Vifaranga vya kuku vimekufa vyote tatizo ni nini wengine hata vichwa hawana

Naelewa boss, ila umeona amesema ni vifaranga?
Hapo nilikuwa nasubiri je ipo?
Kuku najua
Chicken and Chips chakula cha kunasia vibinti.
Chicken ni kifaranga na bahati mbaya muhusika hakutaja umri kama ni vigoli au mabinti, mimi nilidhani watakuwa wamekwisha vunja ungo.
Tangazo: TUNAUZA VIFARANGA VYA NYAMA VYENYE UZITO WA KILO MOJA NA NUSU.
 
nyie ndio mnatuuaga nyinyi!
 
Mkuu upo mkoa gani, nasikia kuna uchawi upo Kigoma/Burundi, wakikurushia, vichwa vya kuku vinakatika!!! Lakini ni ishara kuwa kuna jambo la kutisha watafanya kwenye hio familia yako,

Kama upo ukanda huo kimbilia kwa Yesu ndugu yangu, jisalimishe.
 
Kama vifaranga weliwa vichwa tu huenda Kuna panya wengi sana chunguza Hilo. Kama hakuna panya Mimi Sina jipya zaidi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…