Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Katika muendelezo wa michezo ya uvunjifu wa sheria, makada wa CCM wameanza utaratibu haramu wa kuwachukua watoto wa shule na kuwaelekeza kumpigia Magufuli kura
Huku watoto wakiwa kwenye uniform za shule wanafundishwa namna ya kumpigia kura Magufuli.
Tunaitaka NEC ije iuelezee umma kama iebariki mchezo haramu kama huu kwenye chaguzi zetu.
Hayo yanafanyika huku NEC ikiwa imeruhusu kutumia vitambulisho ambavyo kimsingi si vya mpiga kura kuweza kupiga kura. Kwa maana hiyo, hata yakichapishwa majina ya wasio na vitambulisho vya mpiga kura yakawekwa kwenye orodha kwenye vituo halali na feki ni rahisi kwa wenye vitambulisho vingine kwenda na kupiga kura kwenye vituo hivyo hata zaidi ya mara moja
Tazama video ua Zungu akirubuni watoto kumpigia kura Magufuli.
Huku watoto wakiwa kwenye uniform za shule wanafundishwa namna ya kumpigia kura Magufuli.
Tunaitaka NEC ije iuelezee umma kama iebariki mchezo haramu kama huu kwenye chaguzi zetu.
Hayo yanafanyika huku NEC ikiwa imeruhusu kutumia vitambulisho ambavyo kimsingi si vya mpiga kura kuweza kupiga kura. Kwa maana hiyo, hata yakichapishwa majina ya wasio na vitambulisho vya mpiga kura yakawekwa kwenye orodha kwenye vituo halali na feki ni rahisi kwa wenye vitambulisho vingine kwenda na kupiga kura kwenye vituo hivyo hata zaidi ya mara moja
Tazama video ua Zungu akirubuni watoto kumpigia kura Magufuli.