!!
Ungetumia uwezo huu shule kukariri ungekuwa
Mkuu Umejuaje kuwa Mimi sio profesa? Kwani msomi pekee Tanzania Ni profesa? Kwani profesa anamuzidi nini mtu asiye profesa?
Kucheza huo mchezo tayari inatilia shaka kuwa ni profesa na hata kushika simu ya mwenzako kwa muda inaonyesha mlikuwa grocery ya mzee Kipele pale Ngwasuma.Cha msingi acha hasira, vuta subira utapata ushahidi zaidi kama mkeo ni mwaminifu au la LAKINI jiulize wewe ni mwaminifu kama sio wewe potezea ila ukiona imezidi kafungue shauri la talaka.
 
Duuuuh huyo mwanamke alietuma hiyo video unaish wapiii nataka anitumie na me nione kwanza kama ntajuwa interested nifanye maamuziii magumuu
 
Back
Top Bottom