w0rM
Member
- May 3, 2011
- 81
- 192
Salam Wanajamvi,
Nisiwapotezee muda niende moja kwa moja tu kwenye mada. Yaani nimenunua vifaa vya umeme na kuweka kwenye nyumba zikiwemo sockets, taa na nyaya. Ila ikiwa ni miezi 9 tu tangu kuweka vifaa hivyo yaani baadhi vimeanza kuharibika vyenyewe.
Taa zinaungua sana choke lakini kubwa zaidi, socket zinapasuka zenyewe yaani nishangaa tu tayari zimepasuka na inabidi kubadili. Nimeshabadili sockets 3 na sasa tayari nyingine 3 zimekuwa na nyufa.
Sijajua shida ni nini kwenye hivi vifaa ya Tronic. Je, hali hii ni kwangu tu au vifaa vyao vimeanza kuwa vya ovyo baada ya kujua wameshaliteka soko la Tanzania na watu wanawaamini?
Nisiwapotezee muda niende moja kwa moja tu kwenye mada. Yaani nimenunua vifaa vya umeme na kuweka kwenye nyumba zikiwemo sockets, taa na nyaya. Ila ikiwa ni miezi 9 tu tangu kuweka vifaa hivyo yaani baadhi vimeanza kuharibika vyenyewe.
Taa zinaungua sana choke lakini kubwa zaidi, socket zinapasuka zenyewe yaani nishangaa tu tayari zimepasuka na inabidi kubadili. Nimeshabadili sockets 3 na sasa tayari nyingine 3 zimekuwa na nyufa.
Sijajua shida ni nini kwenye hivi vifaa ya Tronic. Je, hali hii ni kwangu tu au vifaa vyao vimeanza kuwa vya ovyo baada ya kujua wameshaliteka soko la Tanzania na watu wanawaamini?