Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pascal Mayalla njoo utetee na hili.Katika muendelezo wa michezo ya uvunjifu wa sheria, makada wa CCM wameanza utaratibu haramu wa kuwachukua watoto wa shule na kuwaelekeza kumpigia Magufuli kura...
Hata mimi sjuiDemocratic Republic au Monarchy tumefikaje huku
Pascal Mayalla njoo utetee na hili.
Ni wakati wa kuwaondoa ccm kwa heri ama kwa shari!Huu ni ushenzi
This is too low
Hawa jamaa wameamua kufanya matendo ya aibu kubaki madarakani kwa namna yoyote!
Wameshaandaliwa kwa wizi. Amini usiamini, Wataenda kupiga kuraAlafu US wakiongea,wanaonekana wanatuingilia.
Hii dharau sasa ijibiwe kwa vitendo.
Kwa sasa hata shetani ni kiumbe mwema kushirikiana nae kama atakuwa na msaada katika kumaliza ufedhuli huu.
Nec wanatafuta justification ya vurugu baada ya uchaguziKatika muendelezo wa michezo ya uvunjifu wa sheria, makada wa CCM wameanza utaratibu haramu wa kuwachukua watoto wa shule na kuwaelekeza kumpigia Magufuli kura...
Mbona video haina shida maana walikuwa mafunzo.Katika muendelezo wa michezo ya uvunjifu wa sheria, makada wa CCM wameanza utaratibu haramu wa kuwachukua watoto wa shule na kuwaelekeza kumpigia Magufuli kura...