Video za utupu wa mwanandoa zakutwa kwa mwanaume mwingine

Video za utupu wa mwanandoa zakutwa kwa mwanaume mwingine

Hapo ni ajue tu ameamuaje?

Ataamua kusamehe au ndo imetoka.

Sio mambo ya kuumizana.
Waefeso 5:5 Maana neno hili mnalijua hakika, ya kwamba hakuna mwasherati wala mchafu wala mwenye tamaa, ndiye mwabudu sanamu, aliye na urithi katika ufalme wa Kristo na Mungu.
 
Waefeso 5:5 Maana neno hili mnalijua hakika, ya kwamba hakuna mwasherati wala mchafu wala mwenye tamaa, ndiye mwabudu sanamu, aliye na urithi katika ufalme wa Kristo na Mungu.
Mchungaji sijaelewa.
 
Kuna mawili tu hapa

Kumfanya ajue wee mwenyewe mwambie AONDOKE.

kumfanya ajue, ila uaimwambie aondoke, yaaan ,Mtumie hiyo video mkeo.... Usiongee naye kuhusu hiyo video.... Nunua Panga, na ajue umenunua panga., nunua gunia mbili na ajue umeninia magunia mawili , kua bize na simu, ukitaka ongea nasimu toka njee.

Ondoka asubuh, rudi jion... Utamkuta keshaondoka.
 
Wala hiyo sio dawa ni kujidanganya tu!!hata umpelekee moto hadi ichanike chanike bado ikipona ataipeleka kwa jamaa tu kama hiyo ndio tabia yake!!
Tena anapelekewa jamaa tu ambae hata hatumii nguvu yan yeye anaipiga deki taratiiiibu tu had anamkojoza demu, tuishi nao kwa akili tu
 
Hii imemkuta jamaa yangu wa karibu.

Iko hivi:

Jamaa yangu anaishi na mkewe na wamebahatika kupata watoto watatu. Ndoa yao ni tulivu sana.

Kifupi wanapendana na kuheshimiana (kwa mtazamo wangu na maisha yao ya nje yanavyoonekana).

Mwanaume ana rafiki yake wa kiume. Familia inatambua urafiki wao vizuri. Huyu rafiki ana rafiki mwingine wa kiume.

Yaani tuseme hivi Lihakanga nina mke. Nina rafiki wa kiume tumwite Bico. Bico naye ana jamaa yake anaitwa Lituye.

Bico anaazima simu ya Lituye aitumie kwa masuala ya kubeti. Wakati Bico anabeti, Lihakanga anatokea, wakati Lituye hayupo.

Bico amemaliza kubeti, akaanza kupitapita kwenye files za simu ya Lituye. Anaingia kwenye videos. Kuna video ya utupu ya mwanamke ananengua na kujichezea sehemu zake za siri. Lihakanga anagundua kuwa zile ni sehemu za siri za mkewe.

Kwa kujikaza anashika simu aangalie vizuri. Bico hana habari, kumbe Lihakanga anataka aangalie imefikaje.

Anagundua imetumwa na mkewe tena kwa namba ya simu ya mkewe ingawa Lituye hajaisave ile namba.

Lihakanga amei forward kwenye simu yake na kufuta ili isijulikane kama amei forward.

Lihakanga anataka kuliamsha.

Aanzie wapi? Msaada tafadhali.

Naomba tuwe serious kumshauri.
Msioe ma baa medi hamsikii
 
Hii imemkuta jamaa yangu wa karibu.

Iko hivi:

Jamaa yangu anaishi na mkewe na wamebahatika kupata watoto watatu. Ndoa yao ni tulivu sana.

Kifupi wanapendana na kuheshimiana (kwa mtazamo wangu na maisha yao ya nje yanavyoonekana).

Mwanaume ana rafiki yake wa kiume. Familia inatambua urafiki wao vizuri. Huyu rafiki ana rafiki mwingine wa kiume.

Yaani tuseme hivi Lihakanga nina mke. Nina rafiki wa kiume tumwite Bico. Bico naye ana jamaa yake anaitwa Lituye.

Bico anaazima simu ya Lituye aitumie kwa masuala ya kubeti. Wakati Bico anabeti, Lihakanga anatokea, wakati Lituye hayupo.

Bico amemaliza kubeti, akaanza kupitapita kwenye files za simu ya Lituye. Anaingia kwenye videos. Kuna video ya utupu ya mwanamke ananengua na kujichezea sehemu zake za siri. Lihakanga anagundua kuwa zile ni sehemu za siri za mkewe.

