Vifaa made in Israel vyakutwa kwenye Drone za Iran

Vifaa made in Israel vyakutwa kwenye Drone za Iran

Well said, lengo lao ni hilo hasa wala hakuna kingine - wanapenda penda sana ku-brain wash watu kwamba the World is the USA mataifa mengine ni vilaza tu hamna kitu - kwa bahati mbaya kuna baadhi ya waswahili wana amini ulaghai huo wa kijinga.

Mtu na akili zake timamu anakujia na habari za ku-copy tu kutoka kwa maadui wa Iran zenye lengo la kutaka kuonyesha Dunia kwamba Iran si lolote si chochote - mnajua kwa nini? Sababu inatokana na mafanikio ya Drones za Iran kuteketeza kirahisi silaha za magharibi wanazo pewa Ukraine, hicho kimewauma sana sana wazungu ndio maana vyombo ya habari vya magharibi wamebuni mbinu za kutaka kuichafua Iran kwa stori za kitoto kwamba wanaiba/nunua components kutoka mataifa ya magharibi ili waweze kuunda kamikaze Drone, lengo ni kutaka kuhirabia sifa Iran kumbuka kampeini chafu zilizo kuwa zinatumiwa na Merikani kuisema vibaya vifaa vya mawasiliano vya 5G vya kampuni ya Huawei vilivyo kuwa vinaundwa huko Uchina. Swali hapa ni,je, kuna dhambi gani kwa Iran ku-out source some of her components kutoka popote Duniani, kwani tatizo liko wapi - hivi ni taifa gani linalo jitegemea kwa asili mia mia - hakuna.

Wanacho nishangaza zaidi ni pale wanaposema kwamba Iran na Urusi wanatumia components za micro wave na washing mashines kuunda missiles na Drones - ulaghai mtupu! Adithi kama hizo wanaweza labda kuwadanganya watu ambao hawaja wahi kusomea masuala ya Solid State Physics na VLSIC design - semiconductors zote zinazo kuwa manufactured kwenye foundry zote Duniani ziwe aidha in form of micro chip au descret zote zinakuwa ni type mbili tu nazo ni: analogue na digital basi - designer yeyote wa aidha consumer electronics systems, military au medical instrumentation wanakwenda kununua kutoka kwenye open market, what counts is what you really want for your project - sasa haya madai ya kusema eti Warusi na Iran wanachomoa/cannibilise micro chips kutoka kwenye micro wave ovens na washing machines habari hizo niza kipuuzi kabisa, hazina mantinki hata kidogo.

Jaribu kufungua consumer electronic system yoyote iwe: TV, Music System, Computer,Washing machines, Microwave etc, je, semiconductors karibu zote zinaundwa kutoka nchi gani Duniani - nyingi tu na wala sio Merikani tu. Vile vile utakuta microchip nyingi na descret components zimetumika kwenye chombo zaidi ya kimoja, what does that tell you?
utumbooo
 
Well said, lengo lao ni hilo hasa wala hakuna kingine - wanapenda penda sana ku-brain wash watu kwamba the World is the USA mataifa mengine ni vilaza tu hamna kitu - kwa bahati mbaya kuna baadhi ya waswahili wana amini ulaghai huo wa kijinga.

Mtu na akili zake timamu anakujia na habari za ku-copy tu kutoka kwa maadui wa Iran zenye lengo la kutaka kuonyesha Dunia kwamba Iran si lolote si chochote - mnajua kwa nini? Sababu inatokana na mafanikio ya Drones za Iran kuteketeza kirahisi silaha za magharibi wanazo pewa Ukraine, hicho kimewauma sana sana wazungu ndio maana vyombo ya habari vya magharibi wamebuni mbinu za kutaka kuichafua Iran kwa stori za kitoto kwamba wanaiba/nunua components kutoka mataifa ya magharibi ili waweze kuunda kamikaze Drone, lengo ni kutaka kuhirabia sifa Iran kumbuka kampeini chafu zilizo kuwa zinatumiwa na Merikani kuisema vibaya vifaa vya mawasiliano vya 5G vya kampuni ya Huawei vilivyo kuwa vinaundwa huko Uchina. Swali hapa ni,je, kuna dhambi gani kwa Iran ku-out source some of her components kutoka popote Duniani, kwani tatizo liko wapi - hivi ni taifa gani linalo jitegemea kwa asili mia mia - hakuna.

