Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
Ndoa changaHahaaaa poleni,mambo haya unafanya ukiwa msichana, sasa mama na ndoa watu watatu????? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndoa changaHahaaaa poleni,mambo haya unafanya ukiwa msichana, sasa mama na ndoa watu watatu????? [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Waefeso 5:5 Maana neno hili mnalijua hakika, ya kwamba hakuna mwasherati wala mchafu wala mwenye tamaa, ndiye mwabudu sanamu, aliye na urithi katika ufalme wa Kristo na Mungu.Hapo ni ajue tu ameamuaje?
Ataamua kusamehe au ndo imetoka.
Sio mambo ya kuumizana.
Mchungaji sijaelewa.Waefeso 5:5 Maana neno hili mnalijua hakika, ya kwamba hakuna mwasherati wala mchafu wala mwenye tamaa, ndiye mwabudu sanamu, aliye na urithi katika ufalme wa Kristo na Mungu.
mdukuzi kwanini tunagombana? Let us agree to disagreeUnaona ulivyo kituko.kwamba wanawake wanachepuka kisa waume zao hawana nguvu za kiume!!!!mawazo mgando
Tena anapelekewa jamaa tu ambae hata hatumii nguvu yan yeye anaipiga deki taratiiiibu tu had anamkojoza demu, tuishi nao kwa akili tuWala hiyo sio dawa ni kujidanganya tu!!hata umpelekee moto hadi ichanike chanike bado ikipona ataipeleka kwa jamaa tu kama hiyo ndio tabia yake!!
VERY TRUE [emoji109]Hata umpende kuliko kitu chochote,Kama Ni wakuchepuka lazima achepuke tu,usijiumize juu ya mtu ambaye naye ana maamuzi yake binafsi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aina hii ya mtiririko wa fikra ndio huwaumiza wanaume wengi, maana sisi ni wabinafsi sana kwenye hicho kitobo..[emoji1787]
Msioe ma baa medi hamsikiiHii imemkuta jamaa yangu wa karibu.
Iko hivi:
Jamaa yangu anaishi na mkewe na wamebahatika kupata watoto watatu. Ndoa yao ni tulivu sana.
Kifupi wanapendana na kuheshimiana (kwa mtazamo wangu na maisha yao ya nje yanavyoonekana).
Mwanaume ana rafiki yake wa kiume. Familia inatambua urafiki wao vizuri. Huyu rafiki ana rafiki mwingine wa kiume.
Yaani tuseme hivi Lihakanga nina mke. Nina rafiki wa kiume tumwite Bico. Bico naye ana jamaa yake anaitwa Lituye.
Bico anaazima simu ya Lituye aitumie kwa masuala ya kubeti. Wakati Bico anabeti, Lihakanga anatokea, wakati Lituye hayupo.
Bico amemaliza kubeti, akaanza kupitapita kwenye files za simu ya Lituye. Anaingia kwenye videos. Kuna video ya utupu ya mwanamke ananengua na kujichezea sehemu zake za siri. Lihakanga anagundua kuwa zile ni sehemu za siri za mkewe.
Kwa kujikaza anashika simu aangalie vizuri. Bico hana habari, kumbe Lihakanga anataka aangalie imefikaje.
Anagundua imetumwa na mkewe tena kwa namba ya simu ya mkewe ingawa Lituye hajaisave ile namba.
Lihakanga amei forward kwenye simu yake na kufuta ili isijulikane kama amei forward.
Lihakanga anataka kuliamsha.
Aanzie wapi? Msaada tafadhali.
Naomba tuwe serious kumshauri.
Mwambie likahanga aipeleke tcraHii imemkuta jamaa yangu wa karibu.
Iko hivi:
Jamaa yangu anaishi na mkewe na wamebahatika kupata watoto watatu. Ndoa yao ni tulivu sana.
Kifupi wanapendana na kuheshimiana (kwa mtazamo wangu na maisha yao ya nje yanavyoonekana).
Mwanaume ana rafiki yake wa kiume. Familia inatambua urafiki wao vizuri. Huyu rafiki ana rafiki mwingine wa kiume.
Yaani tuseme hivi Lihakanga nina mke. Nina rafiki wa kiume tumwite Bico. Bico naye ana jamaa yake anaitwa Lituye.
Bico anaazima simu ya Lituye aitumie kwa masuala ya kubeti. Wakati Bico anabeti, Lihakanga anatokea, wakati Lituye hayupo.
Bico amemaliza kubeti, akaanza kupitapita kwenye files za simu ya Lituye. Anaingia kwenye videos. Kuna video ya utupu ya mwanamke ananengua na kujichezea sehemu zake za siri. Lihakanga anagundua kuwa zile ni sehemu za siri za mkewe.