Kwa kujikaza anashika simu aangalie vizuri. Bico hana habari, kumbe Lihakanga anataka aangalie imefikaje.

Anagundua imetumwa na mkewe tena kwa namba ya simu ya mkewe ingawa Lituye hajaisave ile namba.

Lihakanga amei forward kwenye simu yake na kufuta ili isijulikane kama amei forward.

Lihakanga anataka kuliamsha.

Aanzie wapi? Msaada tafadhali.

Naomba tuwe serious kumshauri.
Mwambie likahanga aipeleke tcra

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Yaani sura ya mwanamke haionekani bali jamaa kagundua tu uchi ule ni wa mkewe ...duuuu hii kali
 
Hii imemkuta jamaa yangu wa karibu.

Iko hivi:

Jamaa yangu anaishi na mkewe na wamebahatika kupata watoto watatu. Ndoa yao ni tulivu sana.

Kifupi wanapendana na kuheshimiana (kwa mtazamo wangu na maisha yao ya nje yanavyoonekana).

Mwanaume ana rafiki yake wa kiume. Familia inatambua urafiki wao vizuri. Huyu rafiki ana rafiki mwingine wa kiume.

Yaani tuseme hivi Lihakanga nina mke. Nina rafiki wa kiume tumwite Bico. Bico naye ana jamaa yake anaitwa Lituye.

Bico anaazima simu ya Lituye aitumie kwa masuala ya kubeti. Wakati Bico anabeti, Lihakanga anatokea, wakati Lituye hayupo.

Bico amemaliza kubeti, akaanza kupitapita kwenye files za simu ya Lituye. Anaingia kwenye videos. Kuna video ya utupu ya mwanamke ananengua na kujichezea sehemu zake za siri. Lihakanga anagundua kuwa zile ni sehemu za siri za mkewe.

Kwa kujikaza anashika simu aangalie vizuri. Bico hana habari, kumbe Lihakanga anataka aangalie imefikaje.

Anagundua imetumwa na mkewe tena kwa namba ya simu ya mkewe ingawa Lituye hajaisave ile namba.

Lihakanga amei forward kwenye simu yake na kufuta ili isijulikane kama amei forward.

Lihakanga anataka kuliamsha.

Aanzie wapi? Msaada tafadhali.

Naomba tuwe serious kumshauri.
Kesi hamna hapo mkuu
 
Unaona ulivyo kituko.kwamba wanawake wanachepuka kisa waume zao hawana nguvu za kiume!!!!mawazo mgando
Ni tamaa tu. Jamaa yangu hapigi kimoja. Kanuni yake ni 2 au zaidi. Halafu hawez kumaliza wiki bila kungonoka. Lakini mkewe ndo huyo sasa.
 
Hii imemkuta jamaa yangu wa karibu.

Iko hivi:

Jamaa yangu anaishi na mkewe na wamebahatika kupata watoto watatu. Ndoa yao ni tulivu sana.

Kifupi wanapendana na kuheshimiana (kwa mtazamo wangu na maisha yao ya nje yanavyoonekana).

Mwanaume ana rafiki yake wa kiume. Familia inatambua urafiki wao vizuri. Huyu rafiki ana rafiki mwingine wa kiume.

Yaani tuseme hivi Lihakanga nina mke. Nina rafiki wa kiume tumwite Bico. Bico naye ana jamaa yake anaitwa Lituye.

Bico anaazima simu ya Lituye aitumie kwa masuala ya kubeti. Wakati Bico anabeti, Lihakanga anatokea, wakati Lituye hayupo.

Bico amemaliza kubeti, akaanza kupitapita kwenye files za simu ya Lituye. Anaingia kwenye videos. Kuna video ya utupu ya mwanamke ananengua na kujichezea sehemu zake za siri. Lihakanga anagundua kuwa zile ni sehemu za siri za mkewe.

Kwa kujikaza anashika simu aangalie vizuri. Bico hana habari, kumbe Lihakanga anataka aangalie imefikaje.

Anagundua imetumwa na mkewe tena kwa namba ya simu ya mkewe ingawa Lituye hajaisave ile namba.

Lihakanga amei forward kwenye simu yake na kufuta ili isijulikane kama amei forward.

Lihakanga anataka kuliamsha.

Aanzie wapi? Msaada tafadhali.

Naomba tuwe serious kumshauri.
Kazi ipo
 
Back
Top Bottom