digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Mimi sio mtoa hoja, acha kukurupuka kijanaUngetumia uwezo huu shule kukariri ungekuwa
Kucheza huo mchezo tayari inatilia shaka kuwa ni profesa na hata kushuka simu ya mwenzako kwa muda inaonyesha mlikuwa grocery ya mzee Kipele pale Ngwasuma.Cha msingi acha hasira, vuta subira utapata ushahidi zaidi kama mkeo ni mwaminifu au la LAKINI jiulize wewe ni mwaminifu kama sio wewe potezea ila ukiona imezidi kafungue shauri la talaka.
Mahusiano ya sasa hivi ni janga LA taifa aisee , hapo kilichopo kuna huyo jamaa anamkula mke wa mshikaji wake na kwa kua mke wake hajitambui kaamua kutuma na picha zake kabisa jinga kabisa huyo mwanamke ,Hii imemkuta jamaa yangu wa karibu.
Iko hivi:
Jamaa yangu anaishi na mkewe na wamebahatika kupata watoto watatu. Ndoa yao ni tulivu sana.
Umejuaje kuwa Mimi ni kijana?Mimi sio mtoa hoja,acha kukurupuka kijana
Kwaiyo ufanye ushenzi nivumilie eti kisa watoto watoto utalea ww mwanamke mm nachukua nguo zangu vitu vyangu nasepa zangu kusu watoto utalea ww nitaanda tuu utaratibu mzuri wa kutuma pesa ya natumizi ya kila mwezi ya watoto bac lakini kusu maswala ya mapenzi ndo nitolee iyo imetoka iyo tunatalakiana tena mahakamani kabisa nitalea watoto tuu.Na watoto wako wanalelewa na nani?
Tulishawaambia MSIOE, HAMSIKII.Ampelekee moto mkewe ili aridhike
basi itakuwa kaoa mwanamke aliekuwa anafukuliwa nyuma, kamwambia mumewe kakataa. Sasa amepata mtaalamu wa kumfukua tope.Kukosa hayo sio sababu ya kufanya huo uchafu. Kma hamu yke kubwa ni hyo awe huru tu kwa mwenzie, amfahamishe anachokipenda issiwe tu kinyume na asili na sio kugawa mechi nje
Siwezi kukulaumu najua Kuna watu wanafikiri mwanamke akiliwa na mtu mwingine solution Ni kumpiga au kumpa talaka.Sio rahisi hizo ni stori
wanaume tuna kazi sana...maisha yetu tu ni stressHapo ndoa hamna tena,
Amfate mkewe na ushahidi ambane atasema kilakitu.
After then akamate njia yake
Ila dah hawa wanawake watatuua wallahi
Unaona ulivyo kituko.kwamba wanawake wanachepuka kisa waume zao hawana nguvu za kiume!!!!mawazo mgandoSiwezi kukulaumu najua Kuna watu wanafikiri mwanamke akiliwa na mtu mwingine solution Ni kumpiga au kumpa talaka.
Ukimpa mwanamke talaka unawatesa watoto ambao hawahusiki na wewe kukosa kwako nguvu za kiume mpaka ikapelekea waif akagawa utamu kwa wengine.
Linapotokea tatizo, don't panic, ondoka kwenye eneo la tukio, taafakari then take action. Ikibidi chukua ushauri wa besti wako kwanza.
Vijana wa hovyo sana hawa.Tulishawaambia MSIOE, HAMSIKII.
Sasa TUWASAIDIAJE?
#YNWA
Ukiwa ndezi wanakutoa roho. Kweli,hapo wewe,mwoneshe mkeo ujinga aliofanya,then piga chini,tafuta kabinti kengine,wanawake mbona wengi tu.Hapo ndoa hamna tena,
Amfate mkewe na ushahidi ambane atasema kilakitu.
After then akamate njia yake
Ila dah hawa wanawake watatuua wallahi
Ukifowdi whatsap picha/video inabaki na list ya mtu uliemtumia hata kama ukifuta, kwa kifupi mwenye simu amejua jamaa kajitumia, ila kulianzisha si aifowdi sasa kwa mkewe wakiwa wote ili sasa aanzie hapo mazungumzo? Kutozungumza kabisa nafsi itamtesa sanaHii imemkuta jamaa yangu wa karibu.
Iko hivi:
Jamaa yangu anaishi na mkewe na wamebahatika kupata watoto watatu. Ndoa yao ni tulivu sana.
Yaani hapo ina maana Lihakanga mali zake kuna mtu anaziangalia kama za kwake,duh hii inahuzunisha sana kama ni kweli,thamani ya ndoa inakuwa haipo kabisa hapo,ndio maana tunaambiwa kuwa shetani hajawahi kuwa mwema hata siku moja kwa binadamu,tuendelee kumpinga kila siku tukitaka kuwa salama......Hapo ndoa hamna tena,
Amfate mkewe na ushahidi ambane atasema kilakitu.
After then akamate njia yake
Ila dah hawa wanawake watatuua wallahi
Acha uongo . Nilichokusimulia siku ile tofauti na ulichoandika hapa. Jiheshim tafadhali Mana nlikuambia coz nakuheshimAmpelekee moto mkewe ili aridhike
Shida sio kuoa shida ni unamuoa nani, wapo wanaofaidi sana ndoa kwa kuoa mtu sahihiTulishawaambia MSIOE, HAMSIKII.
Sasa TUWASAIDIAJE?
#YNWA