Wanacho nishangaza zaidi ni pale wanaposema kwamba Iran na Urusi wanatumia components za micro wave na washing mashines kuunda missiles na Drones - ulaghai mtupu! Adithi kama hizo wanaweza labda kuwadanganya watu ambao hawaja wahi kusomea masuala ya Solid State Physics na VLSIC design - semiconductors zote zinazo kuwa manufactured kwenye foundry zote Duniani ziwe aidha in form of micro chip au descret zote zinakuwa ni type mbili tu nazo ni: analogue na digital basi - designer yeyote wa aidha consumer electronics systems, military au medical instrumentation wanakwenda kununua kutoka kwenye open market, what counts is what you really want for your project - sasa haya madai ya kusema eti Warusi na Iran wanachomoa/cannibilise micro chips kutoka kwenye micro wave ovens na washing machines habari hizo niza kipuuzi kabisa, hazina mantinki hata kidogo.

Jaribu kufungua consumer electronic system yoyote iwe: TV, Music System, Computer,Washing machines, Microwave etc, je, semiconductors karibu zote zinaundwa kutoka nchi gani Duniani - nyingi tu na wala sio Merikani tu. Vile vile utakuta microchip nyingi na descret components zimetumika kwenye chombo zaidi ya kimoja, what does that tell you?
Mkuu kuna mada fulani kitambo nilikuwa naona unaandika point fulani zinaeleweka ila kwa hili umefura mno yaani umevaba mno na umeweka pumba za kufa mtu...

Kwanza : Good unajua mtu akiunda kitu sifa ni muhimu au inabidi apewe heshima yake maana ugunduzi mpya ndio kitu ambacho ni adimu kwa binadamu na mtu akigundua kitu basi ujue imetumika akili ya ziada ndio maana anapewa sifa kedekede...

Iran alipokuwa anatengeneza Drone alijisifia mno mno mno sana... na kila mmoja wetu alisema ewaa Dunia imepata wanasanyansi mahili kwa maendeleo ya Dunia na vizazi vyake...

Pia inabidi uelewe katika wana sayansi mahili duniani ni wachache sana na wengi kazi zao huwa ni za siri mno na wanaziwekea hati miliki kazi zao even Coca cola formula yao ni siri kubwa. so hizo components Iran haiwezi tengeneza yenyewe na haitokuja kuweza kamwe... Wana sayansi mahili duniani ni wachache sana na wapo kwenye nchi chache sana duniani so ukishawekewa ban inakula kwako zaidi utuie third party.

Iran majigambo yake ya kujitegemea ni ulaghai na tatizo humshirikisha Allah.. Sheria za Iran ni kali sana na na ingekuwa kuna raia anafanya magendo kuingiza parts za utengenezaji wa aina hizo za Drone na vifaa vya kivita angenyongwa mara moja... lakini serikali yeyewe ndio inaruka vikwazo na kushiriki katika kusupport uundwaji wa silaha...

Unapoongelea eti Warusi wanatumia components na chip za Microwave usikatae wanaozungumza ni proffessional na sio wewe mnywa togwa wa Tz so unataka tuwaamini wao au wewe?... Kuna vifaa maalum ukiuziwa na hizo kampuni wanaweka records sababu ni kampuni za kimataifa na hazideal na magaidi wenye nia ya kuumiza watu kwa kutumia akili za mtu mwema ndio maana Iran kawekewa Vikwazo sababu Serikali yake ni ya kigaidi na ipo wazi kwa hilo tokea ilipomwaga damu na mapinduzi haram ya kuiondosha Serikali halal ya Shah wa Iran.

