Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Tupe ukweli mkuuMlima yote ya volcano tanzania ni volcano hai, SIYO KWELI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe ukweli mkuuMlima yote ya volcano tanzania ni volcano hai, SIYO KWELI
Mifumo haipo japo ilitakiwa kuwepo chini ya ofisi ya Waziri Mkuu.3. Je, kuna mifumo gani ya kutaarifiana kama ving'ora kama likitokea janga?
Kinga ni bora kuliko kiba hii tunayoiona.
Inategemeana na definition yako ya maendeleo!Nitakuwa kinyume na wewe.Mimi naona nchi zenye idadi kubwa ya watu ndiyo zenye maendeleo (kiuchumi) makubwa hapa duniani.
FafanuaaDareda Mission....
Huko juu wamefyeka msitu balaa
Tunasubiri vifo ili turushe helkopta kuangalia kiwango cha uharibifu na idadi ya waliokufa badala ya kunusa mapema hatari na dalili vifo.
Kwa kilichotokea Hanang ni matokeo ya mipango mibaya ya watanzania wenzetu tunaowalipa kwa kazi ya kutulinda na majanga. Kuna idadi kubwa ya watanzania ambao wameruhusiwa kujenga chini na juu ya milima, mabondeni, kwenye njia za maji na wanyama. Watu hawa wamepewa vibali vyote ama vya kujenga, au kuingiza umeme na maji kwenye nyumba zao bila kupewa onyo la aina yoyote wala elimu ya namna ya kuishi kwenye maeneo hayo.
Maswali:,
1. Je, baada ya maafa ya Katesh, watu waendelee kujenga na kuishi kwenye maeneo yao yaleyale yaliyokubwa na janga au wahamie kwingine?
2. Je, Tanzania hakuna watanzania wanaoishi kwenye maeneo yanayofanana na maeneo ya Katesh?
3. Je, kuna mifumo gani ya kutaarifiana kama ving'ora kama likitokea janga?
Kinga ni bora kuliko kiba hii tunayoiona.
Burundi ni " ardhi yetu " ya akiba mbeleniPia kwa kasi yetu ya kuzaana, wakati nchi haiongezeki, huko mbele watu watazidi kubanana tu.
Uchumi mkubwaInategemeana na definition yako ya maendeleo!
Asante mkuu,Tatizo unaangalia eneo tu.
Hujaangalia arable land. Hujaangalia irrigation. Hujaangalia technology.
Unaweza kuwa na eneo kubwa, huna uwezo wa kulitumia vizuri, huna technology,ukawa na tatizo kwamba kwa level yako ya maendeleo, uko overpopulated.
Halafu akaja mtu ana population kama wewe eneo dogo, anajua kulitumia, ana technology kubwa, akawa underpopulated.
Japan wana watu zaidi ya milioni 125, karibu mara mbili ya population ya Tanzania.
Tanzania ina 365,756 sq mi Japan ina 145,937.06 sq mi, lakini Japan ina tatizo la kuongeza watu, Tanzania ina watu wengi sana wasio na kazi na haitakiwi kuongeza watu zaidi kwa kasi wakati hawa waliopo tu hatujui tufanye nini.
Katika dunia ambayo watu wanaweza kujenga miji kwenda juu kama Tokyo, suala la overpopulation si la ukubwa wa nchi tu, ni suala la teknolojia na uwezo wa kukabiliana na mazingira.
Kwa teknolojia yetu ambayo hata kilimo cha umwagiliaji kinatushinda, bado tunakata miti kupata kuni kamansource of energy, we are overpopulated.
Mkuu umeongea vyema lkn nchi hii ina lack mipango ndio tatizo mama kwa kweli.Pia kwa kasi yetu ya kuzaana, wakati nchi haiongezeki, huko mbele watu watazidi kubanana tu.
Hivyo tunahitaji kupangilia vizuri sana both land use na family planning.
Enzi za kuzaana zaana ovyo tu na kuishi kwa kujua nchi kubwa tu hii zinaisha.
Sasa milima kama ya Hanang iko mingapi ili walioko kwenye milima hiyo wasisubiri kujifunza kwa makosa yao wenyewe? watumie darasa hili hili la katesh.Nafikiri ile ilo poromoshwa na maji ni volcanic ashes..
Milima mingi TZ ipo kwenye miamba migumu... La, Mwanza kungekua hakuna mtu anaishi. Wote wako milimani...au Mbeya.
Kwa kuongezea..Nitakuwa kinyume na wewe.Mimi naona nchi zenye idadi kubwa ya watu ndiyo zenye maendeleo (kiuchumi) makubwa hapa duniani.
Kwa kuongezea,Maendeleo hayaji kwa idadi kubwa ya watu, maendeleo yanakuja kutokana na kujua kutumia watu na kupanga uchumi vizuri kulingana na idadi ya watu.
Unaweza kuwa na watu wengi, lakini hujajipanga, unaongeza njaa tu.
Ingekuwa maendeleo yanatokana na wingi wa watu, India ingekuwa imeendelea kuliko Marekani na Nigeria ingekuwa imeendelea kuliko Italy.
Kwa kiasi kikubwa nchi hai lack mipango. Tuna mipango mingi tu.Mkuu umeongea vyema lkn nchi hii ina lack mipango ndio tatizo mama kwa kweli.
Kuna maeneo au mikoa ilitakiwa kusiwepo makazi kabisa maana kuna support kilimo almost mkoa mzima au wilaya nzima.
Yaani sisi kama nchi tuna Dhani maisha yatakuwa hivi milele wakati mabadiliko ni mengi sana.
Kizazi kijacho kitatumia ngivu nyingi sana kuweka mambo sawa.