Kwa kujikaza anashika simu aangalie vizuri. Bico hana habari, kumbe Lihakanga anataka aangalie imefikaje.
Anagundua imetumwa na mkewe tena kwa namba ya simu ya mkewe ingawa Lituye hajaisave ile namba.
Lihakanga amei forward kwenye simu yake na kufuta ili isijulikane kama amei forward.
Lihakanga anataka kuliamsha.
Aanzie wapi? Msaada tafadhali.
Naomba tuwe serious kumshauri.
Siyo single mother tena!???Msioe ma baa medi hamsikii
Kesi hamna hapo mkuuHii imemkuta jamaa yangu wa karibu.
Iko hivi:
Jamaa yangu anaishi na mkewe na wamebahatika kupata watoto watatu. Ndoa yao ni tulivu sana.
Kifupi wanapendana na kuheshimiana (kwa mtazamo wangu na maisha yao ya nje yanavyoonekana).
Mwanaume ana rafiki yake wa kiume. Familia inatambua urafiki wao vizuri. Huyu rafiki ana rafiki mwingine wa kiume.
Yaani tuseme hivi Lihakanga nina mke. Nina rafiki wa kiume tumwite Bico. Bico naye ana jamaa yake anaitwa Lituye.
Bico anaazima simu ya Lituye aitumie kwa masuala ya kubeti. Wakati Bico anabeti, Lihakanga anatokea, wakati Lituye hayupo.
Bico amemaliza kubeti, akaanza kupitapita kwenye files za simu ya Lituye. Anaingia kwenye videos. Kuna video ya utupu ya mwanamke ananengua na kujichezea sehemu zake za siri. Lihakanga anagundua kuwa zile ni sehemu za siri za mkewe.
Kwa kujikaza anashika simu aangalie vizuri. Bico hana habari, kumbe Lihakanga anataka aangalie imefikaje.
Anagundua imetumwa na mkewe tena kwa namba ya simu ya mkewe ingawa Lituye hajaisave ile namba.
Lihakanga amei forward kwenye simu yake na kufuta ili isijulikane kama amei forward.
Lihakanga anataka kuliamsha.
Aanzie wapi? Msaada tafadhali.
Naomba tuwe serious kumshauri.
Mwili wake pia haujui? Mumewe kaujua, sembuse yeye?Haondoki hakuna sura yake kwenye video
Ni tamaa tu. Jamaa yangu hapigi kimoja. Kanuni yake ni 2 au zaidi. Halafu hawez kumaliza wiki bila kungonoka. Lakini mkewe ndo huyo sasa.Unaona ulivyo kituko.kwamba wanawake wanachepuka kisa waume zao hawana nguvu za kiume!!!!mawazo mgando
Wanawake hawajulikani wanataka niniNi tamaa tu. Jamaa yangu hapigi kimoja. Kanuni yake ni 2 au zaidi. Halafu hawez kumaliza wiki bila kungonoka. Lakini mkewe ndo huyo sasa.
Kazi ipoHii imemkuta jamaa yangu wa karibu.
Iko hivi:
Jamaa yangu anaishi na mkewe na wamebahatika kupata watoto watatu. Ndoa yao ni tulivu sana.
Kifupi wanapendana na kuheshimiana (kwa mtazamo wangu na maisha yao ya nje yanavyoonekana).
Mwanaume ana rafiki yake wa kiume. Familia inatambua urafiki wao vizuri. Huyu rafiki ana rafiki mwingine wa kiume.
Yaani tuseme hivi Lihakanga nina mke. Nina rafiki wa kiume tumwite Bico. Bico naye ana jamaa yake anaitwa Lituye.
Bico anaazima simu ya Lituye aitumie kwa masuala ya kubeti. Wakati Bico anabeti, Lihakanga anatokea, wakati Lituye hayupo.
Bico amemaliza kubeti, akaanza kupitapita kwenye files za simu ya Lituye. Anaingia kwenye videos. Kuna video ya utupu ya mwanamke ananengua na kujichezea sehemu zake za siri. Lihakanga anagundua kuwa zile ni sehemu za siri za mkewe.
Kwa kujikaza anashika simu aangalie vizuri. Bico hana habari, kumbe Lihakanga anataka aangalie imefikaje.
Anagundua imetumwa na mkewe tena kwa namba ya simu ya mkewe ingawa Lituye hajaisave ile namba.
Lihakanga amei forward kwenye simu yake na kufuta ili isijulikane kama amei forward.
Lihakanga anataka kuliamsha.
Aanzie wapi? Msaada tafadhali.
Naomba tuwe serious kumshauri.