China kitu walichogundua ni wireless na hizo sifa hawajawahi kunyimwa na hazina doubt.
 

Attachments

  • Screenshot_20221120-085715_Chrome.jpg
    Screenshot_20221120-085715_Chrome.jpg
    182.7 KB · Views: 7
Duh wazungu bwanaa wanajaribu kutuaminisha Kwamba kila kizuri Ni wao pekee wanajua kukitengeneza ama pia kila kizuri bila mkono wao hakitakuwa kizuri.

Ni ajabu hats silaha za kirusi ambazo Ni advanced hawajaacha kusema na kupayuka hiki na kile chetu. Hi yote ilimradi TU kujipaisha.

Nb. Iran inajua kuwakomesha. Iran yenye vikwazo kwa miaka 40+ Sasa Ni tishio kubwa kabisa dhidi yao. Na itaendelea kuwa hivyo.
hivi warusi ni wafilipino au?
 
Halafu anachoongea ni kitu Cha kawaida sana hata USA mwenyewe anatengeneza ndege za kivita lakini kuna vitu ananunua kwengine anaenda kuweka kwenye hzo ndege
Upo Wright but huwa hajitapi kwa hilo... yupo open and unapoweka component za mtu mwema zifanyie kazi za wema... hivi Utengeneze tasbii zako na ukazigawe msikitini kisha mimi namfuata muumini aniuzie kisha naenda kuwavisha nguruwe and then nawapiga picha nazisambaza tena Tasbii zinasomeka kabisa zimetengeneswa na Ustaadhi... utajisikiaje hapo ukijaziona hizo picha na unajua kabisa zile ni tasbii alizotengeneza ustaadhi Tongwe! na hukunpa mimi wala kuniuzia directly.. sasa hizo kampuni za vifaa zinavyojisikia kuona drone za Iran zinajaa vifaa vyao and Drone zinaharibu miundo mbinu na zinachukua maisha ya raia wasio na hatia Ukraine.

Hili Suala la Putin kupendwa na Maustaadhi sijui chanzo chake haswa...
 
Msambaa wa mnyuzi anapomsifia muisrael kama vile mume wake.dini za kigeni zitawatoa ujauzito.
wapi nimesifia au unaleta ushabiki? hii ni jf ficha upumbavu wako weka point ueleweke... Dini unajua kama Uyahudi ni dini ya kale kuliko Uislam na mimi Sio Myahudi zaidi ya asili ambayo siijui... mtu kama wewe u sound like zile mastory ya madrassa kuwasema vibaya wasio waislam naelewa sana
 
wapi nimesifia au unaleta ushabiki? hii ni jf ficha upumbavu wako weka point ueleweke... Dini unajua kama Uyahudi ni dini ya kale kuliko Uislam na mimi Sio Myahudi zaidi ya asili ambayo siijui... mtu kama wewe u sound like zile mastory ya madrassa kuwasema vibaya wasio waislam naelewa sana
Ha ha ha hako kataifa mnakabeba sana,upumbavu ni sehemu ya ubinadamu na hapa if WAPO pia.
 
Well said, lengo lao ni hilo hasa wala hakuna kingine - wanapenda penda sana ku-brain wash watu kwamba the World is the USA mataifa mengine ni vilaza tu hamna kitu - kwa bahati mbaya kuna baadhi ya waswahili wana amini ulaghai huo wa kijinga.

