lufungulo k
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 2,601
- 2,058
Nimeingia bandani na kukuta hali hiyo nimechanganyikiwa kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kagua banda kama kunamatobo yanayoweza mdudu au mnyama apite.Nimeingia bandani na kukuta hali hiyo nimechanganyikiwa kabisa
Wakiona aibu tu ndiyo wabaya wake?😂😂😂Kagua banda kama kunamatobo yanayoweza mdudu au mnyama apite.
Mwisho nakushauri jioni tembelea wale akina mama wanaouza vichwa, miguu na utumbo wa kuku, ukimuona anaona aibu kukuangalia usoni ujue ndiye mbaya wako.
Uza kwa bei ya hasara wanaonunua hawaulizi kilichopikwa kilikufakufaje, fungua kabanda kako hapo choma nyama zako usifukie mtajiNimeingia bandani na kukuta hali hiyo nimechanganyikiwa kabisa
Hawana vichwa.Sidhani kama itakuwa ni easy rest.Rest easy dear kukus
Akulipe.Umempa wazo la bilioni moja.A billion dollars reading.Uza kwa bei ya hasara wanaonunua hawaulizi kilichopikwa kilikufakufaje, fungua kabanda kako hapo choma nyama zako usifukie mtaji
Huku nilipo hawafukii mtaji wanauza tena ng'ombe, mbuzi, kondoo, kuku waliokufa wanauzwa vibaya sana na watu hawaulizi maswali wanakula nyama tuAkulipe.Umempa wazo la bilioni moja.
Nilisahau kukuuliza, hivyo vifaranga visivyo na vichwa unauhakika vilipototolewa vilikuwa navyo?Nimeingia bandani na kukuta hali hiyo nimechanganyikiwa kabisa
Mwambie auze kwanza hivyo vitoweo kisha akipata hio hela ya mtaji hasara aunge na nyingine apige zege banda zimaMkuu jitahidi kujenga Banda Bora hio isikukatishe tamaa, kuku watam bhana hata kimbulu anajua.
Kumbe na vifaranga vichwa vya ni bei mbaya hivyo mpaka waizi wanaacha viwiliwili ?Kagua banda kama kunamatobo yanayoweza mdudu au mnyama apite.
Mwisho nakushauri jioni tembelea wale akina mama wanaouza vichwa, miguu na utumbo wa kuku, ukimuona anaona aibu kukuangalia usoni ujue ndiye mbaya wako.
Kifaranga kilichokufa anakiuzaje?Uza kwa bei ya hasara wanaonunua hawaulizi kilichopikwa kilikufakufaje, fungua kabanda kako hapo choma nyama zako usifukie mtaji
Huku nilipo akifa ng'ombe, mbuzi, kondoo, kuku, bata hawafukii wanachinja wanauza suala la kibudu au sio kibudu atajuaje mlaji mwenye njaa
Ahdi, siku yao ya ahdi imefika.Nimeingia bandani na kukuta hali hiyo nimechanganyikiwa kabisa
Ipo biashara ya vichwa, miguu na utumbo wa kuku tu, hawa hawauzi mapaja wala sehemu nyingine ya kuku.Kumbe na vifaranga vichwa vya ni bei mbaya hivyo mpaka waizi wanaacha viwiliwili ?
Kama ni wizi wa kuku basi ni vijana lakini kina mama huwa wanasubiri waletewe tu
Mimi nilifuga najua
Hao vifaranga wameliwa na mnyama tu
Naelewa boss, ila umeona amesema ni vifaranga?Ipo biashara ya vichwa, miguu na utumbo wa kuku tu, hawa hawauzi mapaja wala sehemu nyingine ya kuku.