Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Chicken and Chips chakula cha kunasia vibinti.Naelewa boss, ila umeona amesema ni vifaranga?
Hapo nilikuwa nasubiri je ipo?
Kuku najua
Pole! Picha iko wapi? Walikuwa bandani vifaranga wenyewe bila kuku wakubwa?Nimeingia bandani na kukuta hali hiyo nimechanganyikiwa kabisa
Kama ni vifaranga chunguza kwanza banda kuna mdudu au panya buku mkubwa anayeingia humo ndani na kusababisha hali hiyo.Nimeingia bandani na kukuta hali hiyo nimechanganyikiwa kabisa
nyie ndio mnatuuaga nyinyi!Uza kwa bei ya hasara wanaonunua hawaulizi kilichopikwa kilikufakufaje, fungua kabanda kako hapo choma nyama zako usifukie mtaji
Huku nilipo akifa ng'ombe, mbuzi, kondoo, kuku, bata hawafukii wanachinja wanauza suala la kibudu au sio kibudu atajuaje mlaji mwenye njaa
Mnakula tu kitumoto iliyokufanyie ndio mnatuuaga nyinyi!
JfNilisahau kukuuliza, hivyo vifaranga visivyo na vichwa unauhakika vilipototolewa vilikuwa navyo?
Au Paka...Siyo kicheche huyo kweli!?
shenzi sana kenge ng'ombe parachichi kobe nyang'au tunza kizazi ngiri mkubwa wewe!Mnakula tu kitumoto iliyokufa
Kuna jela lakini usije ukaenda kua mpishi wa nyapala tushenzi sana kenge ng'ombe parachichi kobe nyang'au tunza kizazi ngiri mkubwa wewe!
Bila picha mkuu?Nimeingia bandani na kukuta hali hiyo nimechanganyikiwa kabisa
Uwanja wa burudani.