Mtu na akili zake timamu anakujia na habari za ku-copy tu kutoka kwa maadui wa Iran zenye lengo la kutaka kuonyesha Dunia kwamba Iran si lolote si chochote - mnajua kwa nini? Sababu inatokana na mafanikio ya Drones za Iran kuteketeza kirahisi silaha za magharibi wanazo pewa Ukraine, hicho kimewauma sana sana wazungu ndio maana vyombo ya habari vya magharibi wamebuni mbinu za kutaka kuichafua Iran kwa stori za kitoto kwamba wanaiba/nunua components kutoka mataifa ya magharibi ili waweze kuunda kamikaze Drone, lengo ni kutaka kuhirabia sifa Iran kumbuka kampeini chafu zilizo kuwa zinatumiwa na Merikani kuisema vibaya vifaa vya mawasiliano vya 5G vya kampuni ya Huawei vilivyo kuwa vinaundwa huko Uchina. Swali hapa ni,je, kuna dhambi gani kwa Iran ku-out source some of her components kutoka popote Duniani, kwani tatizo liko wapi - hivi ni taifa gani linalo jitegemea kwa asili mia mia - hakuna.

Wanacho nishangaza zaidi ni pale wanaposema kwamba Iran na Urusi wanatumia components za micro wave na washing mashines kuunda missiles na Drones - ulaghai mtupu! Adithi kama hizo wanaweza labda kuwadanganya watu ambao hawaja wahi kusomea masuala ya Solid State Physics na VLSIC design - semiconductors zote zinazo kuwa manufactured kwenye foundry zote Duniani ziwe aidha in form of micro chip au descret zote zinakuwa ni type mbili tu nazo ni: analogue na digital basi - designer yeyote wa aidha consumer electronics systems, military au medical instrumentation wanakwenda kununua kutoka kwenye open market, what counts is what you really want for your project - sasa haya madai ya kusema eti Warusi na Iran wanachomoa/cannibilise micro chips kutoka kwenye micro wave ovens na washing machines habari hizo niza kipuuzi kabisa, hazina mantinki hata kidogo.

Jaribu kufungua consumer electronic system yoyote iwe: TV, Music System, Computer,Washing machines, Microwave etc, je, semiconductors karibu zote zinaundwa kutoka nchi gani Duniani - nyingi tu na wala sio Merikani tu. Vile vile utakuta microchip nyingi na descret components zimetumika kwenye chombo zaidi ya kimoja, what does that tell you?

Marekani na western kwa ujumla ukiona wanakosa usingizi kuhusu jamii au nchi fulani, ujue jamii au nchi hiyo uwezo wao wa akili uko juu kuliko wenyewe marekani na western. Hasa hali inakuwa tata kwao ikiwa ile jamii au nchi ni imara na imekuwa ikiongozwa na watu hodari na madhubuti, pia inaonekana muendelezo utakuwa ni huo daima dawamu.

Kama marekani na western kwa ujumla wanakukumbatia, ujue wewe hamna kitu. Umekuwa mtu wa kupokea maelekezo kutoka kwao. Hutumii ubongo wako. Kwa kifupi umeshikiwa akili.
 
Wavaa kobazi hawawezi mambo ya teknolojia, wao wanaweza kupiga adhana na kujilipua ili wawahi mabikira huko kwa allah.
 
Ha ha ha hako kataifa mnakabeba sana,upumbavu ni sehemu ya ubinadamu na hapa if WAPO pia.
Nani analibeba hilo taifa wewe kijana! haujawahi fika au? Nchi kibao za kiarabu zimefurahia kuwa na ushusiano na Israel huko zikizitupilia mbali shutuma zenu za kingese ngese ambazo zimejaa upumbavu mtupu....

Israel ni mojawapo wa Innovation country per capital wao wanazama haswa likija suala la kutatua matatizo ya binadamu... ndipo ugunduzi hufanyika wao hata issue za maendeleo huwezeshana wanajua kufanikiwa kwa mmoja ndio kufanikiwa kwa wote sio kama nyie mmoja wenu akifanikiwa mnaroga na nyie mafanikio yenu yote yana kasoro tizama Mandonga na Majaliwa....

Katizame list ya innovation country Israel ipo nafasi gani... so sometimes mnazania watu wanasifia kitu kwa mizaha ila watu tupo kwenye fact tu na sio ushabiki...

Kuna nchi zipo juu kitechnolojia sema chache ila Israel wabunifu ni wengi... sababu wanasaidiana... Tanzania wapo sema hamna wa kumsaidia mwenzake na kama wapo ni wachache... na ni copy na kupaste...

Sometimes huwa ni fan yako kwenye uvumbuzi so una kuiencourage na watu fulani wajuzi so sie tupo kwenye ubunifu tuache wewe ulozi

double w dot ishitech dot co dot il/From dot HTML

triple w dot israelinnovation dot org.il/
 
wamecopy na kupaste. tangu ling mwarabu au muajemi akawa na akili ya shule? zero brain hata kama hela wanazo. za mafuta tu lakini.
Unaona vile ulivyokua hamnazo? Eti hela za mafuta tu lakini!

Wao wametumia natural resource moja tu kua na utajiri,kuna nchi zina kila aina ya natural resources ila ni masikini...endelea kuumia hapo kwa shemeji yako juu ya kochi sebuleni.
 
Well said, lengo lao ni hilo hasa wala hakuna kingine - wanapenda penda sana ku-brain wash watu kwamba the World is the USA mataifa mengine ni vilaza tu hamna kitu - kwa bahati mbaya kuna baadhi ya waswahili wana amini ulaghai huo wa kijinga.

Mtu na akili zake timamu anakujia na habari za ku-copy tu kutoka kwa maadui wa Iran zenye lengo la kutaka kuonyesha Dunia kwamba Iran si lolote si chochote - mnajua kwa nini? Sababu inatokana na mafanikio ya Drones za Iran kuteketeza kirahisi silaha za magharibi wanazo pewa Ukraine, hicho kimewauma sana sana wazungu ndio maana vyombo ya habari vya magharibi wamebuni mbinu za kutaka kuichafua Iran kwa stori za kitoto kwamba wanaiba/nunua components kutoka mataifa ya magharibi ili waweze kuunda kamikaze Drone, lengo ni kutaka kuhirabia sifa Iran kumbuka kampeini chafu zilizo kuwa zinatumiwa na Merikani kuisema vibaya vifaa vya mawasiliano vya 5G vya kampuni ya Huawei vilivyo kuwa vinaundwa huko Uchina. Swali hapa ni,je, kuna dhambi gani kwa Iran ku-out source some of her components kutoka popote Duniani, kwani tatizo liko wapi - hivi ni taifa gani linalo jitegemea kwa asili mia mia - hakuna.

Wanacho nishangaza zaidi ni pale wanaposema kwamba Iran na Urusi wanatumia components za micro wave na washing mashines kuunda missiles na Drones - ulaghai mtupu! Adithi kama hizo wanaweza labda kuwadanganya watu ambao hawaja wahi kusomea masuala ya Solid State Physics na VLSIC design - semiconductors zote zinazo kuwa manufactured kwenye foundry zote Duniani ziwe aidha in form of micro chip au descret zote zinakuwa ni type mbili tu nazo ni: analogue na digital basi - designer yeyote wa aidha consumer electronics systems, military au medical instrumentation wanakwenda kununua kutoka kwenye open market, what counts is what you really want for your project - sasa haya madai ya kusema eti Warusi na Iran wanachomoa/cannibilise micro chips kutoka kwenye micro wave ovens na washing machines habari hizo niza kipuuzi kabisa, hazina mantinki hata kidogo.

Jaribu kufungua consumer electronic system yoyote iwe: TV, Music System, Computer,Washing machines, Microwave etc, je, semiconductors karibu zote zinaundwa kutoka nchi gani Duniani - nyingi tu na wala sio Merikani tu. Vile vile utakuta microchip nyingi na descret components zimetumika kwenye chombo zaidi ya kimoja, what does that tell you?
Your good 👍
 
Kumbe unajua na kucomment,haya subiri uletewe zawadi ya Kanga na Shanga.
Dogo unapenda sana kunifuatilia. Nenda kwa waarabu wakuoe kama unatafuta mume maana mimi mashoga siwataki, wanawake wananitosha.
 
Back
Top Bottom